Wakuu,
Yule muhandisi ni shemeji yangu kabisa na ana watoto 3.
Yule ni mtu mpole sana na ana hekima kuliko kawaida.
Makonda kusema ana mke mzuri kuliko shemeji yangu, ajue na sisi tuna wake wazuri kuliko mke wake.
Wakati anamlilia Kajala hadi akazidiwa na Harmo mke wake alikua mbaya?
Sasa kuanzia sasa najitoa kumsuport, kumbe ana kiburi anajifanya kutetea wananchi Kwa kukurupuka kiasi hicho!
Kuanzia leo nitakua namtandika spana juu ya spana.
PIA SOMA
- LHRC yamuonya Makonda kwa kumdhalilisha Mtumishi wa Kike mbele ya Umati wa Wananchi
Yule muhandisi ni shemeji yangu kabisa na ana watoto 3.
Yule ni mtu mpole sana na ana hekima kuliko kawaida.
Makonda kusema ana mke mzuri kuliko shemeji yangu, ajue na sisi tuna wake wazuri kuliko mke wake.
Wakati anamlilia Kajala hadi akazidiwa na Harmo mke wake alikua mbaya?
Sasa kuanzia sasa najitoa kumsuport, kumbe ana kiburi anajifanya kutetea wananchi Kwa kukurupuka kiasi hicho!
Kuanzia leo nitakua namtandika spana juu ya spana.
PIA SOMA
- LHRC yamuonya Makonda kwa kumdhalilisha Mtumishi wa Kike mbele ya Umati wa Wananchi