Nilikuwa naikubali Israel kwenye cyber security, kumbe wachovu tu mbele ya Iran

Nilikuwa naikubali Israel kwenye cyber security, kumbe wachovu tu mbele ya Iran

Israel ambayo ili hack kaspersky 2014 na kuwapa taarifa NSA kuhusiana na uvujishwaji wa taarifa unaofanywa na kampuni hio, inasemekana kaspersky ilikuwa ikishirikiana na FSB (KGB zamani) kudukua taarifa mbali mbali za watumiaji, baada ya hapo USA ika ban kaspersky kutumiwa kwenye vitengo vyoote vya kiserikali hapo 2017.

Israel kwa kutumia virus anaitwa Duqu ambapo engineer wa kaspersky alisema hakuwa na utofauti na yule worm maarufu kama stuxnet aliyetumika kuharibu Natanz nuclear facility pale Iran hapo 2010, Stuxnet ilikuwa ni joint operation kati ya Israel na USA.

Kaspersky katika muda wote huu walikuwa hawajui kuna shambulizi kwenye mifumo yao mpaka pale siku moja engineer wa kaspersky alikuwa akijaribu tool fulani ambapo aliona kuna kitu hakipo sawa kwenye mifumo yao.

Asee unatuma virus kwenda kwenye mifumo ya kampuni ambayo inahusika na ulinzi dhidi ya virus, ieleweke vyema sio kuhack computer iliyokuwa na kaspersky bali waliingia kwenye mfumo mzima wa database za kaspersky, yaani niseme uingie kwenye database za jamiiforums, utazame emails za watu, password, username,inbox and everything unafikiri ni mchezo? sio mchezo.

Israel ndivyo walivyokuwa wanafanya inasemekana walipata taarifa za emails, passwords and everything za watumiaji wa kaspersky na documents za kutoshana na wakajua kuna udukuzi unaendelea.

Hapo niliwavulia kofia, lakini kumbe kuna wababe sijui walikuwa wapi muda wote huo.

Israel imekuwa hacked na yenyewe na sasa Israel anamnyooshea kidole Iran kwamba anahusika na udukuzi huo, kuna shambulizi walifanya juzi juzi hapa Iran.

Inaonekana kwamba udukuzi huo ulilenga kampuni ya usalama wa mtandao inayoitwa Portnox, ambayo yenyewe inaonekana kuwa mtoaji mkuu wa usalama wa mtandao kwa utawala wa Israeli, pamoja na Sekta ya Anga , kampuni la ndege la Israel, Shirika la mawasiliano la Israel(Bezeq kwa bongo tuseme TTCL) na Clalit Healthcare shirika kubwa Israel linalohusika na utoaji wa huduma za afya Israel, ambapo targets zote hizo zina uhusiano wa moja kwa moja na serikali ya Israeli, na mifumo ya ulinzi.

Ushahidi pia unaonyesha kuwa taarifa nyingi amabazo zimevujishwa zina habari za siri juu ya mitandao na kampuni za ulinzi za Israeli.


Msemaji wa kampuni nyingine ya usalama ya mtandao ya Israeli ya ClearSky alitangaza kuwa uharibifu uliofanywa na wadukuzi umesababisha uharibifu mkubwa kwa utawala wa Israeli, na ameelekeza kidole cha lawama kwa Iran kama asili ya shambulio hilo.

Hivi jamani waajemi tusiwachukulie poa, yaani wakaona kabisa waende kuhack company inayohusika na cybersecurity tena ya Israel, kweli kuna watu wababe.

Mwishoni mwa 2020 hapo, Iran ili hack kampuni zipatazo 80 za Israel, Iran wana ransomware anaitwa Pay2key ambaye ni hatari.
Lakini mapema tena mwaka huu 2021 Iran hao hao wamehack cybersecurity company ya Israel, inasemekana shambulizi la sasa halinma tofauti na huyo huyo ransomware anaitwa Pay2Key.

