GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Leo tu thread ya 40 hii toka kwako. Please, ficha uchi wa akili yako we Popoma. 😀😀😀😀1. Okra anatudai
2. Mkude anataka kulianzisha kwa Deni lake
3. Baleke anadai
4. TFF kuna Kesi Kenda (9) za Wao kudaiwa na Wachezaji
5. Kocha Mgeni na Kocha Mzawa wanadai
6. Waganga wetu hasa yule wa Mtwara anadai hadi anataka kuhamia kwa Mahasimu
7. Tumefukuzwa Kigamboni kwa Deni Kubwa na Tajiri wa Posta Ghorofani kasema kachoka Kusaidia
Kudadadeki......!!!!!!!
Bado zingine kama 78 hivi zinakuja za leo hii hii. Stay tuned.Leo tu thread ya 40 hii toka kwako. Please, ficha uchi wa akili yako we Popoma. 😀😀😀😀
Hahahaha unajifariji baada ya kukimbia kono la Nyani mkuu.Bado zingine kama 78 hivi zinakuja za leo hii hii. Stay tuned.
Simba huwa wanakuwa na sababu zinazobadilika kila siku. Hebu wana simba mseme sasa sababu hasa ni zipi?zile sababu za tarehe 8 asb ni zingine
Tulichungulia asubuhi tu na kuona dhahama nyingine inakuja na tukawa very smart katika kuwakwepeni na kufanikiwa.Hahahaha unajifariji baada ya kukimbia kono la Nyani mkuu.
Kuzuiwa na Mabaunsa wa Yanga SC huku pembeni yao wakiwepo Waandamizi wa Timu kama Rafiki yangu Msela Binda.Simba huwa wanakuwa na sababu zinazobadilika kila siku. Hebu wana simba mseme sasa sababu hasa ni zipi?
Watu wa Mpira wameshamjua kwani anatumiwa pia na Kiongozi Mwandamizi, Waziri mmoja na Wabunge kama Watatu hivi wa Kusini.Mganga wa mtwara tena!, unanichanganya hapo. Naomba maelezo zaidi kuhusu hili
UKIMWI wako?Unaumwa!??
Bullshit...1. Okra anatudai
2. Mkude anataka kulianzisha kwa Deni lake
3. Baleke anadai
4. TFF kuna Kesi Kenda (9) za Wao kudaiwa na Wachezaji
5. Kocha Mgeni na Kocha Mzawa wanadai
6. Waganga wetu hasa yule wa Mtwara anadai hadi anataka kuhamia kwa Mahasimu
7. Tumefukuzwa Kigamboni kwa Deni Kubwa na Tajiri wa Posta Ghorofani kasema kachoka Kusaidia
Kudadadeki......!!!!!!!
no 7 watu walishajipanga kumpa my wao kono la nyani imewauma sana my kukimbia kif...ro hicho1. Okra anatudai
2. Mkude anataka kulianzisha kwa Deni lake
3. Baleke anadai
4. TFF kuna Kesi Kenda (9) za Wao kudaiwa na Wachezaji
5. Kocha Mgeni na Kocha Mzawa wanadai
6. Waganga wetu hasa yule wa Mtwara anadai hadi anataka kuhamia kwa Mahasimu
7. Tumefukuzwa Kigamboni kwa Deni Kubwa na Tajiri wa Posta Ghorofani kasema kachoka Kusaidia
Kudadadeki......!!!!!!!
Kimsingi ni kweli mmefanikiwa na mmewaingiza king bodi ya ligi sasa wanaomba msamaha na kumbembeleza Hersi akubali mechi nyingine.Tulichungulia asubuhi tu na kuona dhahama nyingine inakuja na tukawa very smart katika kuwakwepeni na kufanikiwa.
Hizi hoja tushazizoea1. Okra anatudai
2. Mkude anataka kulianzisha kwa Deni lake
3. Baleke anadai
4. TFF kuna Kesi Kenda (9) za Wao kudaiwa na Wachezaji
5. Kocha Mgeni na Kocha Mzawa wanadai
6. Waganga wetu hasa yule wa Mtwara anadai hadi anataka kuhamia kwa Mahasimu
7. Tumefukuzwa Kigamboni kwa Deni Kubwa na Tajiri wa Posta Ghorofani kasema kachoka Kusaidia
Kudadadeki......!!!!!!!