Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Kaka umepotea sana Mkuu kuna ubishi huku mtaani watu wanasema na wewe umehakikishiwa Wilaya ndio maana umeweka mikono nyuma
Mkuu Kiongwe, sijaweka mikono nyuma popote, ila siku hizi nimekuwa mzalendo zaidi kwa kutanguliza mbele maslahi ya Taifa. Hili la kuhakikishiwa wilaya huku ni kama kunitukana fulani, please!.
P
 
Acheni uchochezi na wivu, nchi yetu imepiga hatua sana mpaka wanajeshi wa nchi nyingine wanajikuta wanashindwa kujizuia mpaka wanaamua kuja kuomba ajira kwenye nchi yetu, hili ni jambo la kupigiwa mfano duniani kote. Hakuna nchi yoyote iliyoweza kuweka "vivutio vya wanajeshi" kama nchi yetu tukufu. Na hizi ni "juhudi" kubwa za raisi wetu mtukufu na sasa ni dhahiri shairi tunaenda kuishinda hii "vita ya kiuchumi".

Na huyu mwenye mawazo kama haya usidhani anatania.

Hivi ndivyo anavyojua na kuamini yeye.

Ni maajabu makubwa, kazi anayoifanya Muumba wetu, kama kweli yupo!

"---wanajeshi wa nchi nyingine wanajikuta wanashindwa kujizuia mpaka wanaamua kuja kuomba ajira kwenye nchi yetu."
Kwa hiyo, kwa vile 'tumepiga hatua sana,' tunaamua kuwapa kazi ya kumlinda mtu wetu aliyetufanya tupige hatua sana!
 
Pumbavuuuu kabisa!!!!hizi taarifa za kishenzi huwa mnazitolea wapi????haiwezekani na haitawezekana!!!!!vyombo vyetu vya ulinzi vipo imara kufanya ulinzi kwa VIP's wote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hakika paschal sasa nimeshathibitisha wewe ni wa kitengo.
Kama uthibitisho wenyewe wa watu wa kitengo ndio huu wa kupitia mabandiko humu jf, then, tuna wataalam wazuri na mahiri sana wa utambuzi.
Umepatia, mimi ni wa kitengo, ofisi yangu ni lile jengo meli pale St. Peters. Kule kazini, tuna majina yetu ya kazini, jina langu la kazini naitwa Chifu. Karibu sana tutembeleane, ukifika tuu getini wewe sema ni mgeni wa Chifu.

P
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
Nilikuwa nafatilia nyuzi zako ukajaribu kunishawishi kwa nyuzi zako lakini kwa hii inaweza kuwa imezishidishwa mno sukari na kuwa chai tamu. Its too good to be true. Rais hajiamulii masuala ya usalama wake.
 
Nilikuwa nafatilia nyuzi ukajaribu kunishawishi kwa nyuzi zako lakini kwa hii inaweza kuwa imezishidishwa mno sukari na kuwa chai tamu. Its too good to be true. Rais hajiamulii masuala ya usalama wake.
Ndiyo maana nashangaa bado
 
Ila nyie watu wa vibonzo mnaniacha hoi, kwahiyo Pombe analazimisha maksai wasonge mbele wakilima asijue maksai wamemgeuka mda wowote wanaweza kumdhuru.
[emoji23][emoji23][emoji23] Anawalimisha kinyumanyuma!
 
Nchi ni kama nyumba.

Kuna kijana alikuwa anaishi na mama yake wa kambo. Kama ujuavyo samaki mkunje angali mbichi. Mama wa kambo alikuwa sheria kali akilea familia yake kwenye misingi yote ya ulokole.

Lakini wajua ujana maji ya moto. Kijana alikuwa akitaka kufanya mambo yake basi anatafuta chimbo lake na kufanya yake.

Siku ya siku anatoka kwenye mlango wa nyumba ya wenyeji anakutana na mama yake wa kambo kashikiliwa na janadume lingine ambalo sio baba yake.

Nyumba ilikuwa chungu kwa kijana kutokana na 'kufuata fomula ya kutokusema kila unachokiona' na ulokole ukakata kabisa.

Mama yule alikuwa ameshapoteza morality ya kusema chochote kwa yule kijana.

Kijana alikuwa anajiuliza maswali mengi.
Je mzee wake akiambukizwa magonjwa itakuaje??

Ustawi na usalama wa familia utaendeleaje kwenye hali ile?

Siku mama yake akiamua kufungasha virago na kwenda kwa janadume lile lingine, baba yake mzazi atabaki kwenye hali gani??

Na je hilo likitokea,hatia atakayokuwa nayo moyoni kwa kutokusema ataweza kuibeba??
Kuna mambo unakufa kizungu na tai shingoni, hadi kaburini unakwenda nayo.
Vitu vingine sio vya kusema kabisa kama uongo mkubwa sana kama huu.
P
 
Kama uthibitisho wenyewe wa watu wa kitengo ndio huu wa kupitia mabandiko humu jf, then, tuna wataalam wazuri na mahiri sana wa utambuzi.
Umepatia, mimi ni wa kitengo, ofisi yangu ni lile jengo meli pale St. Peters. Kule kazini, tuna majina yetu ya kazini, jina langu la kazini naitwa Chifu. Karibu sana tutembeleane, ukifika tuu getini wewe sema ni mgeni wa Chifu.

P
Hahahaaaaa,,,,,
 
Kama uthibitisho wenyewe wa watu wa kitengo ndio huu wa kupitia mabandiko humu jf, then, tuna wataalam wazuri na mahiri sana wa utambuzi.
Umepatia, mimi ni wa kitengo, ofisi yangu ni lile jengo meli pale St. Peters. Kule kazini, tuna majina yetu ya kazini, jina langu la kazini naitwa Chifu. Karibu sana tutembeleane, ukifika tuu getini wewe sema ni mgeni wa Chifu.

P
Umeirudia comment hii umesahau kumwambia kwamba akija kukutafa asije ijumaa maana familia imaweza kumtafta akiwa yuko mikono salama mpaka apatikane ni siku ya kazi jumatatu 😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom