Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Messi ni staa kabla Ya pep, Ronaldo anachukua Baloon D or 2007/08 Messi anashika nafasi ya Pili, Pep Alikuwa Bado Hajakuja Barcelona.Km hujui soka ukar pemben ww hv unajua Guadiola alimkataa ronaldhino alipopdwa barca na ktk miaka ile wengi waliamin tonaldhino ndio alikuwa bora lkn Guadiola alimkataa
Hv unajua bila Guadiola Messi asingekuwa staa yy ndie aliesema namtaka messi avae namba 10
Twende uwanjan sasa Guadiola ndio muasisi wa soka la TIKI TAKA possession na pass za hapa na pale kukaba kwa ushirikiano na kufunga magoli yenye akili
2006/07 Kaka anachukua Baloon D or, Messi na Ronaldo wanakamilisha top 3, pep hayupo Barcelona.