Sasa kwenye shambulizi hili la pili limejumuisha udukuzi wa websites zaidi ya 1000 za Israel zikionesha picha ya Tel-Aviv ikiwaka moto na ujumbe unaosema muda wa maangamizi unahesabika.

Pia katika baadhi ya computer hizo za cybersecurity company kumeonekana ujumbe unowataka walipe fidia ya pound 100,000 kupitia bitcoin ili kutopeleka taarifa hizo public.

Ukweli ni aibu kwa uongozi wa Israel wanajitapa kwamba ni wababe wa hizo kazi kumbe waajemi walikuwa wametulia tu, wazee wa Kidon mpooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Kuna professor mmoja Carlifornia amesema namnukuu...anaitwa Davidi Yaghoubian.

Ninaamini kuwa udukuzi huu wa hivi karibuni unaonyesha kuwa kweli mifumo yote iko hatarini kwa shambulio linaloweza kutokea na ikizingatiwa ukweli kwamba Israeli inajivunia sana juu ya teknolojia yake ya hali ya juu na usalama wake wa mtandao hii inathibitisha kuwa hata usalama wa mtandao wa Israeli unaweza kudukuliwa na kwa hilo inaibua swali kwanini ucheze na moto, wakati moto utapigwa vita na moto?

Chanzo cha habari haaretz cha Israel wenyewe.

View attachment 1666903

View attachment 1666905
Kuna sehemu muhimu umeacha, ungeeleza pia namna Israel alivyohack mifumo ya Iran na hata kusababisha milipuko kwenye vinu vyake vya nuclear.
 
Israel wangekuwa wanatafuta sababu ya kuishambulia Iran wangejitangaza kwamba wamemuua Fakhrizadeh wao kama USA ilivyojitangaza kumuua Soleiman.
Au wangemwambia USA akae kimya na wao wajitangaze wamemuua Soleiman, moto ungewaka, usifikiri Israel hawajui nini kitawakuta.

kutafuta sababu kwa kujichafulia jina na uaminifu dhidi ya makampuni yao ya cyber security kuwa hacked kisa eti wanatafuta sababu ya kumpiga Iran hawezi kufanya hata siku moja.

Hizo kampuni za cyber zina wateja dunia nzima,sasa imagine hio hasara waliopata, wameonekana wa hovyo kwa wateja wao.
Nyetanahu karudia jana kusisitiza kuwa hawezi kuiruhusu Iran kutengeneza bomu la nuclear. Mengi yanakuja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Israel na mataifa mengi makubwa sio wajinga, watabadili plan fastafasta ninyi mkidhani bado wapo kule wakishajua Kuna shambulio flash zote zinaformatiwa wanaanza upyaaaaa!
 
Hii michezo naipenda sana nasikia Kagame Kaunda kikosi kazi cha kucheza hii michezo anasubiri siku akichokozwa alianzishe sijui kama tutamuweza sisi ambao hata website ya brela haifanyi kazi kwenye baadhi ya web browser
 
Israel ambayo ili hack kaspersky 2014 na kuwapa taarifa NSA kuhusiana na uvujishwaji wa taarifa unaofanywa na kampuni hio, inasemekana kaspersky ilikuwa ikishirikiana na FSB (KGB zamani) kudukua taarifa mbali mbali za watumiaji, baada ya hapo USA ika ban kaspersky kutumiwa kwenye vitengo vyoote vya kiserikali hapo 2017.

Israel kwa kutumia virus anaitwa Duqu ambapo engineer wa kaspersky alisema hakuwa na utofauti na yule worm maarufu kama stuxnet aliyetumika kuharibu Natanz nuclear facility pale Iran hapo 2010, Stuxnet ilikuwa ni joint operation kati ya Israel na USA.

Kaspersky katika muda wote huu walikuwa hawajui kuna shambulizi kwenye mifumo yao mpaka pale siku moja engineer wa kaspersky alikuwa akijaribu tool fulani ambapo aliona kuna kitu hakipo sawa kwenye mifumo yao.

