Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Huyo Jamaa Mkatoliki alijifanya ana Mahaba sana akalea mtoto wa mwanaume mwenzie.Kwahiyo mchizi aliwahi sentro mwenyewe 🤣🤣🤣
Mchaga atakuwaje mwarabu hapo baba mzazi wa mtoto ndio mwarabu ila baba mlezi ndio mchagaBaba yake sio Mtanzania ni Mwarabu ni Mchaga.
Unajua kwenye jamii ya watu weusi hapa Tanzania mfano Shinyanga, Mara, Kagera na Mpanda wakiona Mchaga wanamwita Mwarabu[emoji28][emoji28]
Taratibu Dada sio sisi 😄😄😄Kuanzia leo sitalaumu kebehi zinazoelekezwa kwetu. Nilitamani sana nisichangie hii mada, ila kwa namna friji langu haligandishi acha niserereke. Aliyeturoga ni nani?? Upendo wa baba wa watu, leo umegeuka kejeli kwake..unamzomea right in his face. Siangalii sana mambo ya dini maana dini zina wenyewe, ninachoujiuliza is this woman in her right state of mind??
Hili jambo lilikua ni la kukaa chini na kusikilizana, lakini mpaka global tv unahojiwa, unadiriki kusema au kisa we baba una hela!! Hela zake hukuzikataa kipindi ameamua kukufuta machozi ya kukataliwa?? Sisi ndio tunaowafanya wanaume wawe the so called "mbwa". We are the ones who created them, nonsense..
Akazikwe kwa baba yake si yuko hai? Na mwanamke apigwe talaka haraka inaonekana ana mawasiliano na baba wa marehemuMazishi yakafanyike huko kwa akina mwanamke.
Ni vema pia kuheshima maamuzi ya mwenye kaya.
Sasa hapo fikiria, marehemu anampambania azikwe kwa dini ya mumewe. Je, angekuwa hai mtoto? Ungemkataza kutowasiliana na babaye? Ungemkataza kukutana naye?
Ili Maza azidi kutamba kamuweka kiganjani tajiri wa kichaga??😂😂Hata ukiwa nyumbani kwake bado haiathiri chochote kwa mwanaume tena ndio itaonyesha ukomavu wake wa akili na upeo wa maisha sote tunapita vitu kama misiba sio vya kuleta kupishana kauli
Naunga na huyo mwamba. Mwamba hata ibada za maziko za dini asiyoiamni nyumbani kwake. PeriodHao ndivyo walivyo. Kuzaa azae mwingine wewe usilimishe hata maiti! Ujinga na ubinafsi mtupu. Acha mama azike mwanae atakavyo
Sisi wazee wako tunashukuru kwa mchango wako,ubarikiweKuanzia leo sitalaumu kebehi zinazoelekezwa kwetu. Nilitamani sana nisichangie hii mada, ila kwa namna friji langu haligandishi acha niserereke. Aliyeturoga ni nani?? Upendo wa baba wa watu, leo umegeuka kejeli kwake..unamzomea right in his face. Siangalii sana mambo ya dini maana dini zina wenyewe, ninachoujiuliza is this woman in her right state of mind??
Hili jambo lilikua ni la kukaa chini na kusikilizana, lakini mpaka global tv unahojiwa, unadiriki kusema au kisa we baba una hela!! Hela zake hukuzikataa kipindi ameamua kukufuta machozi ya kukataliwa?? Sisi ndio tunaowafanya wanaume wawe the so called "mbwa". We are the ones who created them, nonsense..
Wewe ni mwislam?Yaani nakuunga mkono hapo tu kwenye kutooa singo maza lakini haya mengine kama mwanamke kataka mwanae azikwe kiislamu na sio mtoto wako kwann usimpe nafasi akamaliza maziko kwani itapunguza nn kwenye nyumba yako
Mapenzi upofuTunawaambia mnatuona wajinga😅😅😅
Na huyo mwanaume mkatoliki alikuwa fala sana.
Unaoa mwanamke aliyezaa mtoto miezi sita kwa mwanaume mwingine? Huyu K si bado imelowa Mboo ya jamaa??
MApenzi na huruma vinachangia unajikuta umoHivi nguvu hata za kujaribu kuwaza kuoa singo maza hua mnazipata wapi
We ndio uliyemuoa huyo singo mama, acha kunywa pombe kila siku tenga siku za weekend tuKuna binti tumepanga nae pamoja hapa....alimkimbia mumewe Kwa kipigo cha mbwa mwizi...I mean walishindwana Kwa njia hiyo....sasa Kuna mwamba alimchukua waishi naye....jamaa anamhandle vizuri tu ila kasoro yake jamaa ni Lazima apitie kunywa kidogo ndo arudi skani.....namsikia binti akijiongelesha "Yaan baba Fulani alikuwa hanywi kabisa!"....nikamuuliza wamaanisha Nini? Eti,mi Bora nirudi tu Kwa mume wangu[emoji15].......kipigo cha hospital vs pombe kidogo tu[emoji2955] au mie ndo sielewi eti?
Am a womanWe ndio uliyemuoa huyo singo mama, acha kunywa pombe kila siku tenga siku za weekend tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mwanaume aliyekamilika hapendi dharau na aibu ndogo ndogo, umlishe, umpe kila hitaji aliyetelekezwa leo udharauliwe?Baba mzazi wa mtoto anasemaje?
Asichokijua mzazi wa kufikia ni kwamba mbinguni hauendi kwa kuzikwa kikristo. Ni maisha kabla ya kufa ndiyo yanayoamua utakakokwenda. Ingekuwa arusi sawa.Ila siyo jinsi ulivyozikwa .Mungu huwa hapokei roho ya mtu aliyekufa kabla ya kutubu.So mashindano ya hivyo hayana maana yoyote kabisa
Hizi ni akili za kichawi tu, kwani To yeye dume?We ndio uliyemuoa huyo singo mama, acha kunywa pombe kila siku tenga siku za weekend tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app