Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

Hata Mimi Nakubali Pep ni top Coach ila huwa Napinga sio Legendary/Goat kama watu wengine wanavyotaka kutuaminisha.

Kwa miaka kadhaa hii kujibu swali lako hawa wananijia Akilini.
-Zidane
-Tuchel
-Conte
-Klopp
-Simeone
-Pep etc

Top 5 yangu Pep pengine yupo, Ila Top 3 Ni Klopp, Conte na Zidane kwa Muono Wangu.

Naam, tuje kwenye hiyo top 3, mimi ningemweka Klopp, Zidane na Pep.

Unadhani kwa nini Conte kuliko Pep?
 
Kwenye number 1 Pep anaweza asifit kwa sababu ya kigezo cha budget.

Binafsi Pep kwenye top 3 hakosi.
Of course huwa namuheshimu sana Klopp kwa hilo, tangu akiwa Dortmund amekuwa na best balance between money and technical issues, na hapo ndipo nadhani anaonesha 'uspecial' wake.

Nilitamani sana Arsenal tumpate kipindi kaondoka Dortmund, angetufaa sana kwa bajeti zetu za kuunga unga, they call him 'The German tactician'.
 
Hata Mimi Nakubali Pep ni top Coach ila huwa Napinga sio Legendary/Goat kama watu wengine wanavyotaka kutuaminisha.

Kwa miaka kadhaa hii kujibu swali lako hawa wananijia Akilini.
-Zidane
-Tuchel
-Conte
-Klopp
-Simeone
-Pep etc

Top 5 yangu Pep pengine yupo, Ila Top 3 Ni Klopp, Conte na Zidane kwa Muono Wangu.
Mimi Zidane na Pep kwangu ni mifano ya makocha ambao wamefikia kukabidhiwa timu ambazo zina kila kitu tayari, ikatokea tunajudge ubora wao na tukatoa makombe kwenye equation hawa wawili kwangu sioni ubora wao.

Klopp na Simeone wanaweza ona potential kwa mchezaji na wakaiextract na wote tukaona. Klopp kafanya hivyo akiwa BVB Simeone anaendelea kufanya hivyo akiwa ATM.

Kwa technics pia hawa Zidane na Pep ni zero. Ikatokea timu zao zimekabwa katika mifumo yao basi ujue siku hiyo ushindi zero.
 
Guardiola muasisi wa tiki taka? Kwani wewe unazungumzia mpira au nini ndugu yangu?

Guradiola ni kocha wa kawaida. Sasa hivi anahitaji wachezaji 5 kwaajili ya msimu ujao. Huyu kocha kwa ile timu aliyonayo bado anaona anahitaji watu 5?

Lyon na wengine wataendelea kuwaumbua makocha feki kama hawa.

Kweli kabisa kocha bora ni arteta
 
Naam, tuje kwenye hiyo top 3, mimi ningemweka Klopp, Zidane na Pep.

Unadhani kwa nini Conte kuliko Pep?
Sababu zangu kwa Conte.
1. Kuirudisha Juventus Top
Utakumbuka Juve kushushwa Daraja, waliporudi haikuwa Timu ile tuliyoizoea,

Mwaka 2009/10 Juve Alikuwa nafasi ya 7, mwaka 2010/11 pia Juve Akaendelea kuwa nafasi ya 7, kwa miaka zaidi ya mitano Inter na Ac milan wanatawala soka La italia, Conte akapewa Timu 2011, Yeye ndio akawatoa huko na kuwapa Ubingwa mfululizo mpaka anaondoka, hivyo kuitoa Timu nafasi Ya 7 na kuipa Ubingwa Mfululizo ni Achievement ambayo Pep hana.

2. Kuprove Nje ya Italia.
Alikuja Epl pia akawapa Ubingwa Chelsea, Huku akitumia wingbacks wake average kama Moses. Akaweka na Record ya Unbeaten kwa hichi kipindi.

3. Kuwashake Juve tena
Amerudi Tena Inter Milan, Tokea utawala Wa Juve uanze Inter anamiss top 4 mara nyingi sana, ila ndani ya Msimu mmoja amepunguza gap la point na mabingwa kuwa 1 tu, pia yupo fainali Europa.

Ukitoa Mafanikio ya ubingwa Conte pia Anabadili Average players kuwa wazuri, mfano ni Victor moses, Ashley young, Sanchez etc. Leo hii Ungeambiwa Young aliekuwa Kajichokea Man Utd watu wanamuona babu tayari anaweza kuwa top player usingeamini.

