Nilikupenda sana...

Nilikupenda sana...

We nenda tu,ila usichukue kitu ambacho sio chako humo ndani.
 
Naomba kujua hii mistari ilikuwa kwenye nyimbo ipi? Ukiacha ile remix kati ya mack d ft mr paul. Nataka original yake aloimba niitafute please jamani

Sikumbuki nani aliimba huu wimbo mara ya kwanza labda humu watusaidie.
 
We nenda tu,ila usichukue kitu ambacho sio chako humo ndani.

Sina shida na ambacho si changu, kama ni mbegu ntaiacha najua langu ni yai tuu ndo ntakalolibeba.
Vingine vyote naviacha naenda anza upya.
 
Naomba kujua hii mistari ilikuwa kwenye nyimbo ipi? Ukiacha ile remix kati ya mack d ft mr paul. Nataka original yake aloimba niitafute please jamani


Nilikupenda sana - Western Jazz


 
Natafuta mtoto (na mama yake). Njoo tulee pamoja.

Kwako baba mtoto,

Samahani nimekuja huku maana najua unashinda humu kuliko kushinda nyumbani, nimeamua kuvuja kwenye pakacha lako iwe nafuu kwako kulibeba, baki salama.

Nilikupenda sana mfano wa keki/chokoleti (napenda sana keki na chokoleti)

Lakini hukupendeka......., nimechoka hakika sijiwezi, kuishi tena mi na wewe
Ingawa nakupenda, lakini sitoweza.....

Ingawa rohoni nimekwisha, namwomba mola anisaidie, niweze kukusahau kabisa, nipate mwingine kushinda wewe.

Najua unausoma ujumbe huu muhusika ila leo ukirudi nyumbani hutanikuta, nitapotea kwenye taswira ya uso wako na maisha yako kabisa, hutaniona tena.

Naenda kuanza upya.

Aliyekuwa mkeo, mama mtoto wako na aliyekupenda daima,

Mkunde.

:disapointed::disapointed:
 
Kwako baba mtoto,

Samahani nimekuja huku maana najua unashinda humu kuliko kushinda nyumbani, nimeamua kuvuja kwenye pakacha lako iwe nafuu kwako kulibeba, baki salama.

Nilikupenda sana mfano wa keki/chokoleti (napenda sana keki na chokoleti)

Lakini hukupendeka......., nimechoka hakika sijiwezi, kuishi tena mi na wewe
Ingawa nakupenda, lakini sitoweza.....

Ingawa rohoni nimekwisha, namwomba mola anisaidie, niweze kukusahau kabisa, nipate mwingine kushinda wewe.

Najua unausoma ujumbe huu muhusika ila leo ukirudi nyumbani hutanikuta, nitapotea kwenye taswira ya uso wako na maisha yako kabisa, hutaniona tena.

Naenda kuanza upya.

Aliyekuwa mkeo, mama mtoto wako na aliyekupenda daima,

Mkunde.

:disapointed::disapointed:
Pole sana
 
Back
Top Bottom