Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

Acha uzushi mkuu, huyo Iniesta alicheza mechi ngapi chini Van gaal?
Amecheza Mechi 9 chini ya LVG kuanzia mwishoni mwa 2002 mpaka may 2003 ambapo LVG aliondoka Barca.

Na wewe Nani huku Tanzania Kupinga Contribution ya LVG kwenye Career ya Iniesta wakati maneno yake mwenyewe Iniesta anasema Kocha muhimu zaidi kwake Ni LVG?

INiesta kafundishwa na Pep, Rijkard, Tito, Enrique, del Bosque etc ila wote hao hajawaona kwake LVG ndio mtu muhimu zaidi.

Andres Iniesta names former Man United boss as his most important manager
 
Amecheza Mechi 9 chini ya LVG kuanzia mwishoni mwa 2002 mpaka may 2003 ambapo LVG aliondoka Barca.

Na wewe Nani huku Tanzania Kupinga Contribution ya LVG kwenye Career ya Iniesta wakati maneno yake mwenyewe Iniesta anasema Kocha muhimu zaidi kwake Ni LVG?

INiesta kafundishwa na Pep, Rijkard, Tito, Enrique, del Bosque etc ila wote hao hajawaona kwake LVG ndio mtu muhimu zaidi.

Andres Iniesta names former Man United boss as his most important manager

sasa mechi hizo 9 zimemsaidia nini? achene ku overreact mambo mengine, kufanya kama huyo Van Gal ndie aliemfundisha mpira Iniesta.
 
sasa mechi hizo 9 zimemsaidia nini? achene ku overreact mambo mengine, kufanya kama huyo Van Gal ndie aliemfundisha mpira Iniesta.
wewe una chuki binafsi zako na LVG, iniesta mwenyewe kusema LVG kama kocha muhimu zaidi kwenye maisha yake mjadala ulitakiwa ufungwe hapa hapa si mimi wala wewe tunaeweza kuongea maneno yakawa na credibility kuliko kinywa cha mhusika.

tuje kuhusu kucheza mechi 9, msimu huu Greenwood kaanza mechi 12 tu za ligi, ikitokea OLE kafukuzwa man Utd wakaja makocha kibao baadae, je tutakuwa tunam overate mchango wa Ole kwenye career ya greenwood?

Iniesta amezaliwa 1984, wakati LVG anampa debut 2002 inamaana ni miaka 18 hapo, mtoto wa miaka 18 kucheza mechi 9 tena ndani ya nusu msimu ni jambo kubwa sana kwake.
 
wewe una chuki binafsi zako na LVG, iniesta mwenyewe kusema LVG kama kocha muhimu zaidi kwenye maisha yake mjadala ulitakiwa ufungwe hapa hapa si mimi wala wewe tunaeweza kuongea maneno yakawa na credibility kuliko kinywa cha mhusika.

tuje kuhusu kucheza mechi 9, msimu huu Greenwood kaanza mechi 12 tu za ligi, ikitokea OLE kafukuzwa man Utd wakaja makocha kibao baadae, je tutakuwa tunam overate mchango wa Ole kwenye career ya greenwood?

Iniesta amezaliwa 1984, wakati LVG anampa debut 2002 inamaana ni miaka 18 hapo, mtoto wa miaka 18 kucheza mechi 9 tena ndani ya nusu msimu ni jambo kubwa sana kwake.

Iniesta hakua stater wala key player kwenye timu ya LVG huwezi fananisha kesi ya Greenood ambae ni starter
 
Iniesta hakua stater wala key player kwenye timu ya LVG huwezi fananisha kesi ya Greenood ambae ni starter
Starter kuanzia lini? Na angekuwa starter angeanza mechi 12 kati ya 38?

Hivi unaelewa maana ya debut na key player? Kwamba kocha hawezi kuibua kipaji mpaka kiwe key player?

Na kwanini mpaka leo hakuna Tena vipaji La masia tofauti na Vya LVG?
 
Wanaomshambulia Pep ni wale tu walimwamini ni kocha mzuri wakaweka mkeka kwa man city kutunguliwa city kukachana mikeka yao wakakosa warupurupu yao

Wamemkasirikia sana pep jamani wabongo bhana hahahaha hivi kwa Nini pep wakaendelea kimwamini kuwa ni bonge la kocha wakamkabidhi timu?
Acheni zenu wabongo soka la kwenu limewashinda harafu mnaanza kuvvamia soka la wenzenu
 
Starter kuanzia lini? Na angekuwa starter angeanza mechi 12 kati ya 38?

Hivi unaelewa maana ya debut na key player? Kwamba kocha hawezi kuibua kipaji mpaka kiwe key player?

Na kwanini mpaka leo hakuna Tena vipaji La masia tofauti na Vya LVG?

mkuu mbona unaropokwa kwani LVG ndie aliyekua kocha wa La masia?
 
Km hujui soka ukar pemben ww hv unajua Guadiola alimkataa ronaldhino alipopdwa barca na ktk miaka ile wengi waliamin tonaldhino ndio alikuwa bora lkn Guadiola alimkataa

Hv unajua bila Guadiola Messi asingekuwa staa yy ndie aliesema namtaka messi avae namba 10

Twende uwanjan sasa Guadiola ndio muasisi wa soka la TIKI TAKA possession na pass za hapa na pale kukaba kwa ushirikiano na kufunga magoli yenye akili

Aisee nina wasiwasi umeanza kufuatilia mpira mwaka 2010
 
mkuu mbona unaropokwa kwani LVG ndie aliyekua kocha wa La masia?
Yeye ndio Alie i reconstruct kwa hizi modern Times, akagombana na Bodi vijana wasiuzwe, akawapa Nafasi hao watoto mpaka leo glory hunter kama nyie mukiona wachezaji wazuri mnakosa adabu na kukejeli walipotoka.

Toka Lvg aondoke Barca hakujatokea kipaji chochote cha kutisha tofauti na wakati wake. Kama nadanganya kitaje.

Na Alivyoondoka akaenda bayern Zama zikahamia kule akatoa vipaji vyengine vya Kina Alaba, muller, Badsturber etc

Hata Man U bila support ya Bodi pia kuna wachezaji kadhaa anaweza kupewa Credit.
 
Yeye ndio Alie i reconstruct kwa hizi modern Times, akagombana na Bodi vijana wasiuzwe, akawapa Nafasi hao watoto mpaka leo glory hunter kama nyie mukiona wachezaji wazuri mnakosa adabu na kukejeli walipotoka.

Toka Lvg aondoke Barca hakujatokea kipaji chochote cha kutisha tofauti na wakati wake. Kama nadanganya kitaje.

Na Alivyoondoka akaenda bayern Zama zikahamia kule akatoa vipaji vyengine vya Kina Alaba, muller, Badsturber etc

Hata Man U bila support ya Bodi pia kuna wachezaji kadhaa anaweza kupewa Credit.

Punguza mihemko mkuu.
Ni kweli Muller na Badstuber yeye ndie aliyewapa nafasi japokua Muller alishakua tayari yupo fisrt team hata kabla ya ujio wake ila hakua akipata nafasi ya kucheza, lakini Alaba alianza kupata nafasi buyern kipindi cha Heynces wakati wa utawala wa Van Gal alikua akila mikopo tu.

Na kuhusu Barca bado nataka unitajie hizo tallent alizoziibua naoa umemganda Iniesta tu amabaye hata mechi 10 hazikufika alizocheza chini yake Van Gal.
Cesc Fabregas na Arteta waliuzwa kipindi hicho Van Gal akiwepo ambacho unadai kuwa alizuia talent zisiuzwe. Hoja yako ni ya kizushi, Iniesta alikua ni Best player ndnai ya La masia na tayari alishatarajiwa makubwa na ndio Barca kama team kiujumla walikua na matumaini nae na sio Van Gal tu kama unavyojaribu kutuaminisha.
 
Punguza mihemko mkuu.
Ni kweli Muller na Badstuber yeye ndie aliyewapa nafasi japokua Muller alishakua tayari yupo fisrt team hata kabla ya ujio wake ila hakua akipata nafasi ya kucheza, lakini Alaba alianza kupata nafasi buyern kipindi cha Heynces wakati wa utawala wa Van Gal alikua akila mikopo tu.

Na kuhusu Barca bado nataka unitajie hizo tallent alizoziibua naoa umemganda Iniesta tu amabaye hata mechi 10 hazikufika alizocheza chini yake Van Gal.
Cesc Fabregas na Arteta waliuzwa kipindi hicho Van Gal akiwepo ambacho unadai kuwa alizuia talent zisiuzwe. Hoja yako ni ya kizushi, Iniesta alikua ni Best player ndnai ya La masia na tayari alishatarajiwa makubwa na ndio Barca kama team kiujumla walikua na matumaini nae na sio Van Gal tu kama unavyojaribu kutuaminisha.
hivi mkuu wewe na Iniesta nani anamjua iniesta zaidi? yaani maneno yake mwenyewe iniesta kayatamka si mara moja wala mara mbili interview kibao anasema kocha muhimu kwake ni LVG, then wewe huku Tanzania umbishie, who are you? Aibu naona mimi kuendelea kujadili hili.

barcelona nimekutajia
1. carles puyol
2. Valdes
3. xavi
4. iniesta

wote hao wakaja wakawa core ya Barcelona, pia chini ya utawala wake kina Messi ndio wakawa recruited.

kuhusu Alaba, again vyombo vyote vinamcredit LVG wewe huku unaejua zaidi unabisha, stats zipo za kutosha tu naziambatanisha chini
-lvg alikuwa bayern 2009-2011, Alaba kipindi hichi ana miaka 17 mpaka 19, unaelewa ni mdogo kiasi gani

msimu wa 2009/2010 Alaba akiwa na miaka 17/18
alaba-1.PNG

msimu wa 2010/2011 Alaba akiwa na miaka 18/19
alaba-2.PNG


Huyo ndio LVG ambaye anampa mtoto wa miaka 18 mechi 19 kama unavyoona,

huyo Heycens amemjua Alaba baada ya LVG kumtoa, na LVG ndio alimbadili namba na kumchezesha kama beki wa pembeni.

pia umedanganya kwamba Fabregas aliondoka kipindi cha lvg, LVG amendoka barcelona january 2003, na Fabregas ameondoka Barcelona september 2003. LVG amewahi kuondoka na kumuacha Fabregas pale Barca.
 
Sidhani kama pep si kocha mzuri kama unavyo dai ila una haki ya kuwa na mtazamo wako.ila kwa mtazamo wangu pep ni kocha moja ya makocha bora ulaya ila muda mwingine kuna pokuwa na mabadiliko kwenye timu lazima kuna wachezaji wataachwa tu mfano ile timu ya kina ronaldhino,etoo na Santos wakati huo lazima tujiulize ? je angekuwepo mmoja wa hao Mess na wenzake wange pata nafasi na kufanya maajabu waliyo ya Fanya? lakini kwa Nina vyo elewa Mimi kila kocha ana falsafa yake na pia aina ya wachezaji(aina ya uchezaji ) lakini pia ukichunguza kiundani pep no MTU ambae utumiwa ilikutengeneza timu ya taifa na ndio mana na amini kuna nchi pep asinge kuwepo basi kombe la dunia wasinge beba mana mfano fainali ya ujerumani na Argentina kama wale viungo wa ujerumani wange kuwa na aina aina ile ile ya uchezaji wa kijerumani wa kutumia nguvu basi kazi ili kuwa ngumu sana lakini kutoka walikuwa wamesha anza kuingia kwenye mfumo wa kucheza kama viungo wa bunifu kazi ikawa rahisi kidogo ila ukiangalia nyuma ya pazia falsafa ya pep ndo imesaidia.kuhusu swala la kubeba UCL ilo ni swala jingine mana muda mwingine una weza ukawa na timu nzuri lakini matokeo yakaja tofauti kabisa na malengo mfano je PSG makocha wake wote walikuwa wabuvu walio pita? Muda mwingine muunganiko una kataa kabisa ila timu au kocha si wabaya mfano Chelsea ya dmateo ukiangalia kwa nje ya kwaida ila kiufundi walikuwa vizuri na nidhamu ya hali ya juu katika kuzuia na kushambulia.

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Fuatilia habari. Mbona zipo tu. Kwa mdomo wake mpaka Toure Yaya alishaongea yeye mwenyewe?!!!
Sio huyo tu. Kambagua mpaka Eto'o.
Huyo ana alergy na many black players

Mkuu vipi Abidal na Keita hawakuwa weusi?

Vipi Sterling na Mendy wao si weusi?

Acha fikra mgando zakiafrika hizo
 
Back
Top Bottom