Ukimuangalia Pep ana mafanikio ila Anashindwa kufikia Malengo ya Vilabu anavyokwenda. Mfano Man City Pelegrini tayari Alikuwa na Nusu ya Uefa na Ubingwa wa Ligi, Pep akaletwa kuendeleza Alipoishia Mwenzake, Mpaka Leo pep hajatoboa Robo fainali Uefa Misimu minne, Same kwa Bayern Alipewa Timu ni Bingwa wa Uefa na Ligi na pia Alishindwa japo alikuwa na Kikosi bora.
 
Sababu zangu kwa Conte.
1. Kuirudisha Juventus Top
Utakumbuka Juve kushushwa Daraja, waliporudi haikuwa Timu ile tuliyoizoea,

Mwaka 2009/10 Juve Alikuwa nafasi ya 7, mwaka 2010/11 pia Juve Akaendelea kuwa nafasi ya 7, kwa miaka zaidi ya mitano Inter na Ac milan wanatawala soka La italia, Conte akapewa Timu 2011, Yeye ndio akawatoa huko na kuwapa Ubingwa mfululizo mpaka anaondoka, hivyo kuitoa Timu nafasi Ya 7 na kuipa Ubingwa Mfululizo ni Achievement ambayo Pep hana.

2. Kuprove Nje ya Italia.
Alikuja Epl pia akawapa Ubingwa Chelsea, Huku akitumia wingbacks wake average kama Moses. Akaweka na Record ya Unbeaten kwa hichi kipindi.

3. Kuwashake Juve tena
Amerudi Tena Inter Milan, Tokea utawala Wa Juve uanze Inter anamiss top 4 mara nyingi sana, ila ndani ya Msimu mmoja amepunguza gap la point na mabingwa kuwa 1 tu, pia yupo fainali Europa.

Ukitoa Mafanikio ya ubingwa Conte pia Anabadili Average players kuwa wazuri, mfano ni Victor moses, Ashley young, Sanchez etc. Leo hii Ungeambiwa Young aliekuwa Kajichokea Man Utd watu wanamuona babu tayari anaweza kuwa top player usingeamini.

Ukimuangalia Pep ana mafanikio ila Anashindwa kufikia Malengo ya Vilabu anavyokwenda. Mfano Man City Pelegrini tayari Alikuwa na Nusu ya Uefa na Ubingwa wa Ligi, Pep akaletwa kuendeleza Alipoishia Mwenzake, Mpaka Leo pep hajatoboa Robo fainali Uefa Misimu minne, Same kwa Bayern Alipewa Timu ni Bingwa wa Uefa na Ligi na pia Alishindwa japo alikuwa na Kikosi bora.

Aisee, hii analysis nimeikubali.

Ngoja nijipe muda kwanza, Pep kwangu anaingia top 3.

Nitaweka interest kwa Inter, maana toka Conte kaondoka Chelsea sijaifatilia Inter kabisa.

Asante mkuu
 
Mimi Zidane na Pep kwangu ni mifano ya makocha ambao wamefikia kukabidhiwa timu ambazo zina kila kitu tayari, ikatokea tunajudge ubora wao na tukatoa makombe kwenye equation hawa wawili kwangu sioni ubora wao.

Klopp na Simeone wanaweza ona potential kwa mchezaji na wakaiextract na wote tukaona. Klopp kafanya hivyo akiwa BVB Simeone anaendelea kufanya hivyo akiwa ATM.

Kwa technics pia hawa Zidane na Pep ni zero. Ikatokea timu zao zimekabwa katika mifumo yao basi ujue siku hiyo ushindi zero.
Mkuu madrid hii hii iliyojichokea? Ambayo kila Kocha ameishindwa mpaka kuletwa yeye? Msimu huu Madrid kuwa Bingwa La Liga ni achievement kubwa sana Kwa Zidane,
 
Mleta hoja; unamtoa Pep kwenye kundi moja na Klop. Swali ni je Klop akishindwa kwa misimu minne kuchukua kombe kuanzia msibu ujao awe Liverpool au kwengine utamtoa tena hapo kwenye fungu la juu ya Pep?

Iwapo Pep akafika Finali mwakani ya UEFA unampandisha tena?
Kwangu mimi Pep bado anabaki kwenye listi ya makocha wa daraja la juu; kumtoa ni sawa na Bayern kutochukua ubingwa wa UEFA kwa vipindi kadhaa alafu ukasema Lewandoski siyo forward wa kiwango cha juu miongoni wa maforward duniani.
 
