Wairan walitoa taarifa kwa nchi za kiarabu kuwa drones zao zitapita ktk airspace zao, wakatoa taarifa kwa wamarekani masaaa 72 mapema kuwa watapiga. Wakawapa nafasi Wamarekani kujiandaa. Halafu leo wanashangilia eti wamefanikiwa kuidhibiti Irani.
Iran ilitaka minimum hits tu kwenye targets ili kulipa kisasi na imefanikiwa., haikutaka hii show iwe kubwa kivile ndiyo maana iliwaengage wadau. Kama ingetaka kufnya uharibifu isingetoa taarifa, ingetuma njugu mapema kabisa bila kutoa taarifa za kuwafanya hawa jamaa wajiandae.
Usisahau.
1. Meli ya Israel ipo mikononi mwa Iran sasa hivi
2. Kuna ndege ya mizigo ya Israel ilikuwa kwenye uwanja wa kijeshi huko Israel imeharibiwa na missiles za Iran
3. Iran imepiga Jengo la Intelijensia huko Israel