Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hivi ni lazima kuona yote?ππππWe umeona hicho tu hujaona kitu kingine
Eti nusu ubakwe, mwanaume unakubali kweli kwamba ilikua kidogo ubakweππ.
Mwanaume kitu ulichonacho cha thamani kuliko vyote na ambacho unatakiwa kukilinda hata kwa maisha yako ni marinda, huwezi kukubali mtu akutishie kwamba atayafumua na wewe umchekee tu haijalishi uko mazingira gani.
Mwanaume hupaswi ku negotiate kuhusu marinda yako, hapo hakuna negotiations.
Anyway, Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta.
ππEti nusu ubakwe, mwanaume unakubali kweli kwamba ilikua kidogo ubakweππ.
Mwanaume kitu ulichonacho cha thamani kuliko vyote na ambacho unatakiwa kukilinda hata kwa maisha yako ni marinda, huwezi kukubali mtu akutishie kwamba atayafumua na wewe umchekee tu haijalishi uko mazingira gani.
Mwanaume hupaswi ku negotiate kuhusu marinda yako, hapo hakuna negotiations.
Anyway, Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta.
Nyie polisi mnalaana sio bureKiongozi pamoja na kuwa tuna mapolisi wasiokuwa na maadili lakini hakuna vitendo hivyo kwenye vituo vya Polisi.
Hata magerezani wanaolawitiwa ni kwa hiyari yao wala si kwa kulazimishwa au kuwekwa mtu kati na kufanyiwa kinguvu, si kweli na hakuna kitu kama hicho.
Sory mkuu hivi ungekubali kubakwa si ungeachiliwa huru??Sitaandika yote kuficha kujulikana Kwasababu za usalama wangu na sitataja Kituo (mojawapo ya vituo vya police DSM) Kwasababu walio nifanyia hayo mateso, wapo na wanaendelea na utumishi wao kuumiza wa Tanzania.
Sitosahau mwaka 2021 mwezi March nilipokea simu ya mtu aliyejitambulisha kuwa ni mpemba ana kazi ya Ujenzi wa ghorofa nane anahitaji kuonana na
Heri mimi sijasema.ππKuna namna umetupanga.
Kuna mtu unataka kumchafua.
Anawaza sana marinda hajaona hoja zingine mle.We umeona hicho tu hujaona kitu kingine