Sababu zangu kwa Conte.
1. Kuirudisha Juventus Top
Utakumbuka Juve kushushwa Daraja, waliporudi haikuwa Timu ile tuliyoizoea,

Mwaka 2009/10 Juve Alikuwa nafasi ya 7, mwaka 2010/11 pia Juve Akaendelea kuwa nafasi ya 7, kwa miaka zaidi ya mitano Inter na Ac milan wanatawala soka La italia, Conte akapewa Timu 2011, Yeye ndio akawatoa huko na kuwapa Ubingwa mfululizo mpaka anaondoka, hivyo kuitoa Timu nafasi Ya 7 na kuipa Ubingwa Mfululizo ni Achievement ambayo Pep hana.

2. Kuprove Nje ya Italia.
Alikuja Epl pia akawapa Ubingwa Chelsea, Huku akitumia wingbacks wake average kama Moses. Akaweka na Record ya Unbeaten kwa hichi kipindi.

3. Kuwashake Juve tena
Amerudi Tena Inter Milan, Tokea utawala Wa Juve uanze Inter anamiss top 4 mara nyingi sana, ila ndani ya Msimu mmoja amepunguza gap la point na mabingwa kuwa 1 tu, pia yupo fainali Europa.

Ukitoa Mafanikio ya ubingwa Conte pia Anabadili Average players kuwa wazuri, mfano ni Victor moses, Ashley young, Sanchez etc. Leo hii Ungeambiwa Young aliekuwa Kajichokea Man Utd watu wanamuona babu tayari anaweza kuwa top player usingeamini.

Ukimuangalia Pep ana mafanikio ila Anashindwa kufikia Malengo ya Vilabu anavyokwenda. Mfano Man City Pelegrini tayari Alikuwa na Nusu ya Uefa na Ubingwa wa Ligi, Pep akaletwa kuendeleza Alipoishia Mwenzake, Mpaka Leo pep hajatoboa Robo fainali Uefa Misimu minne, Same kwa Bayern Alipewa Timu ni Bingwa wa Uefa na Ligi na pia Alishindwa japo alikuwa na Kikosi bora.
Mkuu uko vizuri sana kiuchambuzi habari za soka.
 
Hoja zako dhaifu... (1)Pep kwa kiasi kikubwa haliacha kuitumia first eleven ya Rijkaard. Pep ndie alieanza kuwaamini vijana wa la masia academy na kuwaingiza first eleven wakati kipindi cha Rijkaard walikuwa hawapati nafasi sababu yeye alikuwa anawatumia wakongwe akina deco, dinho n.k.

Mfano kinda wa Man u Tahit Chong yupo timu ya wakubwa kutoka academy ila hayupo first eleven halafu kocha mwingine aende pale man u ampe nafasi Tahit na aperform vizuri , kocha yupi utasema kamtengeneza Tahit?
Kwa hiyo kutotambua mafanikio ya Pep pale barca inashangaza.
 
Hoja zako dhaifu... (1)Pep kwa kiasi kikubwa haliacha kuitumia first eleven ya Rijkaard. Pep ndie alieanza kuwaamini vijana wa la masia academy na kuwaingiza first eleven wakati kipindi cha Rijkaard walikuwa hawapati nafasi sababu yeye alikuwa anawatumia wakongwe akina deco, dinho n.k.

Mfano kinda wa Man u Tahit Chong yupo timu ya wakubwa kutoka academy ila hayupo first eleven halafu kocha mwingine aende pale man u ampe nafasi Tahit na aperform vizuri , kocha yupi utasema kamtengeneza Tahit?
Kwa hiyo kutotambua mafanikio ya Pep pale barca inashangaza.
si kweli mkuu, barcelona anatolewa na Man utd Uefa 2008 nusu ndani kuna Messi, xavi, iniesta, Valdez, Puyol na Abidal, hao tayari ni Wachezaji 6 ambao piga ua walikuwa wanaanza Chini ya Pep.
barca.PNG
 
Valdez, Puyol, xavi, Iniesta,

kama unamaanisha kutengeneza hao wachezaji basi ilikuwa ni Kazi ya Van Gaal, wote kina Puyol, Valdez, Xavi, Iniesta etc walitolewa Academy na LVG na kuletwa timu ya wakubwa, Huyu mzee aliwapiga benchi hadi kina Rivaldo na Kugombana na Bodi kwa ajili ya hao watoto.

15243304290496.jpg

Acha uzushi mkuu, huyo Iniesta alicheza mechi ngapi chini Van gaal?
 
Back
Top Bottom