Nilikuwa najua wanaume wanachukia wanawake wenye tattoo

Nilikuwa najua wanaume wanachukia wanawake wenye tattoo

Usijidanganye, that is just sex fantasy. Na siyo mapenzi.
Kati ya ujana ambao nashukuru Mungu aliniepusha nao ni Tattoo, naomba kila mara wanangu pia Mungu awape mwongozo huo.
Nakumbuka enzi za uvulana tattoo iliyoshika kasi ilikuwa nanga, ukiona mtu amechora nanga kwenye muscles unahisi ni baharia tu, Ubaharia tulikuwa tunaona ndio watu walio endelea, ukianza kupewa stori za mizunguko yao unahisi kuwa ni waponda raha sana.
Siku moja nikaenda kuchora tattoo, Nakumbuka ile naanza kuchorwa umeme unakatika, ndio ukawa mwisho wa kuwaza kuchora tattoo.
 
Kuna siku nilikua nasafiri na rafiki zangu wawili mmoja ni mwanajeshi. Akawa anapondea sana tattoo yeye na huyo mwingine. Wakawa mpaka wanatoa mfano wa rafiki yetu mwingine mwenye tattoo kwamba anaonekana wa ajabu sijui nini.
Nichowajibu ni kwamba tattoo ni urembo tu sema nikaelewa.

Sasa nimekutana na wakaka kama watatu. Mapenzi yao kwa tattoo yamenishangaza sana. Tuseme wote walikua wananitaka cha ajabu wanashangaa kwanini sina tattoo.
Mmoja wapo ananiambia akiona mwanamke ana tattoo anadata kabisa.
Aliniambia siku nikiwa tayari kudate nae atapenda nichore tattoo na mchoraji ataniletea mwenyewe lakini yeye hana tattoo na hawezi kuchora tattoo.

Mwingine tena ananiambia kiasi gani anapenda tattoo hasa tattoo ya kiuno (kanishauri pia nikitaka kuchora tattoo nichore kiunoni ndo nitapendeza zaidi). Ananiambia rafiki zangu wana tattoo kwanini mimi sina.

Nimeshangaa tu haya mambo ya wanaume kupenda tattoo za wadada niaje au ni utamaduni wa nje umewabadilisha fikra zao au ndio mabadiliko ya kaka zetu kuanza kuona tattoo ni urembo kama kucha na nywele.
Tattoo ni kuendeleza utumwa,zilitumika kama alama kwa babu zetu kipindi cha utawala wa mkoloni
 
Nakumbuka enzi za uvulana tattoo iliyoshika kasi ilikuwa nanga, ukiona mtu amechora nanga kwenye muscles unahisi ni baharia tu, Ubaharia tulikuwa tunaona ndio watu walio endelea, ukianza kupewa stori za mizunguko yao unahisi kuwa ni waponda raha sana.
Siku moja nikaenda kuchora tattoo, Nakumbuka ile naanza kuchorwa umeme unakatika, ndio ukawa mwisho wa kuwaza kuchora tattoo.

Nanga na usukani wa meli.

Mimi nilikuwa naishia kuchora ambazo zinafutika.
 
Swadakta bibie, wanaume sisi ni watu wa fix mnoo, na kuhusu kupenda asikuongopee mtu sie huwa tunaanza kutamani kabla ya kupenda, mapenzi hujengeka mumo kwa mumo!!

Nakupenda ni neno tu, yaweza kuwa anamaanisha ama fix, ila lazima ndani yake viwemo vitu hivi kama atakujali, atakuheshimu, atakuthamini na kukusikiliza basi ujue huyo anakupenda vinginevyo ni fix tu.
Itakubidi umeze mate ya akili.
Ahsante kwa maelezo mazuri
 
Kuna siku nilikua nasafiri na rafiki zangu wawili mmoja ni mwanajeshi. Akawa anapondea sana tattoo yeye na huyo mwingine. Wakawa mpaka wanatoa mfano wa rafiki yetu mwingine mwenye tattoo kwamba anaonekana wa ajabu sijui nini.
Nichowajibu ni kwamba tattoo ni urembo tu sema nikaelewa.

Sasa nimekutana na wakaka kama watatu. Mapenzi yao kwa tattoo yamenishangaza sana. Tuseme wote walikua wananitaka cha ajabu wanashangaa kwanini sina tattoo.
Mmoja wapo ananiambia akiona mwanamke ana tattoo anadata kabisa.
Aliniambia siku nikiwa tayari kudate nae atapenda nichore tattoo na mchoraji ataniletea mwenyewe lakini yeye hana tattoo na hawezi kuchora tattoo.

Mwingine tena ananiambia kiasi gani anapenda tattoo hasa tattoo ya kiuno (kanishauri pia nikitaka kuchora tattoo nichore kiunoni ndo nitapendeza zaidi). Ananiambia rafiki zangu wana tattoo kwanini mimi sina.

Nimeshangaa tu haya mambo ya wanaume kupenda tattoo za wadada niaje au ni utamaduni wa nje umewabadilisha fikra zao au ndio mabadiliko ya kaka zetu kuanza kuona tattoo ni urembo kama kucha na nywele.
Babe Usije ukachora tatoo full stop
 
Kama mwanamke anaweza kutoboa kipini puani
atashindwaje kutoboa moyo wako??

Aliskika dogo mmoja wa Senegal kabla hajafunga goli
Jamani jamani!!! Mbona huu utamaduni wa kutoboa pua ni wa miaka mingi,
bibi yangu ana miaka 90 sasa na ana kipini puani na hakuwahi kuachika kwa mume wake mpaka wamezeeshana.
 
Jamani jamani!!! Mbona huu utamaduni wa kutoboa pua ni wa miaka mingi,
bibi yangu ana miaka 90 sasa na ana kipini puani na hakuwahi kuachika kwa mume wake mpaka wamezeeshana.
Ndo ujue watu wanakataaga vitu wanavyoona kwao sio sahihi lakini havina maana yoyote kwa wao kukataa
 
Jamani jamani!!! Mbona huu utamaduni wa kutoboa pua ni wa miaka mingi,
bibi yangu ana miaka 90 sasa na ana kipini puani na hakuwahi kuachika kwa mume wake mpaka wamezeeshana.
kwa wazee wa zamani waliojua kukaa na ndoa sawa.walichukulia vitu kama hivyo ni urembo!
ila hawa wa sasa wanaweka kama alama inayojitafsiri kuwa yeye ni mtu wa aina gani.
 
Sasa nimekutana na wakaka kama watatu. Mapenzi yao kwa tattoo yamenishangaza sana. Tuseme wote walikua wananitaka cha ajabu wanashangaa kwanini sina tattoo.
Kwahio walikuwa wanataka 4-some?!!
 
Back
Top Bottom