Mimi na jamaa zangu fulani tuliwahi kuvamiwa home na police majambazi huko Durban south Africa.Watu wanaropoka kishujaa tu nyuma ya keyboard ila kimsingi ukitiwa kwenye 18 za wahuni unachezea kichapo. Utapambana kurusha vigumi kadhaa ila lazma pumzi ikate wahuni wanakunyoosha kilaini tu! Unakula vitasa mpaka unaona duble duble then watu wanaishi na unyolo wako safi tu!
Tamaa zmezidi na wao wanafanya mambo ya HOVYO na udhurumaji kama kawaidaMwanaume unaanzaje kusema ulitaka kubakwa kituo cha Polisi?
Hadithi yake ina gapes kibao, kwanza Usalama wa Taifa hawajishughulishi na mambo ya arrest.
Na ikitokea Afisa usalama wa Taifa yuko joint venture na Polisi basi ujuwe hicho ni kikosi kazi kwa kazi maalum na hapo hakuna mizaha kama hii anayohadithia huyu jamaa.
Mkuu, hili suala lako ni zito.. Je, umejaribu kumtafuta iGP au SSH?TAKUKURU = SIKUPATA MAFANIKIO
POLISI= SIKUPATA MAFANIKIO
TARURA= MAKAO MAKUU NILIWAANDIKIA BARUA, NILIPIGA SIMU BILA MSAADA
TARURA= TAARIFA KWA REGIONAL COOR-DNATOR NA COUNCIL MENEJA SIKUPATA MSAADA
Kawaulize wale uhamsho! Watakuadisia vizuriKiongozi pamoja na kuwa tuna mapolisi wasiokuwa na maadili lakini hakuna vitendo hivyo kwenye vituo vya Polisi.
Hata magerezani wanaolawitiwa ni kwa hiyari yao wala si kwa kulazimishwa au kuwekwa mtu kati na kufanyiwa kinguvu, si kweli na hakuna kitu kama hicho.
Pole Sana,awamu hile kila baya lilifanyikaHiyo ni hadithi ya Juma na uledi hayo matendo kwa nchi hii labda enzi za ukoloni lakini ndani ya miaka 60 ya uhuru haijawahi kutokea.
Kila mrefu hula kamba kwa mbuzi yakeBasi, usiseme sana manake hadi naogopa!! Nikianza na "ujasiri" wa huyo jamaa wa TARURA hadi anafikia kuomba rushwa na kuidai waziwazi kiasi hicho na "ujasiri" wa polisi wa kutumia taasisi zao kabisa kukamilisha uhalifu waziwazi kiasi hicho!
Ngoja nitulie kwanza!!
Sali umuombe Mwenyezi Mungu asijewahi kukufikisha kwenye maeneo hayo kwani siyo lazima mtu kufanya kosa ndiyo yakamfika ya kumfika.Amini nakuambia, wewe umehadithiwa tu story za vijiweni.
Ushoga unaanza nao mwenyewe kisirisiri mtaani, gerezani unakwenda kuuhalalisha tu na kusingizia jela, hakuna mtu anayelawitiwa kilazima magerezani.
Huyo analeta story, kinachowezakufanyika ni uporaji wa vitu vyako vya thamani ulivyonavyo lakini siyo mambo hayo si kweli.
Nilichoandika ndio ukweli wenyewe, nothing but the truth, sasa unataka nisali nini?Sali umuombe Mwenyezi Mungu asijewahi kukufikisha kwenye maeneo hayo kwani siyo lazima mtu kufanya kosa ndiyo yakamfika ya kumfika.
Hapana mzee, hiyo ni zaidi ya "kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake! Yaani huo ni uhalifu ambao msingi wake mkuu sio rushwa bali msingi wake mkuu ni total collapse of the system!!Kila mrefu hula kamba kwa mbuzi yake
Nimejaribu kuku PM naona iko lockedHapana mzee, hiyo ni zaidi ya "kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake! Yaani huo ni uhalifu ambao msingi wake mkuu sio rushwa bali msingi wake mkuu ni total collapse of the system!!
Uombe kwa Mola wako yasije wahi kukufika yanayowafika wengine ya aina aliyohadithia huyu jamaa.Nilichoandika ndio ukweli wenyewe, nothing but the truth, sasa unataka nisali nini?
Uliwahi kufungwa jela ili kuthibitisha hayo?Kiongozi pamoja na kuwa tuna mapolisi wasiokuwa na maadili lakini hakuna vitendo hivyo kwenye vituo vya Polisi.
Hata magerezani wanaolawitiwa ni kwa hiyari yao wala si kwa kulazimishwa au kuwekwa mtu kati na kufanyiwa kinguvu, si kweli na hakuna kitu kama hicho.
Kwa maelezo yake hapa hajajificha maana kataja Kila kituSasa unaficha nini Kama kukujua wameshakujua
Ni mkwe wa rtd IGP said mwema, msoga gang hakuna kesi pale.Hivi kesi yake iliishaje?