Nilikupenda sana...

Nilikupenda sana...

Watakuwa na laborer room, una uchungu?

Niko full equiped na mikazi, bisibisi, koleo and the like.
nahisi kuna mtu alikutana na mtu love connect,wakaoana MMU,wakapata mtoto JF doctors,sa hz karudi MMU kuleta matokeo!
BTW hv kina Paw si waweke na VIBUTI forum!
natamanigi mimi!
yani ingekuwa raha sana!
 
Last edited by a moderator:
Mbona umekuja kuniagia huku wakati tulikutana Facebook, tafadhali rudi kule ukaniage kama tulivyokutana na kuitana sweat heart lotion. Ukifika uendako unijulishe na ikiwezekana ubadili ID ili upate wa huku pia......tehe, tehe, teheeeeeeeeeeeeeeeee utaniwiiiiiiiiiii

Itakuwa ulikutana an Mkunde mwingine ila sio mie, mi nilikutanana na baba watoto kanisani tulikuwa wote wahudhuriaji wa misa ya kwanza na tunakaa benchi lilelile kila jumapili na tulikuwa tunawahi kabla ya ibada kuanza. Baada ya kuoana maisha yalibadilika sana.
 
Sasa kama huangalii tamthilia wala movie, mbona umevaa uhusika wa sterring wa latin soap operas?
Yaani mie hapa nina pop corn na soda, ready for the movie. Tatizo tu sijamuona sterring msaidizi.

Labda, how old are you? Una mawasiliano na nduguzo kama mama, dada, shangazi, bibi, binamu?
Na je, uko karibu ndugu yeyote ya mzazi mwenzio? Labda dada, kaka?

Ukinijibu hayo, nitakuambia kitu.
Asanteee, ila mie hata tamthilia sizijui zinaanzje na kuishiaje, sikumbuki mara ya mwisho nilishika remote ya tv lini. ID yangu si fake na kwa kuwa yuko humu akiisoma atajua tu ni yeye ndo mlengwa. Hatukukutana humu ila kutokana na anakoshinda ndo nimempelekea taarifa yake kwa njia hii.
 
Mzizimkavu anazalisha wa miujiza, akiongea tuu kwenye ipad yake, kule jf doctor mtu anazaa.
Hawa hawakufungia chit chat kweli, ingekuwa mmu ingekuwa na heshima kidogo.H

a ha ha ha ha, wakileta vibuti forum itabidi tuwe tunaingia kusoma tukiwa hivi.

nahisi kuna mtu alikutana na mtu love connect,wakaoana MMU,wakapata mtoto JF doctors,sa hz karudi MMU kuleta matokeo!
BTW hv kina Paw si waweke na VIBUTI forum!
natamanigi mimi!
yani ingekuwa raha sana!
 
Hapa JF ndio atakujibu sasa!!!!!

Lengo lanu si anijibu bali apate ujumbe na asihangaike kunitafuta nimeondoka, maana kila nilipojaribu kumpa ujumbe bila kupitia mitandaoni hakunipa nafasi sasa imenilazimu. Sihitaji anijibu maana wakati nalipohitaji majibu hakunipa.
 
Mzizimkavu anazalisha wa miujiza, akiongea tuu kwenye ipad yake, kule jf doctor mtu anazaa.
Hawa hawakufungia chit chat kweli, ingekuwa mmu ingekuwa na heshima kidogo.H

a ha ha ha ha, wakileta vibuti forum itabidi tuwe tunaingia kusoma tukiwa hivi.

unamaanisha na Dark City na angevaa hiv?
 
Last edited by a moderator:
unless kama sio mume wandoa ama ambaye unataka awe na mawasiliano na mwanae.
Kongosho na wengine wanaongea mambo ya msingi sana ila kwa njia ya utani. Nakushauri acha utoto rudi nyumban kwako msubiri mumeo arudi kaachini ongea nae na kama unaondoka huna haja ya kujikimbiza kwa kificho. Ondoka akiwepo ili aje leo mkewangu na mtoto wanaondoka.


unachokifanya wewe naona ni kama vile unampango wa kumfanyia uhalifu, ama wa kutaka kumkomoa kumbe ni heri muagane kwa amani ili siku mwanao akitaka kumwona baba yake isiwe kitu kigumu kwako.

sikatai yawezekana maisha ya kuish nae yamekuchosha lkn jiulize swali je huyu mwema malaika unayesema unamwomba Mungu akupe utampata wapi?? kama ulishina kanisani viti vya mbele na ukampata huyu sembuse sasa ambapo umemwacha mume wa ujana wako unategemea akusikie??
 
Last edited by a moderator:
Itakuwa ulikutana an Mkunde mwingine ila sio mie, mi nilikutanana na baba watoto kanisani tulikuwa wote wahudhuriaji wa misa ya kwanza na tunakaa benchi lilelile kila jumapili na tulikuwa tunawahi kabla ya ibada kuanza. Baada ya kuoana maisha yalibadilika sana.

Hata mimi nilishangaa unaniagia huku laazizi, sasa turudi kanisani kule tulipokutana wakati tuna hofu ya mungu tukamweleze shetani ameshaiteka ndoa yetu ili tupewe faraja na kuirudisha ndoa yetu iliyoshuhudiwa na mungu, malaika na binadamu wenye sura na mfano wa mungu. Tafadhali usisahau tuwahi mapema ili tuonane na wachungaji wetu wa kiroho na pia uende kwa mama nanii msimamizi wa ndoa yetu nami naenda kwa baba nanii ili nao wawepo.
 
aringe!??

ila Mkunde Original..kwani yeye alikuja kukuchumbia hapa jamvini au!??

kuringa ni moja ya tabia zangu bila hata ya hiyo picha kuwa mimi naringa tayari.
Hapana hakunichumbia jamvini alinifahamia kanisani ila huku mitandaoni ndo anakoshinda na kulala, lengo langu message imfikie na asinitafute asiponiona nyumbani kwake maana naondoka.
 
Itakuwa ulikutana an Mkunde mwingine ila sio mie, mi nilikutanana na baba watoto kanisani tulikuwa wote wahudhuriaji wa misa ya kwanza na tunakaa benchi lilelile kila jumapili na tulikuwa tunawahi kabla ya ibada kuanza. Baada ya kuoana maisha yalibadilika sana.
Pole mamy.
Ndio maisha,kuanza upya si ujinga.
Nenda kaanze upya ila usisahau kufata taratibu ili muagane for good.
 
Back
Top Bottom