Nilikuwa na nia ya kuwatongoza, nimewapima kwa vitu vidogo sana wamefeli

Nilikuwa na nia ya kuwatongoza, nimewapima kwa vitu vidogo sana wamefeli

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Mdada mmoja alikuwa anauza kibanda cha chips, alinivutia na nilikuwa na mpango wa kumtongoza, kabla sijamtongoza nlimpa Tsh. elfu 2 anipe chips za buku jero.

Chenji ya jero akanipiga kwa kuniambia anaenda nunua ule mfuko mmoja mweupe mdogo wa plastiki duka la jirani, wakati kiuhalisia hiyo mifuko haiuzwagi mmoja mmoja. Kichwani nikaona hapa hamna mtu!

Huyu mdada mwingine anauza canteen, kila nikienda pale kuchukua wali nyama ananiwekea vinyango vitatu, wakati wahudumu wengine wananiwekea vinyango vinne, mmh nkahairisha zoezi la kumtongoza.

Baadhi humu mnaweza nicheka kusema najali vitu vidogo, lakini ishara ndogo kama hizi, badae huenda ni ishara ya majanga makubwa huko mbeleni.
 
Mdada mmoja alikuwa anauza kibanda cha chips, alinivutia na nilikuwa na mpango wa kumtongoza, kabla sijamtongoza, nlimpa tsh elfu 2 anipe chips za buku jero, chenji ya jero akanipiga, kwa kuniambia anaenda nunua ule mfuko Mmoja mweupe mdogo wa plastiki Duka la jirani, wakati kiuhalisia hiyo mifuko haiuzwagi mmoja mmoja, Kichwani nikaona hapa hamna mtu

Huyu mdada mwingine anauza canteen, kila nikienda pale kuchukua wali nyama ananiwekea vinyango vitatu, wakati wahudumu wengine wananiwekea vinyango vinne, mmh nkahairisha zoezi la kumtongoza.

Baadhi humu mnaweza nicheka kusema na-mind vitu vidogo, lakini red flags ndogo kama hizi, badae huenda ni ishara ya majanga makubwa huko mbeleni
Kwani unatongoza ili uondoke nao .......au ni kwaajili ya utelezi....then hit & run[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kuna niliyemuomba number akanipa ya halotel, nikamtongoza ghafla akaniomba vocha ya tigo nikamuambia anipe hiyo number ya tigo ili iwe rahisi kumuungia bundle moja kwa moja, akagoma kwa madai kuwa sipaswi kuwa na number zake zote. Nikaona isiwe kesi hata hii moja aliyonipa sipaswi kuwa nayo. Nikaifuta
 
Mdada mmoja alikuwa anauza kibanda cha chips, alinivutia na nilikuwa na mpango wa kumtongoza, kabla sijamtongoza nlimpa Tsh. elfu 2 anipe chips za buku jero.

Chenji ya jero akanipiga kwa kuniambia anaenda nunua ule mfuko mmoja mweupe mdogo wa plastiki duka la jirani, wakati kiuhalisia hiyo mifuko haiuzwagi mmoja mmoja. Kichwani nikaona hapa hamna mtu!

Huyu mdada mwingine anauza canteen, kila nikienda pale kuchukua wali nyama ananiwekea vinyango vitatu, wakati wahudumu wengine wananiwekea vinyango vinne, mmh nkahairisha zoezi la kumtongoza.

Baadhi humu mnaweza nicheka kusema najali vitu vidogo, lakini ishara ndogo kama hizi, badae huenda ni ishara ya majanga makubwa huko mbeleni.
[emoji3516]
NAUNGA MKONO HOJA,
HAO NI WEZI, WACHOYO WA CHAKULA NA WANS ROHO MBAYA.
 
Kuna niliyemuomba number akanipa ya halotel, nikamtongoza ghafla akaniomba vocha ya tigo nikamuambia anipe hiyo number ya tigo ili iwe rahisi kumuungia bundle moja kwa moja, akagoma kwa madai kuwa sipaswi kuwa na number zake zote. Nikaona isiwe kesi hata hii moja aliyonipa sipaswi kuwa nayo. Nikaifuta
NAUNGA MKONO HOJA,
HUYO NI MWIZI KABISA HUYO.
 
