Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Mazishi yakafanyike huko kwa akina mwanamke.
Ni vema pia kuheshima maamuzi ya mwenye kaya.
Sasa hapo fikiria, marehemu anampambania azikwe kwa dini ya mumewe. Je, angekuwa hai mtoto? Ungemkataza kutowasiliana na babaye? Ungemkataza kukutana naye?
Ni vema pia kuheshima maamuzi ya mwenye kaya.
Sasa hapo fikiria, marehemu anampambania azikwe kwa dini ya mumewe. Je, angekuwa hai mtoto? Ungemkataza kutowasiliana na babaye? Ungemkataza kukutana naye?