Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,787
- 45,257
Ok bro,No hii issue haziwezi kuwa kweli, hivyo nilikuwa namwambia jamaa asiamini kila anacho ambiwa, vingine ni matango pori kama hili.
P
Binafsi siiamini pia na simpingi.Guam kuna mambo yameshafanyika kiasi kwamba habari kama hii ikiwa ya kweli hata sitashangaa tena.