Mdada mmoja alikuwa anauza kibanda cha chips, alinivutia na nilikuwa na mpango wa kumtongoza, kabla sijamtongoza nlimpa Tsh. elfu 2 anipe chips za buku jero.

Chenji ya jero akanipiga kwa kuniambia anaenda nunua ule mfuko mmoja mweupe mdogo wa plastiki duka la jirani, wakati kiuhalisia hiyo mifuko haiuzwagi mmoja mmoja. Kichwani nikaona hapa hamna mtu!

Huyu mdada mwingine anauza canteen, kila nikienda pale kuchukua wali nyama ananiwekea vinyango vitatu, wakati wahudumu wengine wananiwekea vinyango vinne, mmh nkahairisha zoezi la kumtongoza.

Baadhi humu mnaweza nicheka kusema najali vitu vidogo, lakini ishara ndogo kama hizi, badae huenda ni ishara ya majanga makubwa huko mbeleni.
Hili ni bonge la Idea.
 
Mdada mmoja alikuwa anauza kibanda cha chips, alinivutia na nilikuwa na mpango wa kumtongoza, kabla sijamtongoza nlimpa Tsh. elfu 2 anipe chips za buku jero.

Chenji ya jero akanipiga kwa kuniambia anaenda nunua ule mfuko mmoja mweupe mdogo wa plastiki duka la jirani, wakati kiuhalisia hiyo mifuko haiuzwagi mmoja mmoja. Kichwani nikaona hapa hamna mtu!

Huyu mdada mwingine anauza canteen, kila nikienda pale kuchukua wali nyama ananiwekea vinyango vitatu, wakati wahudumu wengine wananiwekea vinyango vinne, mmh nkahairisha zoezi la kumtongoza.

Baadhi humu mnaweza nicheka kusema najali vitu vidogo, lakini ishara ndogo kama hizi, badae huenda ni ishara ya majanga makubwa huko mbeleni.
Hili ni bonge la Idea.
 
Mdada mmoja alikuwa anauza kibanda cha chips, alinivutia na nilikuwa na mpango wa kumtongoza, kabla sijamtongoza nlimpa Tsh. elfu 2 anipe chips za buku jero.

Chenji ya jero akanipiga kwa kuniambia anaenda nunua ule mfuko mmoja mweupe mdogo wa plastiki duka la jirani, wakati kiuhalisia hiyo mifuko haiuzwagi mmoja mmoja. Kichwani nikaona hapa hamna mtu!

Huyu mdada mwingine anauza canteen, kila nikienda pale kuchukua wali nyama ananiwekea vinyango vitatu, wakati wahudumu wengine wananiwekea vinyango vinne, mmh nkahairisha zoezi la kumtongoza.

Baadhi humu mnaweza nicheka kusema najali vitu vidogo, lakini ishara ndogo kama hizi, badae huenda ni ishara ya majanga makubwa huko mbeleni.
Uoga tu wala hakuna kingine
 
Mdada mmoja alikuwa anauza kibanda cha chips, alinivutia na nilikuwa na mpango wa kumtongoza, kabla sijamtongoza nlimpa Tsh. elfu 2 anipe chips za buku jero.

Chenji ya jero akanipiga kwa kuniambia anaenda nunua ule mfuko mmoja mweupe mdogo wa plastiki duka la jirani, wakati kiuhalisia hiyo mifuko haiuzwagi mmoja mmoja. Kichwani nikaona hapa hamna mtu!

Huyu mdada mwingine anauza canteen, kila nikienda pale kuchukua wali nyama ananiwekea vinyango vitatu, wakati wahudumu wengine wananiwekea vinyango vinne, mmh nkahairisha zoezi la kumtongoza.

