Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

No hii issue haziwezi kuwa kweli, hivyo nilikuwa namwambia jamaa asiamini kila anacho ambiwa, vingine ni matango pori kama hili.
P
Ok bro,

Binafsi siiamini pia na simpingi.Guam kuna mambo yameshafanyika kiasi kwamba habari kama hii ikiwa ya kweli hata sitashangaa tena.
 
Mjusi aakibanwa kwenye mmlango na macho kkumtoka kkodo anaweza kuongea chochote ili umtoe kwenye kibano chs mlango.
Vivyo hivyo kwa mafisadi waliokula nchi hii na waliokuwa wanatarajia kufanya huo ufisadi.
Ukija kwenye hadithi kuu ya walinzi wa guam nk , lazima wakumbuke kuwa wanajeshi wa Guam mbona wamezikomboa nchi zingine na kuendelea kuzilinda baada ya ukombozi nk, mfano Seychelles, ms
 
Mleta mada ana yake siku hizi ana Hasira sana Na serikali na kutwa kuandika vitu vya kizushi hivi alitegemea kuwa yeye tu ndie ameteuliwa na Mungu kukaa vitengo vinono vyenye pesa Na ufisadi Na kubeba mivyeo kedekede? Kwani nyumbani kwake walinzi Na ma house boy Na house girl ni ndugu zake au ni watu wa nje ya kabila lake .mbona halindwi Na watu wa kabila lake Na ndugu zake Na mahouse boy Na House girl sio nduguze au kabila yake ?.Mihasira ya kupigwa chini sehemu za ulaji inamsumbua Na mamikopo aliyokopa sehemu Mbali mbali inaonyesha yeye Na Zitto Kabwe Na Godless Lema
 
Nimekupata mkuu..ni kwel kuna mambo mengine yanaonekana tofauti sana na uhalisia .unachoonyeshwa kinaweza kikawa na tafsi tofauti sana.
Kama imefikia hatua ya wao kupenyeza watu wao kwetu then huko kwao sipati picha ni jinsi gan vijana wetu wamejaa
 
Believe that and you'll believe anything
P
Mleta mada inaonekana anaaminika na anawafuasi wa taarifa zake. Wewe ukimpinga wafuasi wake hawatakuelewa. Mi naona wewe unaonekana unapingana na imani zao kuhusu wanachokiamini tayari. Hapa hata ukileta ukweli utaonekana muongo. Nadhani unanielewa, audience yake ndiyo hii huwezi badirisha misimamo yao kuhusu hili. Nafahamu, ungependa wakuelewe na wakubaliane nawewe kwamba huu ni uongo. Lakini wameshakubaliana naye, ukweli wako hauwezi kurudisha PH ikawa neutral.
Wameshachagua upande kwenye hii litimus test. Ushauri wangu kwako, ukiona hali iko hivyo. Wewe soma na upite tu, jitihada zako na nguvu zinapotea bure. Hata mimi siamini hili japo sina hata chembe ya ukweli ninao ujua, ila nami naamini opposite na wao, sina ushahidi wa kupingana nao, kama wao wasivyo na ushahidi na hili zaidi ya hear say.

Nimewahi kuulizwa kati ya chumvi na sukari ipi tamu? Jibu langu sukari. Muulizaji akasema mbona supu tuliyokula ulisema ilikuwa tamu, kwani iliungwa sukari?! Mwisho akasema haya maneno yanaweza kukuchanganya, elewa unavyoelewa inatosha otherwise unaweza ukamaliza maisha yako unatafuta maana ipi ni sahihi.
Hivyo baki na msimamo wako, mpaka utakapopata ushahidi tofauti na ulivyokuwa unaelewa. Kuna vitu hutoelewa au kuamini otherwise mpaka uvione kaka.
 
******amul***.
 
Pumbavuuuu kabisa!!!!hizi taarifa za kishenzi huwa mnazitolea wapi????haiwezekani na haitawezekana!!!!!vyombo vyetu vya ulinzi vipo imara kufanya ulinzi kwa VIP's wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…