Nilikuwa naikubali Israel kwenye cyber security, kumbe wachovu tu mbele ya Iran

Waisrael si ndio wametulamba Bilioni 2 na wakashindwa kumpata GOGOKI?
 
Hii michezo naipenda sana nasikia Kagame Kaunda kikosi kazi cha kucheza hii michezo anasubiri siku akichokozwa alianzishe sijui kama tutamuweza sisi ambao hata website ya brela haifanyi kazi kwenye baadhi ya web browser
Teh teh teh 🤣🤣🤣...hii comment imenifurahisha aisee...haaa haaa 😃😃..
 
Hii michezo naipenda sana nasikia Kagame Kaunda kikosi kazi cha kucheza hii michezo anasubiri siku akichokozwa alianzishe sijui kama tutamuweza sisi ambao hata website ya brela haifanyi kazi kwenye baadhi ya web browser
Atakutana na mafaili ya akina kigogo tu. Tanzania haina siri sensitive kivile zilizo kwenye mifumo ya computer. Hata njiti za kibiriti tunanunua, siri labda za mipango ya akina Mahela.
 
Iran isingeweza kwenda kupiga tena kambi za US, wauaji waliomuua Fakhrizadeh hawajajisema ila ilibaki Iran kuinyooshea kidole Israel, sasa iweje Israel afanye tukio Iran akapige kambi za USA.
B-52 na hio carrier ni warning kwa Iran isiguse allies wa USA kama Israel, Saudia n.k.

Kisasi cha Iran kwa watuhumiwa hakijulikani hapo tusubiri.

B-52 zipatazo 30 ziliteremshwa kwenye ile vita ya Vietnam, USA kurusha hizo B-52 mbili ni onyo tu kwa Iran lakini ukweli ni kwamba kwa hizi nyakati USA haihitaji vita, wanajua vyema hawawezi kuizuia Iran kulipa kisasi.
 
Hata burundi wanacho hichi kitengo kwa upande wa Tz kipo tena wanachukua mafunzo urusi china, Malaysia na nchi moja yenye vikwazo lukuki(classmate wangu mmoja yupo huko)

PK anaonekana yupo mbele kwa sababu anajitangaza huwezi amini nawajua kwa sura majina na namba zao za simu majasusi zaidi ya kumi wa Rwanda ambao wapo urusi wanasomea haya madude
Hii michezo naipenda sana nasikia Kagame Kaunda kikosi kazi cha kucheza hii michezo anasubiri siku akichokozwa alianzishe sijui kama tutamuweza sisi ambao hata website ya brela haifanyi kazi kwenye baadhi ya web browser
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…