Baadhi humu mnaweza nicheka kusema najali vitu vidogo, lakini ishara ndogo kama hizi, badae huenda ni ishara ya majanga makubwa huko mbeleni.
Nakazia. Watu watakucheka lakini mimi sitakucheka tena nitakupongeza. Au unaweza kujifanya umelewa na fedha hujui mahesabu yamekwendaje, unamzidishia.
 
Unawaaibisha wanaume wenzio, Afu Kwa njia hiyo hutompata atakaekuridhisha labda umuumbe mwenyewe

Mfano, Huyo wa jero alikuwa na sababu gani ya kunidanganya ili anipige tshs 500, wakati hajishugulishi na biashara yoyote, kula na kulala yake anapewa na wazazi, hata hicho kibanda cha chips ni cha mama yake

Weka Swala la kupendelea jinsia yako pembeni, tumia haki na logic kuhukumu, ukichunguza vizuri utagundua hao mabinti wana matatizo makubwa zaidi Eg tabia ya tamaa ya pesa iliopitiliza, uongo, utapeli, wizi, kutokua na hisia za mapenzi na mimi, Roho mbaya, uchoyo etc Beesmom
 
Mdada mmoja alikuwa anauza kibanda cha chips, alinivutia na nilikuwa na mpango wa kumtongoza, kabla sijamtongoza nlimpa Tsh. elfu 2 anipe chips za buku jero.

Chenji ya jero akanipiga kwa kuniambia anaenda nunua ule mfuko mmoja mweupe mdogo wa plastiki duka la jirani, wakati kiuhalisia hiyo mifuko haiuzwagi mmoja mmoja. Kichwani nikaona hapa hamna mtu!

Huyu mdada mwingine anauza canteen, kila nikienda pale kuchukua wali nyama ananiwekea vinyango vitatu, wakati wahudumu wengine wananiwekea vinyango vinne, mmh nkahairisha zoezi la kumtongoza.

Baadhi humu mnaweza nicheka kusema najali vitu vidogo, lakini ishara ndogo kama hizi, badae huenda ni ishara ya majanga makubwa huko mbeleni.
Ingawa unatembea kwenye theories zangu za kuyakazia mambo madogo badala ya makubwa. Lakini sampling yako ina matundu mengi sana. Consider ajira na kamshahara anakokapata hivyo maeneo hayo huwa tips haziachwagi kama kule bar na clubs.

Umechemka mkuu
 
Haha nimecheka sana, ila ni njia nzuri pia japo kua kila njia ina mapungufu lakini kwa upande wangu naona pengine wasichana hawana shida mwenye shida ni wewe, kwasababu pengine muuza chipsi amekupenda na amekosa sababu ya kupata mazungumzo na wewe yatakayo fanya mzoeane akaona akuchukulie jero ili uanzie pale but hukuelewa cuz without game no woman. Afu wa pili huyo hakupendi hata kidogo usijisumbue angekua anakuhtaji angekupa nyama 5 badala ya 4 japokua na penyewe kunaweza kuepo game ambayo dem anaihitaji ili mpate mazungumzo..
Always unatakiwa ujue kama mwanaume NO GAME NO GIRL.
 
Mfano, Huyo wa jero alikuwa na sababu gani ya kunidanganya ili anipige tshs 500, wakati hajishugulishi na biashara yoyote, kula na kulala yake anapewa na wazazi, hata hicho kibanda cha chips ni cha mama yake

Weka Swala la kupendelea jinsia yako pembeni, tumia haki na logic kuhukumu, ukichunguza vizuri utagundua hao mabinti wana matatizo makubwa zaidi Eg tabia ya tamaa ya pesa iliopitiliza, uongo, utapeli, wizi, kutokua na hisia za mapenzi na mimi, Roho mbaya, uchoyo etc Beesmom
Sawa baba,nimekuelewa
 
Kuna niliechukuwa namba nkachelewa kumtongoza ila akanililia shida nikamwabia nimesahau namba ya siri adi leo sijamtafuta
 
Back
Top Bottom