Nilikuwa najichanga nichukue Toyota Brevis, ila nimeambiwa inakula mafuta sana

Nilikuwa najichanga nichukue Toyota Brevis, ila nimeambiwa inakula mafuta sana

Haaahaaa ...huyo anafananisha Klugger na mgonjwa wa sikoseli X trail[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila jamani me napenda sana gari yangu yakuja kuanzia maisha iwe raver4 tena old modern ila iwe kwenye hali nzuri dah napenda sana alafu nikitoka hapo nije kwenye klugger baada yahapo ndio nianze kwenda nafashioooooni zamagari yaani ndinga nzuriii ikinivutia nang'oa bila presha kipindi hicho nakuwa mcharo kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi gari ya cc ndogo kumbe nayo ni janga?!...full kuhema[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweli mkuu nilikuaga na mazda rx-8 2005 model na nilishawshi kuisema humu jf ina cc 1300,4 clyinders inatoa Hp 200 na zaidi lkn inatembea kuliko Altezza na gari za aina hio labda subaru forester turbo+sti wrx ndo zilizikua zinanikimbiza kwa kiasi chake.

Ila ulaji wake wa mafuta ilikua ni lita 1 km 6(kumbuka ina cc 1300 tu) na inakula engine oil sio kitoto coz ni rotary na sio hizi piston engine.
 
Ila jamani me napenda sana gari yangu yakuja kuanzia maisha iwe raver4 tena old modern ila iwe kwenye hali nzuri dah napenda sana alafu nikitoka hapo nije kwenye klugger baada yahapo ndio nianze kwenda nafashioooooni zamagari yaani ndinga nzuriii ikinivutia nang'oa bila presha kipindi hicho nakuwa mcharo kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ni mwema bro atafanya maarifa yake.

Though usishangae muda huo unapata mkwanja mawazo yakawa yamehamia kwny gari nyingine zinazo trend kwa muda huo mkuu.
 
Hahah kuna ukweli flani hivi lkn hapo hahah,though hio td5 ndii naitumiaga kwenda huko kwny hizo mishe mishe ila kwa mwaka aisee ni mara chache sana kwenda offroad mpk td5 nimeiweka sokoni sa hivi maana haina kazi kiiiile mkuu.

I got your point mkuu.

For the mean time labda niokote mahela ya Vx ingawa dalili za kuziokota hela sizioni ila Crossovers(nehiiiiiiiiiiiiii) maana harrier(old model) ilinishinda barabarani sikua naiona ikiwa stable kiasi ninachotaka mimi.
Basi chukua Subaru Forester ya mwaka 2008 na kuendelea(used), kwa hakika hutajuta. Ulaji wa mafuta ni moderate,too stable,luxurious na kama mpenda mbio huwezi kunyanyasika. Zipo za Speed 240kph(cc 2300) au 180kph(cc 2000) lakini zote zikiwa na instant acceleration.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa full time 4wd hapo ndio mziki mnene kwny wese,hizo AWD ndio zinazotumika kwny Subaru naona ni the best kwangu.
Kuna tofauti gani kati ya Automatic 4WD na AWD? Nijuavyo zote ni sawa,na utazipata kwenye RAV 4 za zamani ambazo ni Automatic na pia kwenye Subaru Forester karibu zote.
Ila 4WD ni ile ambayo ili kufanya gari iwe na Four Wheel engangement,dereva unabonyeza button/gear na kuruhusu gari liwe na kazi hiyo,tofauti na ile ya gari za AWD,hizo muda wote ziko Four Wheel Drive,yaani zikihisi ugumu kidogo tu,basi automatically zina engage gear hiyo,hivyo kwa mafuta siyo economy sana,kadri ya nijuavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti gani kati ya Automatic 4WD na AWD? Nijuavyo zote ni sawa,na utazipata kwenye RAV 4 za zamani ambazo ni Automatic na pia kwenye Subaru Forester karibu zote.
Ila 4WD ni ile ambayo ili kufanya gari iwe na Four Wheel engangement,dereva unabonyeza button/gear na kuruhusu gari liwe na kazi hiyo,tofauti na ile ya gari za AWD,hizo muda wote ziko Four Wheel Drive,yaani zikihisi ugumu kidogo tu,basi automatically zina engage gear hiyo,hivyo kwa mafuta siyo economy sana,kadri ya nijuavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Full time 4wd=AWD,ila sio kila gari inazo hizo.

Nyingine ni mpk ui-engage 4wd wewe mwenyewe hizo ni (ON DEMAND 4WD).
 
Back
Top Bottom