Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwanini isikupotezee?Kwa maana hiyo hiyi ni kawaida kwa yanga haijalishi mwenyeji ni nani.
Yani mkuu kua mbali kimataifa haikupotezei asili yako, labda tu kama simba imeingia ubaridi kwa huu moto wa yanga.
Evolution inasema twiga asili yake hakuwa na shingo ndefu, uhaba wa majani ardhini ulimfamya anyanyue shingo kuyafata kwenye matawi ya juu na mpaka saizi ana shingo ndefu
Na ndio asili yake mpaka leo
Simba tushatengeneza asili yetu kwa kumpata mpinzani wetu (Al Ahly) ambaye hata kocha wake ana admit hilo kuwa hakuna sehemu ngumu kupata matokeo kama kwa mkapa akicheza na simba.
Ni muda sasa mkaendelea ku focus na mtani wenu Azam (hiyo ndio level yenu) kama ambavyo hata manara anasema.
Sisi tutaendelea kuangazia extra mile huko za kimataifa