Nilikopa milioni 10, siku naona salary slip yanipasa kulipa 24m jicho la upande wa kushoto lilijifunga kama dakika 40 hivi. Nilijua limeparalyse!

Duh...mkopo sio aisee
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Pesa nyingine hukumkopea afisa mikopo kweli?!! Maana Tz kila mahali ni wizi tu.
 
Mkuu acha tu, wakopaji tunapitia hali ngumu hapa nilipo nahisi muda si mref ntachanganyikiwa.
Mungu atusaidie, mi nimelipokea kisaikolojia na sasa naweza hata kuliongelea kikawaida kama hivi. Mwanzoni hali yako ilikuwa ngumu sana.....nilikuwa naongea tu peke yangu
 
Issu ni time ya mkopo, km ulichagua makato madogo per month automaticaly miaka itakua mingi na ribq itakua kubwa sana
 
Mtumishi wa Bwana. Hawa jamaa wa mikopo utumia hesabu za future value of money. Yaani kama unataka mkopo wa 20m, itatafutwa thamani ya hiyo 20m kwa muda wa mwisho wa mkopo. Kwa hesabu ni rahisi ni mf mkopo 20m(1+riba)" hicho kialama" ni muda wa mkopo.
 
Ndio maana mwenyezi Mungu akaharamisha riba.. Yaani anayetoa riba na anayepokea riba wote wametangaza vita na Allah tabaraka.. Riba ni mbaya sana kama Mungu mwenyewe ameliona ilo sisi ni nani mpaka tuone faida ya riba..
Mungu hajawahi kataza riba na hata alipoongelea wale waliopewa talanta, mmoja akaifukia alisema angepeleka kwa watoza riba naye angepata zaidi.
 
Utakuwa umechukua muda mrefu wa marejesho, miaka 6+
 
Sheria imewabana kwa 42% p.a ambayo ni 3.5% p.mo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…