Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Mkuu Msabillah, mimi naungana na wewe, huu ni uongo na uzushi mtupu, huyu Britannica ni jamaa fulani muongo sana hana mfano humu jf, katika uzi wake mmoja, alidiriki kutunga uongo mkubwa sana hadi kumbadili jina na kabila kiongozi fulani. Kiongozi huyu ni wa kabila la Wasukuma, jamaa akambadili kabila kuwa sio Msukuma bali ni Mhaya, akamtungia hadi jina la uongo la Kihaya kuwa anaitwa Katto, nilipomuuliza atafanue kuhusu hili la Katto, aliingia mitini, hivyo Britannica ni muongo muongo, mzushi na mtunga stori za vijiweni yeye anatungia humu jf.

Bandiko lenyewe baada ya kushtukiwa na mode, limefutwa kabisa jf, kisa ni uongo wa Britannica kumhusu Katto.
P
Hahahahahah...Pasco mzee wa falsafa na indirect puzzle, ni kweli brittanica ni muongo kweli....
 
Mkuu Britannica, kwanza usiamini kila unachosikia, kuna vingine ni kweli na vingine si kweli, mfano hili la kulindwa na jirani, sii kweli.

Pili sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, ukweli mwingine, unasikia na kumezea au kukaushia tuu.

Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums
P
Nchi ni kama nyumba.

Kuna kijana alikuwa anaishi na mama yake wa kambo. Kama ujuavyo samaki mkunje angali mbichi. Mama wa kambo alikuwa sheria kali akilea familia yake kwenye misingi yote ya ulokole.

Lakini wajua ujana maji ya moto. Kijana alikuwa akitaka kufanya mambo yake basi anatafuta chimbo lake na kufanya yake.

Siku ya siku anatoka kwenye mlango wa nyumba ya wenyeji anakutana na mama yake wa kambo kashikiliwa na janadume lingine ambalo sio baba yake.

Nyumba ilikuwa chungu kwa kijana kutokana na 'kufuata fomula ya kutokusema kila unachokiona' na ulokole ukakata kabisa.

Mama yule alikuwa ameshapoteza morality ya kusema chochote kwa yule kijana.

Kijana alikuwa anajiuliza maswali mengi.
Je mzee wake akiambukizwa magonjwa itakuaje??

Ustawi na usalama wa familia utaendeleaje kwenye hali ile?

Siku mama yake akiamua kufungasha virago na kwenda kwa janadume lile lingine, baba yake mzazi atabaki kwenye hali gani??

Na je hilo likitokea,hatia atakayokuwa nayo moyoni kwa kutokusema ataweza kuibeba??
 
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Endelea kua na imani
 
Kwani hiyo nchi ya Guam haina kaka wakubwa wa ulinzi?
Inaelekea hiyo nchi ya Guam ,Kaka wakubwa wana malahi mazuri sana kwa hiyo hawana uwezo wa kukataa hayo mambo.
Kila mtu anaangalia maslahi yake kwanza.
Wadogo zao huenda ndio wanakereka kwa sababu wanaona pesa za nchi yao zinaenda kwa majirani zao kulipia wawekezaji wa ulinzi ili hali wao nao wanauweze wa kufanya kazi hiyo!!
 
Lipumba baada ya kujitoa ukawa alienda Rwanda

influence ya Rwanda katika uchaguzi ilikuwaje? Na nia ya Rwanda ku-influence siasa za zetu ni nini?Naona walijaribu Burundi wakashindwa,DRC Rwanda imeendesha vita kwa muda mrefu wakitaka kupandikiza uongozi
 
Ng'ombe kila kona
[emoji4][emoji4][emoji4]
Hebu%20jaribu%20kueleza%20ujumbe%20una%C3%B2jitokeza%20kwenye%20mchoro%20huu%20wa%20katuni%20...jpeg
 
Back
Top Bottom