Nilikuwa siamini, sasa nimekubali "BIKIRI ZIPO"

Nilikuwa siamini, sasa nimekubali "BIKIRI ZIPO"

hakuna zawadi ambayo mkeo anayoweza kukupa zaidi ya ukimkuta bikra ina heshima sana ktk ndoa.imagine hujaikuta hujui kina nani walipita na yule wa kwanza kuitoa siku yoyote akimtokea wife anampa huwa hawamsahau
 
Sasa lakini mpwa, mbona kama vile kichwa cha habari kinakushtaki? umesema unaamini kuwa bikra zimo at the same content inaonyesha kua kama ni kweli lakini, hujawahi kugusa longtime, sasa mpwa, umejuaje kama hizo mali ni original? watakuua mpwa, achana nazo mpwa, urudi salam huku si wapo tu? haya bana ntamuonyesha shemejio naye atakutumia comment zake na nilikua naongea na babaako ambae na ni ndg yangu, amesikitika sana kuona kua umeanza kamchezo tofauti na agenda iliyokupeleka!!! asante
 
Nipo nchi ya ndugu zangu kwa kipindi kinachokaribia miaka miwili, sijawahi kuchakachua hata siku moja kutokana na sheria zilivyokali. Kwenye basi huwezi kukaa na mtu wa jinsia tofauti, hosipitali huduma inatolewa kwa kufuata jinsia, shule mapaka vyuo vikuu vya serika hakuna mchanganyiko, huwezi kuwasiliana na msichana kwa njia ya simu au E-maili ukipatika mauti ni yako, huwezi kusimama au kusalimina na msichana. kila raia analinda wasichana, ukionekana unongea na msichana raia wanakukwida na ikifahamika ulikuwa unatongoza basi kifo chako.Marafiki zangu wamenieleza kila msichana unayemuona katika huu mji ni bikira. Kweli tembea uone. Tz nilikuwa nachakachua bila bughudha yoyote na sijawahi kukutana ta BIKIRA japo nimechakachua kwa kipindi cha zaidia ya miaka 10, nikitoka huku hii nchi sirudi ngo!!!!!

Mkuu, JF hakuna sera ya kuficha ficha. Ni uwazi na ukweli tu. Ni Nchi gani hiyo ambayo huwezi kuitaja jina?
 
siku zote huwa sielewi kwa nini watu wanashikia bango sana haya mabikra.hebu tujiulize tu bikra imechangia au inachangia nini katika mahusiano,hata ukiikuta ni just one act and everything is over forever.mimi ninaangalia zaidi personality yangu na utu wa yule ninayetaka kuwa naye maana kama hivyo havipo naweza kuikuta hiyo kitu na baada ya miezi miwili tu naletewa std ndani.

word!
 
Kwajinsi hawa jamaa wanavyosimamia suala la kujamiiyani si-rahisi kufanya ushoga au usagaji, kwani ukipatikani wanakuuwa.
kweli kwa nchi nyingi za kiarabu kuchakachua ni ndoto ya mwaka
 
Hapo kwenye tigo hakika wanamkosea Mungu kwani hata ng'ombe tu ambaye hana akili huwa akosei!
 
Mh! Kaka huko bila shaka ngöno za jinsia moja zimeshamili au siyo?
 
Nipo nchi ya ndugu zangu kwa kipindi kinachokaribia miaka miwili, sijawahi kuchakachua hata siku moja kutokana na sheria zilivyokali. Kwenye basi huwezi kukaa na mtu wa jinsia tofauti, hosipitali huduma inatolewa kwa kufuata jinsia, shule mapaka vyuo vikuu vya serika hakuna mchanganyiko, huwezi kuwasiliana na msichana kwa njia ya simu au E-maili ukipatika mauti ni yako, huwezi kusimama au kusalimina na msichana. kila raia analinda wasichana, ukionekana unongea na msichana raia wanakukwida na ikifahamika ulikuwa unatongoza basi kifo chako.Marafiki zangu wamenieleza kila msichana unayemuona katika huu mji ni bikira. Kweli tembea uone. Tz nilikuwa nachakachua bila bughudha yoyote na sijawahi kukutana ta BIKIRA japo nimechakachua kwa kipindi cha zaidia ya miaka 10, nikitoka huku hii nchi sirudi ngo!!!!!

umepotea ulipokwenda muombe MUNGU sana akung'atue ulipo utachinjwa buree
 
Nahisi kuna watu toka paradiso huku...usirudi bora ubaki huko!
 
Nipo nchi ya ndugu zangu kwa kipindi kinachokaribia miaka miwili, sijawahi kuchakachua hata siku moja kutokana na sheria zilivyokali. Kwenye basi huwezi kukaa na mtu wa jinsia tofauti, hosipitali huduma inatolewa kwa kufuata jinsia, shule mapaka vyuo vikuu vya serika hakuna mchanganyiko, huwezi kuwasiliana na msichana kwa njia ya simu au E-maili ukipatika mauti ni yako, huwezi kusimama au kusalimina na msichana. kila raia analinda wasichana, ukionekana unongea na msichana raia wanakukwida na ikifahamika ulikuwa unatongoza basi kifo chako.Marafiki zangu wamenieleza kila msichana unayemuona katika huu mji ni bikira. Kweli tembea uone. Tz nilikuwa nachakachua bila bughudha yoyote na sijawahi kukutana ta BIKIRA japo nimechakachua kwa kipindi cha zaidia ya miaka 10, nikitoka huku hii nchi sirudi ngo!!!!!


duuuhhh hii sijawahi sikia kabisa..............
na ukitaka kuoa unatakiwa ufanyeje?????
au wao hawazaliani???
 
Mkuu, JF hakuna sera ya kuficha ficha. Ni uwazi na ukweli tu. Ni Nchi gani hiyo ambayo huwezi kuitaja jina?

mwombe aku PM.....
kwani si lazima mtu afumue kila kitu hapa..
kuku ni wengi hataki kumwaga mchele....
 
hakuna zawadi ambayo mkeo anayoweza kukupa zaidi ya ukimkuta bikra ina heshima sana ktk ndoa.imagine hujaikuta hujui kina nani walipita na yule wa kwanza kuitoa siku yoyote akimtokea wife anampa huwa hawamsahau

ulicho ongea hapo juu ni safi sana...
lakini kwa dunia hii ya 21 century sijui utamwamini nani..
kwani mwanamke anaweza rudishi ubikira kwa njia ya surgery .....
sabab ni hiyo hiyo ukimwoa umkute bikira......
Dunia imesha geuka huwezi amini kila kitu macho yanacho kiona....
 
halafu hajafafanua bikira ipi maana watu si hizi wanachakachua mpaka za masikioni wanaitwa ZANTEL wenyewe
 
ulicho ongea hapo juu ni safi sana...
lakini kwa dunia hii ya 21 century sijui utamwamini nani..
kwani mwanamke anaweza rudishi ubikira kwa njia ya surgery .....
sabab ni hiyo hiyo ukimwoa umkute bikira......
Dunia imesha geuka huwezi amini kila kitu macho yanacho kiona....

duh!
 
Na ndio maana kwenye nchi kama hizo tatizo la ukimwi wanalisikia kwenye bomba huku kwetu hata ukitaka mke wa mtu unagonga acha hao wasichana ambao hawajaolewa na hawana mwenyewe............
Ngoma ippo kwa sana tu... ulevi upo kwa sana tu.. uzinzi ndo usisema...!! sema wanawake wanakandamizwa... hivo maovu yote wafanyiwayo hayaonekani mbele ya jumuia za nje....!!! UNAFIKI MTUPU!!
 
Back
Top Bottom