Nilikuwa najichanga nichukue Toyota Brevis, ila nimeambiwa inakula mafuta sana

Nilikuwa najichanga nichukue Toyota Brevis, ila nimeambiwa inakula mafuta sana

Unadhani sijitambui? Hahahahahahaha we ndio unatakiwa kujitambua na huo umbumbumbu wako we gari unaona ina cc 2500 ama 3000 halafu unaulizia ulaji wa mafuta si unaonekana kabisa we ni kilaza. Unadhani wanaonunua vi baby walker vyenye cc chini ya 1500 kama ist, starlet na terios kid wanapenda? Nunua kitu kinachoendana na uwezo wako acha kufata mkumbo. Narudia tena brevis inakula kuanzia mafuta mpaka supu ya kongoro

Sent using Jamii Forums mobile app
kilaza[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Blogger & Trainer
 
Mkuu vipi kwenye toyota ractis ya mwaka 2008 engine ya 2SZ cc1290

Sina ufahamu nayo lkn kwa valvu zake itakuwa economy sbbu haina turbo na pia ni engine ndogo.Muhimu isiwe imechokonolewa engine na kutembea zaidi ya Km170K.Gari ni kama mwanamke piga service na ulipende watu watalitamani tu
 
Yuko right mkuu...sasa ununue Brevis cc 2500 still ni gari la chini na barabara zetu kila siku unagonga chini unaharibu mavyuma tuu!...the same centimeter cylinder si bora ununue hizo SUV harrier or klugger?

Sent using Jamii Forums mobile app
Klugger ni sh. Ngapi na Brevis ni sh. Ngapi mkuu?

Unadhani hawazioni SUV mkuu?Vyuma vimekaza tu.
 
Yuko right mkuu...sasa ununue Brevis cc 2500 still ni gari la chini na barabara zetu kila siku unagonga chini unaharibu mavyuma tuu!...the same centimeter cylinder si bora ununue hizo SUV harrier or klugger?

Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn pia watu wana tastes tofauti tofauti,kwa mfano mimi napendelea saloon cars kuliko hizo mid-size crossover kama klugger, labda yale ma full size SUV's kama ma Vx ndo nayapenda ila ndo hivyo tena vyuma+wese ni shiiida.
 
Klugger ni sh. Ngapi na Brevis ni sh. Ngapi mkuu?

Unadhani hawazioni SUV mkuu?Vyuma vimekaza tu.
Labda kwenye bei tuu...but kama Brevis inaenda mil 13, unajivuta Vuta mpaka ufikishe mil 23 uchukue SUV!

Mimi gari za chini hazijawahi kunibariki hataa! Nilikuwa nayo nilijionea mateso wanayopata wenye hizo saloon cars!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lkn pia watu wana tastes tofauti tofauti,kwa mfano mimi napendelea saloon cars kuliko hizo mid-size crossover kama klugger, labda yale ma full size SUV's kama ma Vx ndo nayapenda ila ndo hivyo tena vyuma+wese ni shiiida.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...kwenye taste nimekuelewa kabisa! Kila mtu na choice yake!

Sasa mimi gari ndogo ni kama unaniburuza tu chini, sipendelei kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kwanini naiona Klugger imekaa kizee bora hata Vanguard

Sent using Jamii Forums mobile app
Klugger sio ya kizee ni ya vijana wa kiume makini! I love nikimuona agemate anasukuma klugger!

There you are! Vanguard ni ya wadada afuu ile gari kali kinomazz, lazima ugeuze shingo ( kwa mtunzaji lkn[emoji15] )

Ndo ndoto yako nini my shostito?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klugger sio ya kizee ni ya vijana wa kiume makini! I love nikimuona agemate anasukuma klugger!

There you are! Vanguard ni ya wadada afuu ile gari kali kinomazz, lazima ugeuze shingo ( kwa mtunzaji lkn[emoji15] )

Ndo ndoto yako nini my shostito?

Sent using Jamii Forums mobile app
Vanguard au Lexus rx300 hizo ndiyo zipo kichwani hasa rangi nyeusi.

Kuna shostee ana Vanguard kai -pimp hatarii aliipeleka pale Safari Automotive imekua nzuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vanguard au Lexus rx300 hizo ndiyo zipo kichwani hasa rangi nyeusi.

Kuna shostee ana Vanguard kai -pimp hatarii aliipeleka pale Safari Automotive imekua nzuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Black is the dominant colour, Safari Automotive ni nyoko kuipimp ndinga afuu bei ya kawaida tuu niliona pia kwa staff mmoja alifanya pale!...... Ngoja mambo yangu yakae vizuri nizamie wadesign kitu yangu japo nilitaka niende pale Harrish MM Masaki..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom