Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Mtu umetoka kuliwa na waSauth nguv za kupiga kelele unatoa wapi, Yanga wanapiga tena ktk mshono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chances ndio nini?
Mnasajili wachezaji kwa ajili ya chances?
Kitengeneza shambulizi sio kufunga, unaweza kutengeneza shambulizi halafu ukawa huna mbinu ya kufanya shambulizi lako lilete madhara
Hizo za kugonga mwamba na offtarget mbona kwa makambo ni nyomi sana lakini ndo mara zote anaanzia bench kwanini msimpange?
Kwa hiyo na sasa hivi mnategemea chances na offtarget?
Swali langu nakuuliza ni uzembe upi uliotokea kwenye mechi ya Geita ilikuashiria kuwa ni rushwa? Na je kila uzembe kwenye mpira wa miguu ni rushwa?Inamaana wewe ni mkubwa kimawazo kuliko uongozi wa yanga ulioweka tume ya kulalamika kwenye press kila uchao?
Inamaana hawakufika angle hii unayoisema wewe hapa?
Wewe ushaga kua mwehu bahati mbaya haujuiNdio kukomaa huko kisoka tunakotaka hata Yanga siku moja waje wafikie level hizo
Ukishapata upinzani kwa Al Ahly, Tp Mazembe, Rs Berkane, USGN, Orlando, Kaizer Chiefs utagundua wazo la kuipigia promo mechi ya Yanga kwa terms za kiupinzani ni bonge moja la UPIMBI
Hii mechi pengine Yanga walikuwa na mahesabu nayo miezi mingi huko nyuma lakini kwa ssisi Simba nikiwemo mimi nimekuja kuijua jana
Hiyo inakupa tafsiri gani?
Ni kwamba wakati Simba anafikiria ni namna gani atafuzu nusu fainali club bingwa ikiwezekana na kuchukua ndoo kabisa, Yanga anafikiria afanye nini ili kumfunga Simba.
We ndo umeandika kama hujui soka, sababu ya mugalu kukaa benchi ilichangiwa na hizo unazoziita chance ambazo hazizai magoliUmeandika kama sio mtu wa mpira. Sijui kama kuna goli linaweza kupatikana pasipo kufanya shambulizi hata penati inapatikana kwa shambulizi. Mpaka hapa nimeshajua najadiliana na mtu wa aina gani
Magoli ya wazi ambayo walitakiwa kufunga ila wao wakawa wanampasia kipa.Swali langu nakuuliza ni uzembe upi uliotokea kwenye mechi ya Geita ilikuashiria kuwa ni rushwa? Na je kila uzembe kwenye mpira wa miguu ni rushwa?
Na nyie ambao kwenye kundi lenu anasalia kikwete na mzee wake manara mmepona kweli?Wewe ushaga kua mwehu bahati mbaya haujui
Umesahau naHaya yangetufaa maana sisi ni SC sio Afv
Kidimbwi Sc
Utopolo Sc
Matopeni Sc
Gongowazi SC
Ndala/malapa Sc
Pepe kale Sc
Shangazi wa Jiesiem umeelewa?
Je , nawe unakumbuka mara ya mwisho Yanga kumfunga simba kombe la shirikisho?Unakumbuka mara ya mwisho ilikua lini mikia kumfunga Yanga kwenye ligi?
Hua hazimo wewe basi wanakuvumilia tuNa nyie ambao kwenye kundi lenu anasalia kikwete na mzee wake manara mmepona kweli?
Kama unazungumzia akili uko sahihi kabisaHua hazimo wewe basi wanakuvumilia tu
Ndio maana nakuita mwehu kuna goli linafungwa bila kushambulia?Chances ndio nini?
Mnasajili wachezaji kwa ajili ya chances?
Kitengeneza shambulizi sio kufunga, unaweza kutengeneza shambulizi halafu ukawa huna mbinu ya kufanya shambulizi lako lilete madhara
Hizo za kugonga mwamba na offtarget mbona kwa makambo ni nyomi sana lakini ndo mara zote anaanzia bench kwanini msimpange?
