Nilikuwa najua wanaume wanachukia wanawake wenye tattoo

Nilikuwa najua wanaume wanachukia wanawake wenye tattoo

Hao wote hawatakuoa wanataka kukukaza then wasepe zao....
Kuna siku nilikua nasafiri na rafiki zangu wawili mmoja ni mwanajeshi. Akawa anapondea sana tattoo yeye na huyo mwingine. Wakawa mpaka wanatoa mfano wa rafiki yetu mwingine mwenye tattoo kwamba anaonekana wa ajabu sijui nini.
Nichowajibu ni kwamba tattoo ni urembo tu sema nikaelewa.

Sasa nimekutana na wakaka kama watatu. Mapenzi yao kwa tattoo yamenishangaza sana. Tuseme wote walikua wananitaka cha ajabu wanashangaa kwanini sina tattoo.
Mmoja wapo ananiambia akiona mwanamke ana tattoo anadata kabisa.
Aliniambia siku nikiwa tayari kudate nae atapenda nichore tattoo na mchoraji ataniletea mwenyewe lakini yeye hana tattoo na hawezi kuchora tattoo.

Mwingine tena ananiambia kiasi gani anapenda tattoo hasa tattoo ya kiuno (kanishauri pia nikitaka kuchora tattoo nichore kiunoni ndo nitapendeza zaidi). Ananiambia rafiki zangu wana tattoo kwanini mimi sina.

Nimeshangaa tu haya mambo ya wanaume kupenda tattoo za wadada niaje au ni utamaduni wa nje umewabadilisha fikra zao au ndio mabadiliko ya kaka zetu kuanza kuona tattoo ni urembo kama kucha na nywele.
 
Wanataka kukumega tu! Mwanaume akikutaka hata chongo atakuambia ni urembo
 
Tatto Ya Kiuno !
FB_IMG_1562214458601.jpg
 
Hao wote walokwambia ni masharobalo.... Ulion wapi sharobalo akawa na malengo murua!?
Kwangu mim tattoo ni ungese
 
Wanawake wengi wenye tattoo huwa hawaolewi fanya tafiti utagundua hilo
 
Jamani jamani!!! Mbona huu utamaduni wa kutoboa pua ni wa miaka mingi,
bibi yangu ana miaka 90 sasa na ana kipini puani na hakuwahi kuachika kwa mume wake mpaka wamezeeshana.
Ni malaya tu uyo bibi yako
 
Hakuna mwanaume anapenda mwanamke wake wa maisha/kuoa awe na tattoo..

Tunapenda wa kupiga na kuacha wawe nazo..
Hilo tuu dada angu
 
Wanasema wao hawapendi kabisa kujichora tattoo, surprisingly wao wanapenda sana wadada wanaojichora tattoo.

Huwa wanaume ni viumbe waongo sana, halafu wadada bado hawajang'amua hilo.
 
Tatoo kiuno daah, ningejua kuchora ninge wagegeda san[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliniambia siku nikiwa tayari kudate nae atapenda nichore tattoo na mchoraji ataniletea mwenyewe lakini yeye hana tattoo na hawezi kuchora tattoo

Hebu soma hii sentensi, taratibu. Ukimaliza, rudia tena.
 
Wanasema wao hawapendi kabisa kujichora tattoo, surprisingly wao wanapenda sana wadada wanaojichora tattoo.

Huwa wanaume ni viumbe waongo sana, halafu wadada bado hawajang'amua hilo.
Mmoja wapo ana tattoo mmoja ndio hawezi kuchora
 
Usiweke tattoo mpenzi enhee huwa tunaoa wasio na tattoo ila tunatumia wenye tattoo
 
Kwa utamaduni wetu kuwa na tattoo unaonekana mhuni, ila kwa tamaduni za wazungu tattoo ni kitu cha kawaida.

Mimi nikaenda bar nikakuta mdada anavuta sigara na ana matattoo najua yupo kazini, anauza. Na mara nyingi inakuwaga hivyo.
 
Yaani mwanamke mwenye tattoo anaonekana kuwa ameshindikana. .ni bonge la Paka

Yaani ni sawa na wanaume wapenda jicho Huwa wanapenda kuwala michepuko ...Lakini wanapinga vikali kabisa wake zao kuliwa jicho na hawajaribu kabisa kuwafanyia hivyo wake zao .....

Hii inadhihirisha jinsi ambavyo hao wanaume wapenda tattoo huwa wanapenda wanawake wanajichora hiyo michoro kwa sababu huwa Wana waona kama sex machine
Mimi mwenyewe napenda Tattoo ya mwanamke kiunoni ...

Maajabu mke wangu akiniletea hizo mambo za kuchora tattoo naweza nikamlamba Keleb
 
Back
Top Bottom