4wd wanasema ndo bomba kwenye shida kama utelezi/tope na milima but inakata wese balaaUnaweza ukawa na gari yenye cc kubwa (2500/3000 au zaidi) ikawa na nguvu ila ukashindwa kufika Kufika kule uendako(haina 4wd/AWD).
Ila jamani me napenda sana gari yangu yakuja kuanzia maisha iwe raver4 tena old modern ila iwe kwenye hali nzuri dah napenda sana alafu nikitoka hapo nije kwenye klugger baada yahapo ndio nianze kwenda nafashioooooni zamagari yaani ndinga nzuriii ikinivutia nang'oa bila presha kipindi hicho nakuwa mcharo kweli kweliHaaahaaa ...huyo anafananisha Klugger na mgonjwa wa sikoseli X trail[emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweli mkuu nilikuaga na mazda rx-8 2005 model na nilishawshi kuisema humu jf ina cc 1300,4 clyinders inatoa Hp 200 na zaidi lkn inatembea kuliko Altezza na gari za aina hio labda subaru forester turbo+sti wrx ndo zilizikua zinanikimbiza kwa kiasi chake.Hivi gari ya cc ndogo kumbe nayo ni janga?!...full kuhema[emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa full time 4wd hapo ndio mziki mnene kwny wese,hizo AWD ndio zinazotumika kwny Subaru naona ni the best kwangu.4wd wanasema ndo bomba kwenye shida kama utelezi/tope na milima but inakata wese balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Not sure..... Hiyo Brevis Nimeshuhudia mwenyewe more than five times. Halafu ukiichoka uuzaji wake sasa ndiyo usiseme, lazima uuze kwa hasara. Lakini gari iko very comfortable .
Mungu ni mwema bro atafanya maarifa yake.Ila jamani me napenda sana gari yangu yakuja kuanzia maisha iwe raver4 tena old modern ila iwe kwenye hali nzuri dah napenda sana alafu nikitoka hapo nije kwenye klugger baada yahapo ndio nianze kwenda nafashioooooni zamagari yaani ndinga nzuriii ikinivutia nang'oa bila presha kipindi hicho nakuwa mcharo kweli kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli mkuuuMungu ni mwema bro atafanya maarifa yake.
Though usishangae muda huo unapata mkwanja mawazo yakawa yamehamia kwny gari nyingine zinazo trend kwa muda huo mkuu.
Unaweza ukawa na gari yenye cc kubwa (2500/3000 au zaidi) ikawa na nguvu ila ukashindwa kufika Kufika kule uendako(haina 4wd/AWD).
Basi chukua Subaru Forester ya mwaka 2008 na kuendelea(used), kwa hakika hutajuta. Ulaji wa mafuta ni moderate,too stable,luxurious na kama mpenda mbio huwezi kunyanyasika. Zipo za Speed 240kph(cc 2300) au 180kph(cc 2000) lakini zote zikiwa na instant acceleration.Hahah kuna ukweli flani hivi lkn hapo hahah,though hio td5 ndii naitumiaga kwenda huko kwny hizo mishe mishe ila kwa mwaka aisee ni mara chache sana kwenda offroad mpk td5 nimeiweka sokoni sa hivi maana haina kazi kiiiile mkuu.
I got your point mkuu.
For the mean time labda niokote mahela ya Vx ingawa dalili za kuziokota hela sizioni ila Crossovers(nehiiiiiiiiiiiiii) maana harrier(old model) ilinishinda barabarani sikua naiona ikiwa stable kiasi ninachotaka mimi.
Kuna tofauti gani kati ya Automatic 4WD na AWD? Nijuavyo zote ni sawa,na utazipata kwenye RAV 4 za zamani ambazo ni Automatic na pia kwenye Subaru Forester karibu zote.Ikiwa full time 4wd hapo ndio mziki mnene kwny wese,hizo AWD ndio zinazotumika kwny Subaru naona ni the best kwangu.
Nunua Volkswagen Beatle ile huwaga inakula mafenesiHabari WanaJF,
Nilikuwa najichanga nichukue Toyota Brevis, ila nimeambiwa inakula mafuta sana.
Kwa wenye experience na Brevis umbali wa Km 30 inakula lita ngapi?
Ili nipate picha halisi.
Nawasilisha.View attachment 845509
Blogger & Trainer
Full time 4wd=AWD,ila sio kila gari inazo hizo.Kuna tofauti gani kati ya Automatic 4WD na AWD? Nijuavyo zote ni sawa,na utazipata kwenye RAV 4 za zamani ambazo ni Automatic na pia kwenye Subaru Forester karibu zote.
Ila 4WD ni ile ambayo ili kufanya gari iwe na Four Wheel engangement,dereva unabonyeza button/gear na kuruhusu gari liwe na kazi hiyo,tofauti na ile ya gari za AWD,hizo muda wote ziko Four Wheel Drive,yaani zikihisi ugumu kidogo tu,basi automatically zina engage gear hiyo,hivyo kwa mafuta siyo economy sana,kadri ya nijuavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao unawaona wanaongelea magari pia wakiwaona wenye ma-private jets wanasema the world isn't fair.Kumbe watanzania mnahela sana, yani mi nahangaika kusaka mzigo ninunue tukutuku ya boxer, nyie mwaongelea story za VX, Kluger, Harrier, Vanguard nk. Dah.....world is not fair
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, hatari sanaHao unawaona wanaongelea magari pia wakiwaona wenye ma-private jets wanasema the world isn't fair.
Yap mkuu,ni kweli tupuFull time 4wd=AWD,ila sio kila gari inazo hizo.
Nyingine ni mpk ui-engage 4wd wewe mwenyewe hizo ni (ON DEMAND 4WD).
That's life mkuu.