Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Kabisadini zimekuja na meli tuh zisitugawe
Kwanini uwasiliane na mtu ambaye si mumeo?Mazishi yakafanyike huko kwa akina mwanamke.
Ni vema pia kuheshima maamuzi ya mwenye kaya.
Sasa hapo fikiria, marehemu anampambania azikwe kwa dini ya mumewe. Je, angekuwa hai mtoto? Ungemkataza kutowasiliana na babaye? Ungemkataza kukutana naye?
mimi huwa sina shida kabisa na swala za mtu kutoka dini isiyo yanguKabisa
Nimesema kama tu hataki mfu azikwe kwa taratibu za mumewe bali kwa mzazi wa mtoto, angeweza kuzuiliwa kweli kujihusisha na baba mtoto?Kwanini uwasiliane na mtu ambaye si mumeo?
Hapo ingekuwa shida aiseeNimesema kama tu hataki mfu azikwe kwa taratibu za mumewe bali kwa mzazi wa mtoto, angeweza kuzuiliwa kweli kujihusisha na baba mtoto?
Atakua ana mashetani huyoNduguze hawataki hata kumsikia huyo bwana maana mtoto wao mpaka aliponea hospital
Kabisa dearUmeona cute....msimamo...tatizo hatuna msimamo🤨
Huna akili,kwa sababu umemkuta na mtoto wa miezi 6 unafikiri ndiyo unaona ni mwanao na una haki ya kuamua mtoto azikwe vipi!
HUyu mwanamke aliolewa akiwa na mtoto mwenye umri wa miezi 6 na jamaa mkatoriki
Mtoto kafariki akiwa mkubwa,huyo mwanamke anataka mtoto azikwe kwa imani ya kiislamu
Ebu fikiria nyumbani kwako kufanyike ibada ya imani tofauti na yako,wewe baba wa familia utajisikiaje
Jamaa kaamua kwenda polisi kuzuia maziko
Pombe kidogo tu! Unajuaje labda jamaa likilewa linajisaidia hovyo hovyo!Kuna binti tumepanga nae pamoja hapa....alimkimbia mumewe Kwa kipigo cha mbwa mwizi...I mean walishindwana Kwa njia hiyo....sasa Kuna mwamba alimchukua waishi naye....jamaa anamhandle vizuri tu ila kasoro yake jamaa ni Lazima apitie kunywa kidogo ndo arudi skani.....namsikia binti akijiongelesha "Yaan baba Fulani alikuwa hanywi kabisa!"....nikamuuliza wamaanisha Nini? Eti,mi Bora nirudi tu Kwa mume wangu😳.......kipigo cha hospital vs pombe kidogo tu🤨 au mie ndo sielewi eti?
Baba mzazi wa mtoto anasemaje?
HUyu mwanamke aliolewa akiwa na mtoto mwenye umri wa miezi 6 na jamaa mkatoriki
Mtoto kafariki akiwa mkubwa,huyo mwanamke anataka mtoto azikwe kwa imani ya kiislamu
Ebu fikiria nyumbani kwako kufanyike ibada ya imani tofauti na yako,wewe baba wa familia utajisikiaje
Jamaa kaamua kwenda polisi kuzuia maziko
Hao ndivyo walivyo. Kuzaa azae mwingine wewe usilimishe hata maiti! Ujinga na ubinafsi mtupu. Acha mama azike mwanae atakavyo
HUyu mwanamke aliolewa akiwa na mtoto mwenye umri wa miezi 6 na jamaa mkatoriki
Mtoto kafariki akiwa mkubwa,huyo mwanamke anataka mtoto azikwe kwa imani ya kiislamu
Ebu fikiria nyumbani kwako kufanyike ibada ya imani tofauti na yako,wewe baba wa familia utajisikiaje
Jamaa kaamua kwenda polisi kuzuia maziko
Tumepanga pamoja mkuu.AsantePombe kidogo tu! Unajuaje labda jamaa likilewa linajisaidia hovyo hovyo!
MsalimuKuna binti tumepanga nae pamoja hapa....alimkimbia mumewe Kwa kipigo cha mbwa mwizi...I mean walishindwana Kwa njia hiyo....sasa Kuna mwamba alimchukua waishi naye....jamaa anamhandle vizuri tu ila kasoro yake jamaa ni Lazima apitie kunywa kidogo ndo arudi skani.....namsikia binti akijiongelesha "Yaan baba Fulani alikuwa hanywi kabisa!"....nikamuuliza wamaanisha Nini? Eti,mi Bora nirudi tu Kwa mume wangu😳.......kipigo cha hospital vs pombe kidogo tu🤨 au mie ndo sielewi eti?
Inaumiza sana aiseeKuanzia leo sitalaumu kebehi zinazoelekezwa kwetu. Nilitamani sana nisichangie hii mada, ila kwa namna friji langu haligandishi acha niserereke. Aliyeturoga ni nani?? Upendo wa baba wa watu, leo umegeuka kejeli kwake..unamzomea right in his face. Siangalii sana mambo ya dini maana dini zina wenyewe, ninachoujiuliza is this woman in her right state of mind??
Hili jambo lilikua ni la kukaa chini na kusikilizana, lakini mpaka global tv unahojiwa, unadiriki kusema au kisa we baba una hela!! Hela zake hukuzikataa kipindi ameamua kukufuta machozi ya kukataliwa?? Sisi ndio tunaowafanya wanaume wawe the so called "mbwa". We are the ones who created them, nonsense..
🤣🤣🤣Atakua ana mashetani huyo
JamboUngrateful woman
Hakuna Matata🙏Jambo