Asee unatuma virus kwenda kwenye mifumo ya kampuni ambayo inahusika na ulinzi dhidi ya virus, ieleweke vyema sio kuhack computer iliyokuwa na kaspersky bali waliingia kwenye mfumo mzima wa database za kaspersky, yaani niseme uingie kwenye database za jamiiforums, utazame emails za watu, password, username,inbox and everything unafikiri ni mchezo? sio mchezo.

Israel ndivyo walivyokuwa wanafanya inasemekana walipata taarifa za emails, passwords and everything za watumiaji wa kaspersky na documents za kutoshana na wakajua kuna udukuzi unaendelea.

Hapo niliwavulia kofia, lakini kumbe kuna wababe sijui walikuwa wapi muda wote huo.

Israel imekuwa hacked na yenyewe na sasa Israel anamnyooshea kidole Iran kwamba anahusika na udukuzi huo, kuna shambulizi walifanya juzi juzi hapa Iran.

Inaonekana kwamba udukuzi huo ulilenga kampuni ya usalama wa mtandao inayoitwa Portnox, ambayo yenyewe inaonekana kuwa mtoaji mkuu wa usalama wa mtandao kwa utawala wa Israeli, pamoja na Sekta ya Anga , kampuni la ndege la Israel, Shirika la mawasiliano la Israel(Bezeq kwa bongo tuseme TTCL) na Clalit Healthcare shirika kubwa Israel linalohusika na utoaji wa huduma za afya Israel, ambapo targets zote hizo zina uhusiano wa moja kwa moja na serikali ya Israeli, na mifumo ya ulinzi.

Ushahidi pia unaonyesha kuwa taarifa nyingi amabazo zimevujishwa zina habari za siri juu ya mitandao na kampuni za ulinzi za Israeli.

Msemaji wa kampuni nyingine ya usalama ya mtandao ya Israeli ya ClearSky alitangaza kuwa uharibifu uliofanywa na wadukuzi umesababisha uharibifu mkubwa kwa utawala wa Israeli, na ameelekeza kidole cha lawama kwa Iran kama asili ya shambulio hilo.

Hivi jamani waajemi tusiwachukulie poa, yaani wakaona kabisa waende kuhack company inayohusika na cybersecurity tena ya Israel, kweli kuna watu wababe.

Mwishoni mwa 2020 hapo, Iran ili hack kampuni zipatazo 80 za Israel, Iran wana ransomware anaitwa Pay2key ambaye ni hatari.
Lakini mapema tena mwaka huu 2021 Iran hao hao wamehack cybersecurity company ya Israel, inasemekana shambulizi la sasa halinma tofauti na huyo huyo ransomware anaitwa Pay2Key.

Sasa kwenye shambulizi hili la pili limejumuisha udukuzi wa websites zaidi ya 1000 za Israel zikionesha picha ya Tel-Aviv ikiwaka moto na ujumbe unaosema muda wa maangamizi unahesabika.

Pia katika baadhi ya computer hizo za cybersecurity company kumeonekana ujumbe unowataka walipe fidia ya pound 100,000 kupitia bitcoin ili kutopeleka taarifa hizo public.

Ukweli ni aibu kwa uongozi wa Israel wanajitapa kwamba ni wababe wa hizo kazi kumbe waajemi walikuwa wametulia tu, wazee wa Kidon mpooo😂😂😂😂.

Kuna professor mmoja Carlifornia amesema namnukuu...anaitwa Davidi Yaghoubian.

Ninaamini kuwa udukuzi huu wa hivi karibuni unaonyesha kuwa kweli mifumo yote iko hatarini kwa shambulio linaloweza kutokea na ikizingatiwa ukweli kwamba Israeli inajivunia sana juu ya teknolojia yake ya hali ya juu na usalama wake wa mtandao hii inathibitisha kuwa hata usalama wa mtandao wa Israeli unaweza kudukuliwa na kwa hilo inaibua swali kwanini ucheze na moto, wakati moto utapigwa vita na moto?

