Nilikupenda sana...


kufanya utani kwenye shuhuli ya mwenzio masihara hayo, vile tuu mie sijui kugombana wala ingekuwa baba mtoto wangu angeshakukata mitama. Punguza utani mwenzio niko siriasi.

Hivi kweli hujaelewa anachojaribu kukwambia huyu bwana hapo juu??!!
 


Trust me kwa jinsi huyu bidada alivyo naive hata kama jamaa ana mizigo huko nje ni ngumu sana kwake kujua.

Mkunde Original sisemi kwamba mumeo ana wanawake nje, Ni maoni tu..........usije kuanza kujimeza bure!!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana dada angu,I can feel the pain tht you are going through,Ila ni vema ungemngoja ukamwambia face 2face unaondoka.Najua kwa hali hii hutaki hata kubak hapo hata kesho ukukute.Nakushauri kuwa mvumilivu kdogo tu had arudi pls.

Watu wameshamaliza kesi wewe ndio unakuja!!! Unakuwa kama wale ma-rescuer kwenye movie za Hollywood, maana wenyewe huwa wanatokezea wakati kazi ishaisha 🙂
 
Afu na wewe huu mtindo wa kuweka hako ka nukta mwamnzo umekatoa wapi?

Ni swaggerrr? Huyu kalimwa talaka 9

. Nilikuwa sijagundua kama naanza na kanukta.

Hii itakua swaga za simu.

Ila nimeamini jei efu inavunja ndoa aisee, imagine unalog in na kukutana na talaka toka kwa Asprin
 
Last edited by a moderator:

Take it slow. Changes come very slowly but if you endure, you surely gonna reap the fruits. I can bet my life on this!
 
Dah
Pole mkuu!
Inauma sana kitu unachothamani halafu unakuta mtu anagalagaza valu valu bila heshima wala nini. Hapo ndo nashindwaga kuwaelewa wanawake. Vere hopulesi kabisa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Sasa mkuu wewe ukipenda kitu watu ndio wasigalagaze. Hata hao vile unavyogalagaza wewe kuna watu wanavizimikia pia. Ndio dunia hiyo.
 
Wee ndio unanidistab
Niko fyatanga, nina dera jeusi na san gogozi

Njoo tujipongeze bana, afu kesho wkend basi raha.

Kongosho mbona unanitoa kwen bia na Iddi yote hii>?>>>>>> jana nane nane leo ndo ivo tena mambo mswani huyu Mkunde Original fake ni yupi>?
 
Last edited by a moderator:
Wee ndio unanidistab
Niko fyatanga, nina dera jeusi na san gogozi

Njoo tujipongeze bana, afu kesho wkend basi raha.

Asee Kongosho uwe unapiga bana..how could I miss this? :disapointed:
 
Last edited by a moderator:
sina hamu na wanyamwezi tena
 
Umechelewa sana maana Kaunga kashatowa baraka zake. Ukitaka kupewa juju la Kinyamwezi ubadili nia, wee sema tu huna hamu na sisi. KIKUNGU , huyu itabidi tumchimbie kale ka mti ka Mnyangala na atabadilika atupende tena, au vipi?
sina hamu na wanyamwezi tena
 
Last edited by a moderator:
Umechelewa sana maana Kaunga kashatowa baraka zake. Ukitaka kupewa juju la Kinyamwezi ubadili nia, wee sema tu huna hamu na sisi. KIKUNGU , huyu itabidi tumchimbie kale ka mti ka Mnyangala na atabadilika atupende tena, au vipi?

Umeona eeh, tunavyopenda challenge sisi; vile ambavyo vinaonekana ni vigumu ndio our potions hivyo.
 
Naomba kujua hii mistari ilikuwa kwenye nyimbo ipi? Ukiacha ile remix kati ya mack d ft mr paul. Nataka original yake aloimba niitafute please jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…