Kwanini sasa?Mimi mwenyewe napenda Tattoo ya mwanamke kiunoni ...
Maajabu mke wangu akiniletea hizo mambo za kuchora tattoo naweza nikamlamba Keleb
Jibu la swali kwanini litakuwa kwenye hitimisho la mwisho la sentensi yako " sidhani kama nitapenda mume wangu awe nayo "Kwanini sasa?
Hata mimi napenda mwanaume mwenye tattoo mkononi ila sidhani kama nitapenda mume wangu awe nayo
Kwanini sasa?
Hata mimi napenda mwanaume mwenye tattoo mkononi ila sidhani kama nitapenda mume wangu awe nayo
Tattoo moja au mbili si mbaya lakini umejaza tattoo mikononi, makalioni, mapajani, kiunoni na mgongoni kwangu mie ni uchafu. Ila nimewahi kuona tattoo za kiunoni urembo fulani hivi zinapendeza sana.
Ndio jamii inavyochukulia hivyo na hata mimi nilikua najua wanaume wanaona wanawake wenye tattoo ni malaya.dah me mwanamke ambae anachora tatoo huwa namuona malaya kwani kuna jamaa yangu ni mchora tatoo kila siku anawatomba wa dada hasa hao wanaotaka kuchotwa tatoo za kiuno na sehemu nyingine za siri maana akishikwa tu imo kifuatacho itv kinajulikana
Ndio jamii inavyochukulia hivyo na hata mimi nilikua najua wanaume wanaona wanawake wenye tattoo ni malaya.
Kwenye hao wanaopenda tattoo nadhani mmoja wapo anapenda mwanamke mwenye muonekano wa kimalaya (kama jamii tunavyochukulia), Ex gf ambae alimvalisha pete ya uchumba kabisa katoboa kila kitu na tattoo kama zoteee.
Bora nichore kwa maamuzi yangu.Siku chora afu kuwa nae. Atakutumia na kukudump kisha anaoa ambaye Hana tattoo yoyote hata ya kusingiziwa tu.
Wanaume akili zao wanazijua Wenyewe tu.
Akili kumkichwa chako
NakaziaNakupa ushauri mmoja tu, usichore tattoo, usimshauri mwanao kuchora tattoo.
It is simple as that.
Sawa mchumba
Hata mimi naonaga mwanamke kuwa na matattoo mengi ni uchafu. Ila moja au mbili zenye rangi nzuri urembo mzuri tuuTattoo moja au mbili si mbaya lakini umejaza tattoo mikononi, makalioni, mapajani, kiunoni na mgongoni kwangu mie ni uchafu. Ila nimewahi kuona tattoo za kiunoni urembo fulani hivi zinapendeza sana.