Nilikuwa najua wanaume wanachukia wanawake wenye tattoo

Huyo aliyekuambia uchore kiunoni anakutafutia mabaya, mimi binafsi demu ambaye ana tattoo siwezi ku deal naye, nilishajijengea kichwani wanakuwa mambo mengi sana
Siwezi jamani nilishangaa tu mwanaume ambae yuko comfortable na mwanamke mwenye tattoo
 

Uko sahihi mkuu, binafsi mwanamke mwenye tattoo huwa namwona kama ni mhuni, japo yawezakana nkawa siko sahihi
 
Wanakudanganya hao ukichora utaona madhara yake ukizeeka
 
TATOO NA UMALAYA VIMETENGANA KIDOGO SANA KAMA UGENIUS NA WEHU
 
KWA HILI LA TATOO UMEJISHUSHIA CREDIBILITY YAKO
 
Siwezi kuchora Tattoo na Siwezi kumdate mtu mwenye Tattoo ingawa siwahukumu waliochora sababu kila mtu na pendekezo lake, ila nina marafiki wengi sana wana Tattoo na wapo cool sababu kila mchora Tattoo lazima awe na maana nayo.
LESBIAN SHUT UP
 
hao jamaa watakuwa wanaangalia sana porn tena zile za red hair [emoji23][emoji23] wadada wengi huko ni kama latino fulani hivi wenye tattoo. Waambie waache angalia porn Mkuu.
Wewe umewajuaje kama sio mdau?
 
Mi mwenyewe kupiga manzi mwenye tatoos ni burudani sana ila kichwani najenga imag kuwa ni Malaya na siwezi kuruhusu wife awe na hayo mamichoro
 
Dah...wengine sisi shanga tu...hata zikiwa dukani...tukiziona..masikio yanasimama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mzigua90 ninavyojua mimi asilimia kubwa ya wanaume hawazipendi tattoo kuna picha fulani inajengeka akilini kutokana na asilimia kubwa ya waliochora tattoo wana tabia nyingine zile mfano uvutaji bangi na mambo kama hayo japo si wote upande wangu naweza kudate au hata kuolewa na mwenye tattoo akiwa ni mtu anayeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…