Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Unapotumia neno mikia basi hapo kwenye jina la timu yako weka utopolo isomeke hivi "Utopolo wanafnya kama wanaiogopa mikia"Mind game ndio kama hizi sio kuwanga katikati ya uwanja tena ugenini,hii game Yanga wanafanya kama wanaiogopa mikia ili wajae kwenye reli mapema tu tuwapasue
Dada wa jiesiem wewe