Nilikosa amani yote kwa kusumbuliwa na wachawi, nilikuwa nalala alfajiri huku nanunua betri ya tochi kila siku, nilihama nyumba

Hapa watu wanaenda kupigwa. Hii mbinu nlishawahi itumia. Nliwala sana pesa mafalah. Miaka hiyo ya 90s. Naona umeileta tena.
 
kwa hiyo unataka tubishane ikiwa huo muda sina. baki na ujuaji wako maana watanzania kila kitu ni kubisha kumbe kichwani ni empty set kapake hayo mafuta ya elfu 50 unayosema ni virgin utanipa mrejesho.
Wakitaka original wakutafute wewe.... Uongo? 🤣🤣🤣🤣 Hayo yao ni diluted. Wewe unaagiza ulaya au uarabuni. Hii mbinu niliwaliza sana watu.
 
Mhubiri Injili Nyoko...😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…