Chanzo cha habari haaretz cha Israel wenyewe.

View attachment 1666903

View attachment 1666905
Duqu ziko version mbili iliyohatari zaidi ni duqu 1.0 nadhani ndio iliyoleta balaa.
 
Israel anakaa kwenye makazi ya Palestinian, ili aweze kuendelea kukaa pale lazima ahakikishe waislamu wote kwenye region ambao wanamuona yeye ni mbaya anawamiliki, Iran ana support hamas,hezbollah n.k, Syria pia ni ally wa Iran.
Kumbuka kile kinu kule Syria Israel walikipiga, kumbe Syria na wao wana wish wapate silaha za maangamizi, sasa jiulize kwa nini Syria wanataka silaha za maangamizi? wana ubaya na nani kama sio Israel.

Iran kuwa na nukes usishangae na Syria akaja kupewa training au silaha za nukes na Iran, au Hezbollah wakapewa nukes na Iran.
Israel wanaona salama yao na uhai wa taifa lao ni Iran asiwe na nukes, uhai wa Israel ni Iran isiwe na nukes.

Kwa hilo Israel imekuwa ikifanya misson za hatari sana, yaani unasikia ile bondia anapiga ngumi ambazo sio za uzito wake ndio Israel inachofanya.
Reagan baada ya kusikia Israel ameshambulia Iraq ile ya Sadam, Reagan aliandika kwenye kitabu chake cha kumbu kumbu "Got word of Israel bombing of Iraq - nuclear reactor. I swear I believe Armageddon is near."
akasema kwa nini Israel isingesema tukafanya jambo?
Imagine President of united state alisema hayo maneno ambae anaijua Israel na siasa za ME kuliko mimi na wewe.


Wayahudi hawataki kurudi walipotoka, machozi, jasho na damu vimewatoka kufika pale ME, lakini wanafika pale wanaanza tena kuua watu.
Believe it or not Israel hawana uwezo wa kupambana na Iran, mi nawaambia tu ukweli, ingekua na huo uwezo kwa hatari iliyopo mbele yao wasingechelewa kulianzisha.
Israel inachotaka ni USA kuishambulia Iran, accuracy ya missiles za Iran inatisha mno, Trump analijua hilo, USA na yeye anajua kuikamata Iran ni sawa na kumshika goroli Putin.
Kazi ipo.
Waarab walishaungana wote kumpiga Israel lakini wakashindwa, anajua tabia za waarab zilivyo ndio maana kanuni ni uwe rafiki yake au uwe adui. Kwenye hivi vita Israel aliteka Golan Heights za Syria, Syria bado hajakubali na amekuwa akitafuta namna ya kuzirudisha.
Kuhusu uwezo wa Iran ni overrated, kupiga makambi ya marekani haikuwa kipimo sahihi. Katika hali ya kawaida, ukimtendea mtu jambo baya (hata mtoto mdogo) lazima achukie na ikiwezekana alipe kisasi.
Marekani kumuua Qasim Suleiman ilijua wazi Iran italipiza kisasi ndio maana USA walivumilia vitendo hivyo.
Wiki iliyopita Iran ilikuwa inaadhimisha mwaka 1 tangu kuuliwa kwa Qasim na vyanzo vya habari vilionyesha Iran itashambulia tena kambi za Marekani.
Wakati huu Marekani hakutaka utani, katuma B52 mbili na Aircraft carrier moja, Iran katulia, alichokifanya ni waziri wake wa mambo ya nje Jawad Zariff kulalamika kwa nini marekani inaleta ndege ghali za vita eneo hilo.
Pili kuhusu Iran na Israel hawa ni wababe wawili, lolote laweza tokea hasa ukizingatia Israel ana mabomu ya nuclear iliyo tayari kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom