Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

Fuatilia habari. Mbona zipo tu. Kwa mdomo wake mpaka Toure Yaya alishaongea yeye mwenyewe?!!!
Sio huyo tu. Kambagua mpaka Eto'o.
Huyo ana alergy na many black players
Watu wengnie hawafatilii soka kabisaa alaf wana kazana na mijadala ya soka
 
Mkuu vipi Abidal na Keita hawakuwa weusi?

Vipi Sterling na Mendy wao si weusi?

Acha fikra mgando zakiafrika hizo
Sasa fikra mgando vipi wakati ukiingia YouTube uki search utamkuta Toure na Eto'o wanazungumza hilo la ubaguzi wa Pep.

Huyo Sterling na Mendy is just a matter of time subiri. Sema England ubaguzi sio kivile japo upo. Auoneshe aone kama kazi haijamshinda. Hapa penywe kakalia kiti kavu.
 
Sasa fikra mgando vipi wakati ukiingia YouTube uki search utamkuta Toure na Eto'o wanazungumza hilo la ubaguzi wa Pep.

Huyo Sterling na Mendy is just a matter of time subiri. Sema England ubaguzi sio kivile japo upo. Auoneshe aone kama kazi haijamshinda. Hapa penywe kakalia kiti kavu.

Buyern Munich alikua na Alaba, Boateng vipi kuhusu hao?
 
Buyern Munich alikua na Alaba, Boateng vipi kuhusu hao?
Sawa mifano unayo mingi ila kama hujui issue za ubaguzi ni kua ukishaonesha dalili za ubaguzi tu ni kwamba lile kundi unalolibagua tayari lishakuchukulia wewe ni nani. Sometimes you will try to hide your true colours lkn sisi tushakujua. Tushakuweka ktk kundi unalostahili.

Kingine tu ni kwamba Pepe ubaguzi wake aliufanyia akiwa Barca zaidi. So huenda alibadilika. Japo alipokuja Man city akakutana tena na Toure yuko hatari kinoma akaanza kum frustrate na kumuweka benchi.

All in all just because kuna ma black amedeal nao bila sisi kuona ubaguzi doesn't clean his unacceptable attitude towards some blacks.
 
Amecheza Mechi 9 chini ya LVG kuanzia mwishoni mwa 2002 mpaka may 2003 ambapo LVG aliondoka Barca.

Na wewe Nani huku Tanzania Kupinga Contribution ya LVG kwenye Career ya Iniesta wakati maneno yake mwenyewe Iniesta anasema Kocha muhimu zaidi kwake Ni LVG?

INiesta kafundishwa na Pep, Rijkard, Tito, Enrique, del Bosque etc ila wote hao hajawaona kwake LVG ndio mtu muhimu zaidi.

Andres Iniesta names former Man United boss as his most important manager
Fikiria kiupana zaidi ndugu, kusema wewe nani huku Tanzania wa kupinga hiyo sio point. Kocha anae kitumia kipaji cha mchezaji na kukiendeleza to the maximum na mchezaji kupata umaarufu huyo ndie kocha muhimu zaidi kwa mchezaji. Kuna wachezaji wakiwa makinda wanakuwa na viwango bora sana ila unakuta wanaishia kuchezea timu za kawaida na kupotea. Husifikiri wote wanastahili kuishia hivyo, hapana! Ni kwamba wanaishia hivyo wengine wanadondokea kwa makocha ambao hawana uwezo wa kuendeleza vipaji vya hao wachezaji.

Kwa hiyo hata huyo Iniesta baada ya lvg kuondoka angedondokea mikononi mwa kocha Moyes inawezekana angeuzwa kwenda kuchezea Real Betis na umaarufu wote huo hasingekuwa nao. Sasa yule aliemfanya ajulikane dunia nzima iweje hasiwe muhimu zaidi kwake?
 
Km hujui soka ukar pemben ww hv unajua Guadiola alimkataa ronaldhino alipopdwa barca na ktk miaka ile wengi waliamin tonaldhino ndio alikuwa bora lkn Guadiola alimkataa

Hv unajua bila Guadiola Messi asingekuwa staa yy ndie aliesema namtaka messi avae namba 10

Twende uwanjan sasa Guadiola ndio muasisi wa soka la TIKI TAKA possession na pass za hapa na pale kukaba kwa ushirikiano na kufunga magoli yenye akili
Bro Johan cruyff ndio mwanzilishi wa tik tak katika miaka ya 90s

Hawa wakina gurdiola wao wamekuja kuongezea ubunifu tu
 
Fikiria kiupana zaidi ndugu, kusema wewe nani huku Tanzania wa kupinga hiyo sio point. Kocha anae kitumia kipaji cha mchezaji na kukiendeleza to the maximum na mchezaji kupata umaarufu huyo ndie kocha muhimu zaidi kwa mchezaji. Kuna wachezaji wakiwa makinda wanakuwa na viwango bora sana ila unakuta wanaishia kuchezea timu za kawaida na kupotea. Husifikiri wote wanastahili kuishia hivyo, hapana! Ni kwamba wanaishia hivyo wengine wanadondokea kwa makocha ambao hawana uwezo wa kuendeleza vipaji vya hao wachezaji.

Kwa hiyo hata huyo Iniesta baada ya lvg kuondoka angedondokea mikononi mwa kocha Moyes inawezekana angeuzwa kwenda kuchezea Real Betis na umaarufu wote huo hasingekuwa nao. Sasa yule aliemfanya ajulikane dunia nzima iweje hasiwe muhimu zaidi kwake?
Mpira sio playstation kwamba unapanga tu first 11 then unacheza, kuna mamia ama maelfu ya mambo yanayoendelea background ambayo mimi na wewe hatuyajui. Makocha na wachezaji wanaspend maelfu ya masaa nyuma ya pazia na dk 90 tu mbele ya macho yetu. Hivyo mchezaji mwenyewe ndie anayefahamu umuhimu wa watu waliochangia mpaka yeye kufika alipo, unapopinga Maneno ya Iniesta mwenyewe na kutunga kitu chengine halafu bado ukadai upo sahihi unatakiwa uwe na evidence zilizo shiba sio vimaneno maneno tu.

Hata Iniesta angedondokea Chini ya Moyes isingebadili kwamba Lvg ndie Aliemtoa.
 
Sawa mifano unayo mingi ila kama hujui issue za ubaguzi ni kua ukishaonesha dalili za ubaguzi tu ni kwamba lile kundi unalolibagua tayari lishakuchukulia wewe ni nani. Sometimes you will try to hide your true colours lkn sisi tushakujua. Tushakuweka ktk kundi unalostahili.

Kingine tu ni kwamba Pepe ubaguzi wake aliufanyia akiwa Barca zaidi. So huenda alibadilika. Japo alipokuja Man city akakutana tena na Toure yuko hatari kinoma akaanza kum frustrate na kumuweka benchi.

All in all just because kuna ma black amedeal nao bila sisi kuona ubaguzi doesn't clean his unacceptable attitude towards some blacks.

acha fikra mgando mkuu, Pep kumuondoa Toure Barca na Man City hakuna mahusiano na ubaguzi, ni kua simple jamaa haendani na mfumo wake. Hapo hapo ndani ya Barca walikuepo akina Abidal na Keita mbona wao hakuwaondosha? Abidal aliendelea kuwa first choice wa pep licha ya uwepo wa mchezaji kama Maxuel mwenye uwezo mkubwa Zaidi wa skills kuliko Abidal.
Pep pia aliwaondosha Deco, Zlatan, wachezaji wenye hadhi zaidi ya huyo Toure mbona hamsemi kama ni ubaguzi? au kwa kuwa wao ni weupe hakuna tatizo kuondoshwa lakini akiwa mweusi ndio ubaguzi?

Mchezaji mweusi akiwekwa bench au akiuzwa munaanza kulalamika ni ubaguzi achene kulalamika kipuuzi.
 
Km hujui soka ukar pemben ww hv unajua Guadiola alimkataa ronaldhino alipopdwa barca na ktk miaka ile wengi waliamin tonaldhino ndio alikuwa bora lkn Guadiola alimkataa

Hv unajua bila Guadiola Messi asingekuwa staa yy ndie aliesema namtaka messi avae namba 10

Twende uwanjan sasa Guadiola ndio muasisi wa soka la TIKI TAKA possession na pass za hapa na pale kukaba kwa ushirikiano na kufunga magoli yenye akili
Kama pep ndo muasisi he Johan cruyf nae vipi? Unamjua kwanza?
 
Kama pep ndo muasisi he Johan cruyf nae vipi? Unamjua kwanza?
Cruyf ni mwanzilish lkn tik taka yke haikunoga km ya pep ktk kikosi bora cha mda wote barcelona wachezaji weng ni aliowafundisha pep xavi. Iniesta.messi.bosquest .dani alves.pique.eto wote hawa ni mazao ya pep ebu nitajie wachezaji wa uyo cjui cruff
 
Tulisema sisi mkatupinga sana.
Haya mmeona wenyewe huyu sio kocha bora duniani Bali ni overrated.

Alipokwenda ujeruman alichukua hivyo vi bundesliga kama kawaida yao Bayern.
Ila uefa si ndo alipigwa 6 na Madrid huyu?
Yaani uwezo mdogo bado sana.
Pale barca team ilijengwa na wenyewe yeye alimaliza kazi tu iliobaki wakina frank rijkaad ,Louis van G ,Johan cruyf hawa ndo waliisuka team sasa.

