- Thread starter
- #181
Ahsante sana mkuuPole mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana mkuuPole mkuu
Sijui linahusiana vp? Anyway, karibu maana mimi sisumbuliwi na mimambo kama hiyo!Pole sana Mwalimu
Pamoja mkuu!Pole sana mkuu Ahsante sana kwa muongozo
Acha kabisaSiyo asilimia 100 tu.Ni asilimia 140!Na hapo bado haujakutana na akina Faimbweka, Bayofpigs, Platedamnit nk. Huko mikopo ukisha kopa huwa haiishi. Watakukata maisha yako yoooteeee. Damnit!😂😂😂😂
Naweza kukutumia mchakato wote dm; fedha iliyoingia na salary slip. Hakuna chai hapo, sina hata sukari ya kuungiaWala siyo kweli. Ina maana hukujaza Mkataba mpaka usubirie slip? Maana mkataba huainisha kiasi chote unachopaswa kulipa.
Na hakuna benki Tanzania inayotoza riba ya zaidi ya asilimia 100. Hakuna.
Hii ni Chai.
Asante kwa shule[emoji120]riba ya benk Kama ni 15%, riba ya ujumla zidisha kwa miaka ya kulipa
Kama ni miaka 6, zidisha mara 6
15× 6 = 90%
Hivyo Kama umekopa 10M utalipa 19M
Hao hao wanaosikilizaNi benki gani hio? Tuwashtue wana
Acha kabisa mkuu. Inachekesha lakini imenitokea na nilikwama kwelikweli🤣🤣🤣Jamaa umenivunja mbavu zote dah
Miaka 5 au 7 au 10 ...sasa kuzungusha vzr mbona mtaji tosha? Miaka 7 uko hela watu ni fair sana wewe umeshindwa kupata hata nusu yake savingAcha kabisa mkuu. Inachekesha lakini imenitokea na nilikwama kwelikweli🤣🤣🤣
Taasisi za kifedha zote zinatumia njia mbili kukokotoa riba ya mkopo yaani Reducing balance au Flat rate. Hivyo ni bora umuulize afisa mikopo kuwa wewe mkopo wako unarudisha kwa njia ipi kati ya hizo?Hesabu za benki haziko hivyo. Ni kweli riba inategemea muda ila calculations siyo hizo za simple interest, ukiambiwa benki riba ni 17% unaweza kukuta ni 9.5% kwa hesabu za kawaida.
Benki nyingi zinatumia Non Reducing Calculator na makanuni mengine ya kiuchumi.
Kwa mfano mimi nilikopa nmb 6,100,000 kwa riba ya 17%, kwa miaka 3 ningetakiwa nilipe 9.2M ila nlilipa 7.8M, sasa piga hesabu uone.
Bank gani hiyo dhalimu tujulishe nasi tukae mbali nayo?Acha kabisa aisee!
Nikiwa nimepagawa na changamoto iliyokuwa inanikabili bila kujua la kufanya, nikakimbilia benki moja kuomba mkopo. Kufika pale nikamuambia afisa mikopo kuwa nahitaji m15, akaniambia m10 ni utapata lakini si hizo ulizotaka. Nikaona kheri tu itaokoa kitu tena kwa kiasi kikubwa sana tu.
Wakati huo, simu inapigwa kila baada ya sekunde 20 kutoka huko kwenye changamoto iliyonifanya niende kukopa, nilipagawa sana. Wakati afisa mikopo ananieleza habari za makato n.k mimi hata sikuwa nasikia chochote.
Akili ilikuwa kwenye kupata pesa tu nikamalize tatizo. Siku kadhaa mbele nikafanikiwa na tatizo likaisha na akili ikarudi katika utulivu wa kawaida.
Siku zinavyoenda haraka, mwisho wa mwezi ukafika bwana! Aisee, ile naiangalia salary slip sikuamini nilichokiona. Milioni 24 nahitajika kulipa. 24M!!
Kwanza nilihisi baridi, halafu ganzi; baadae nikahisi uono wangu kama hauko sawa. Nikajiuliza imekuaje mbona sioni vizuri? Kwakuwa nilikuwa chumbani, nikasogea kwenye kioo kujiangalia. Dah, si ndo nakuta jicho moja la upande wa kushoto limejifunga, kope haitaki kupanda juu ('kukupila' watu wa pwani ya kusini wanasema).
Nikajaribu kulifunua kwa mkono, wapi! Nikiliacha linajifunga tena. Hali iliendelea hivyo kama dakika 40 au saa moja hivi. Baadae sana ndo likarejea katika hali ya kawaida. Nilishapagawa, nilijua limeparalyse!
Mikopo!!!! Ukiweza kuachana nayo iache ndg'angu!
Muda wa mkopo ndio jehanamu yenyewe. Muda wa mkopo ukiwa mdogo maumivu nayo yanakuwa madogo.Mtumishi wa Bwana. Hawa jamaa wa mikopo utumia hesabu za future value of money. Yaani kama unataka mkopo wa 20m, itatafutwa thamani ya hiyo 20m kwa muda wa mwisho wa mkopo. Kwa hesabu ni rahisi ni mf mkopo 20m(1+riba)" hicho kialama" ni muda wa mkopo.