Kwa hiyo na sasa hivi mnategemea chances na offtarget?
We unapenda kushambulia au unapenda kufunga?Ndio maana nakuita mwehu kuna goli linafungwa bila kushambulia?
Utopolo wana bado wana maono ya kuku- kuwaza kumfunga Simba. Wakati Simba maono yao ni kama ya Tai. Viwango vyao vya maono ya mafanikio kisoka vipo juu sana. Vimevuka mipaka ya nchi na kuwekeza nguvu kubwa kwenye mashindanonya CAF, bila kupuuzia NBC Premier league.Ndio kukomaa huko kisoka tunakotaka hata Yanga siku moja waje wafikie level hizo
Ukishapata upinzani kwa Al Ahly, Tp Mazembe, Rs Berkane, USGN, Orlando, Kaizer Chiefs utagundua wazo la kuipigia promo mechi ya Yanga kwa terms za kiupinzani ni bonge moja la UPIMBI
Hii mechi pengine Yanga walikuwa na mahesabu nayo miezi mingi huko nyuma lakini kwa ssisi Simba nikiwemo mimi nimekuja kuijua jana
Hiyo inakupa tafsiri gani?
Ni kwamba wakati Simba anafikiria ni namna gani atafuzu nusu fainali club bingwa ikiwezekana na kuchukua ndoo kabisa, Yanga anafikiria afanye nini ili kumfunga Simba.
So kesho ni kombe la shirikisho?Je , nawe unakumbuka mara ya mwisho Yanga kumfunga simba kombe la shirikisho?
Je , unazikumbuka zile 4G za 2020/2021 kombe la shirikisho?
Geita Gold hawa hawa alowapiga bao pale Kirumba au!?Ahadi ya mayele ni mjinga pekee anaweza kumchukulia serious mtu ambaye Geita Gold alilendemka kama uji wa magadi afu ndio aje kuwa tishio ina hitaji ubongo wa nzi kuwa na fikra hizo
Halafu tumekaa kimya tukijua mmejifunza, mwaka jana mlikuwa mnasema tarehe 11 lazima awafunge, lakini matokeo yake hata dakika 90 hakuzimaliza zote na aliye mbadili hata mpira hakugusa.
Mimi kuna uwezekano hata wa mechi ya kesho nisiangalie kwasababu haina mvuto, mvuto unalazimishwa kwa dhana ya derby na sio hadhiUtopolo wana bado wana maono ya kuku- kuwaza kumfunga Simba. Wakati Simba maono yao ni kama ya Tai. Viwango vyao vya maono ya mafanikio kisoka vipo juu sana. Vimevuka mipaka ya nchi na kuwekeza nguvu kubwa kwenye mashindanonya CAF, bila kupuuzia NBC Premier league.
Ni kwasababu tu hadi taasisi zetu za TAKUKURU nazo zina viongozi ambao wana utimu wa usimba na uyanga ma ndio maana hizo mechi zilivyoisha hakuna lolote lililo chukuliwa hatua za kisheriaGeita Gold hawa hawa alowapiga bao pale Kirumba au!?
Kwa maana hiyo hiyi ni kawaida kwa yanga haijalishi mwenyeji ni nani.Mbona nyie mliipigia promo mechi yetu wakati sio wenyeji?
Tena mara kibao mlikuwa mnatukumbusha humu kuwa subiri tarehe 11 mtamjua mayele ni nani
Yule mlopa naye huko insta alikuwa hakauki kila time ana mpost mayele na kusisitiza swala hilo hilo mpaka mimi nikaja kusema hapa kuwa anatengeneza dhana ya utabaka ndani ya club kwa kuwafanya wachezaji wengine wasiione thamani yao baada ya juhudi zao kumezwa na mchezaji mmoja kwa kigezo cha kuifunga simba kwenye ngao ya hisani.