Kama ndo hivyo mbona pep hataki kurudi barca akaitengenz sasa?
Kumfananisha hata na klopp ni kupoteza muda wa klopp
 
Cruyf ni mwanzilish lkn tik taka yke haikunoga km ya pep ktk kikosi bora cha mda wote barcelona wachezaji weng ni aliowafundisha pep xavi. Iniesta.messi.bosquest .dani alves.pique.eto wote hawa ni mazao ya pep ebu nitajie wachezaji wa uyo cjui cruff
Huelweki Mara pep ndo founder Mara saivi unasema cruyf ndo founder ila haikunoga .
Sema hukuwa unafatilia .
Halafu aliekwambia hao wachezaji tajwa pep ndo kawapika nani?
Hiyo ni kazi ya frank rijkaad bro pep alikuta kila kitu kipo kwenye mwongozo na hao watatu ,cruyf ,lvg ,na rijkaad.

Uliza uambiwe bro
 
Huelweki Mara pep ndo founder Mara saivi unasema cruyf ndo founder ila haikunoga .
Sema hukuwa unafatilia .
Halafu aliekwambia hao wachezaji tajwa pep ndo kawapika nani?
Hiyo ni kazi ya frank rijkaad bro pep alikuta kila kitu kipo kwenye mwongozo na hao watatu ,cruyf ,lvg ,na rijkaad.

Uliza uambiwe bro
Haijalish aliwakuta wameiva au aliwakuta wabich dunia inamtambua pep km ndie aliewakuza au kuendeleza viwango vyao keep it mind
Ata billgates yawezekana yy sio mwanzalish wa microsoft ni kaz alioikuta na akaiendeleza lkn ndie alieifanya microsoft kuwa popular
 
Haijalish aliwakuta wameiva au aliwakuta wabich dunia inamtambua pep km ndie aliewakuza au kuendeleza viwango vyao keep it mind
Ata billgates yawezekana yy sio mwanzalish wa microsoft ni kaz alioikuta na akaiendeleza lkn ndie alieifanya microsoft kuwa popular
Hiyo dunia ni ya kwenu tu sisi wenye akili tunatambua nani mwanzilishi.
Bilgate na pep wapi na wapi
 
Kumbe basi tumekubaliana pep anafanya vitu ambavyo wanaume wamevitolea jasho na damu no wonder toka alipondoka barca hajabeba uefa tena
Na hategemei kubeba leo wal kesho me binafsi ni heri Dimateo kuliko kipara ngoto pep

Yani ni too over hyped kule ujerumani kaikuta ile bayern inawatu tayar na inashinda ligi kila siku kwahyo hakuna alichoongeza,
alipo ona wame mshitukia ukanjanja wake akakimbia,kaja city napo city ligi alikua anachukua Ligi kabla ya pep na pia watu aliwakuta, requtment yake ilikua ya matakwa tuh napo bado anakunya kunya

Kimsingi kipara ngoto amekalia kuti kavu kwa sasa na kama hato deriver UEFA kwa hii crazy signing anayo ifanya mana kwa city ilivyo hata lampard anauwezo wa kubeba EPL,,,!

#PEP GUADIOLA NI KOCHA WA KAWAIDAA MNOOOO.
 
acha fikra mgando mkuu, Pep kumuondoa Toure Barca na Man City hakuna mahusiano na ubaguzi, ni kua simple jamaa haendani na mfumo wake. Hapo hapo ndani ya Barca walikuepo akina Abidal na Keita mbona wao hakuwaondosha? Abidal aliendelea kuwa first choice wa pep licha ya uwepo wa mchezaji kama Maxuel mwenye uwezo mkubwa Zaidi wa skills kuliko Abidal.
Pep pia aliwaondosha Deco, Zlatan, wachezaji wenye hadhi zaidi ya huyo Toure mbona hamsemi kama ni ubaguzi? au kwa kuwa wao ni weupe hakuna tatizo kuondoshwa lakini akiwa mweusi ndio ubaguzi?

Mchezaji mweusi akiwekwa bench au akiuzwa munaanza kulalamika ni ubaguzi achene kulalamika kipuuzi.
Samwel Eto'o?
 
Tulisema sisi mkatupinga sana.
Haya mmeona wenyewe huyu sio kocha bora duniani Bali ni overrated.

Alipokwenda ujeruman alichukua hivyo vi bundesliga kama kawaida yao Bayern.
Ila uefa si ndo alipigwa 6 na Madrid huyu?
Yaani uwezo mdogo bado sana.
Pale barca team ilijengwa na wenyewe yeye alimaliza kazi tu iliobaki wakina frank rijkaad ,Louis van G ,Johan cruyf hawa ndo waliisuka team sasa.

Kama ndo hivyo mbona pep hataki kurudi barca akaitengenz sasa?
Kumfananisha hata na klopp ni kupoteza muda wa klopp

Louis van G? 😂😂😂

hivi hifahamu kama jamaa ni mmoja wa failure caches pale Barca?
 
Back
Top Bottom