Mkuu Britannica, kwanza usiamini kila unachosikia, kuna vingine ni kweli na vingine si kweli, mfano hili la kulindwa na jirani, sii kweli.
Pili sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, ukweli mwingine, unasikia na kumezea au kukaushia tuu.
Huwa nakumbuka siku ile ulivyompiga swali mkulu pale magogoni akaishia kusema mayala kwa kikwetu ni njaa.Hivi ulipata wapi ujasir ule? 😎
Nimesikitika sana sana sana
Malizia tu kuwa sasa upo huko jikoni kwenu TISS tukueleweMkuu concordile, huu ni uongo mtakatifu, sema tuu Mkuu Britannica ana kipaji cha kukubalika, hata akidanganya uongo wake unachukuliwa kuwa ukweli, siamini huu uongo wa bandiko hili umeaminiwa hadi umefika page 20!, jambo hili ni uongo, haliwezekani, kwa sababu mimi mwenyewe tuu hapa ni mjenda, kati ya taasisi inayoongoza kwa vetting ya security ya usalama ni PSU, wanakuja TISS, wanakuja JWTZ ndipo inakuja serikali.
This is next to impossible, but wana jf ni watu wa ajabu kweli, yaani wananwanini Britannica kuliko hata mimi ninayefanya ukweli wangu, tena nilikuwa mjeda!, Unless mimi ni zilipendwa na Britannica naye awe ni wale wale wa sasa waliopo, vinginevyo believe that and you'll believe anything.
P
Duh!, yamekuwa haya!. Kati ya freedoms zote, only the freedom to think ndio absolute freedom, mtu uko huru kuwaza chochote kuhusu yoyote au jambo lolote, hivyo nayaheshimu mawazo yako kuwa natafuta uteuzi.Point yangu sio kwamba naamini unachokisema wala nini hapana. Ukweli uko wazi kuwa tuliyenaye yuko kwa minajiri ya kuangusha uchumi hilo liko wazi, na tena wewe ni mmoja wa wanaomsapoti, katika fuatilia yangu sijaona posts yoyote ambayo inamzungumzia mfalme huyo vibaya ambayo uliwahi kuisapoti namaanisha baada ya 2016. Je kwanini nisiamini ya kuwa kuna walinzi toka rwanda ambao wanamlinda. Maana hata kwa macho tu jinsi mambo yanvoenda hata kma ni mwizi kivipi ila mtanzania, hawez fanya anayoyafanya. Kitu ambacho namaanisha inawezekan na ninaombee isewe kweli, lakin pia siwez kuamini chochote toka kwako, wewe na musiba hamna tofaut. Utofaut unakuja jinsi tu mnavotafuta vyeo.
Nikukumbushe tu pascal hii nchi ikianguka si wewe wala babu yako atakuwa salama haijalishi una phd au triple phd za elimu utafulia tu. Badala ya kulilinda tumbo lako sasa hivi tupigane kuikomboa nchi yetu isiingie katika vurugu.
Bahat mbaya naweza sema unaweza jikuta katika hangaika yako hujawahi gusa nchi zenye vurugu kama Drc,Burundi,south sudan na the like. Nakushaur ebu jaribu tembelea hizo nchi ukimaliza ebu tembelea kwenye kambi za wakimbizi popote dunian uone jinsi wenye elimu zao kama nyinyi walivorostika.
MARA MIA NIMUAMINI BRITTANICAA NA UONGO WAKE AMBAE WALAU ANAONEKANA ANAUMIA NA YANAYOENDELEA HATA KAMA NI MATANGO POLI KULIKO NIKUAMINI PASCAL AMBAE NAJUA KABISA MAANDISHI YAKO YAPO ILI UPATE CHEO
Mtu wa TISS angeweza kupandisha bandiko hili humu?Malizia tu kuwa sasa upo huko jikoni kwenu TISS tukuelewe
Kuandika bandiko hakuondoi kuwa wewe ni TISSMtu wa TISS angeweza kupandisha bandiko hili humu?
TISS ni Watekaji, Watesaji na Wauaji!. Wasijadiliwe na Bunge bali Wachunguzwe, Wafumuliwe! - JamiiForums
P
Hivi huyu ni raia wa Tanzania kabisa anapumua kwenye ardhi ya Tanzania, kweli ni ajbu kabisaJWTZ mafala sana, wacha wageuzwe makuli wa korosho!
acheni aibuKuandika bandiko hakuondoi kuwa wewe ni TISS
Pascal sikuelewagi unampigania Nani katika nchi hii!Mtu wa TISS angeweza kupandisha bandiko hili humu?
TISS ni Watekaji, Watesaji na Wauaji!. Wasijadiliwe na Bunge bali Wachunguzwe, Wafumuliwe! - JamiiForums
P
Tunabatizana kwa ubatizo wa moto hawa kina pascal sio wakuchekeaacheni aibu
TakatakaNimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Mkuu,presha yako ni ya kupanda au ya kushuka?Takataka
majina yanaumba, ukimuita mtoto Havijawa atakuwa Havijawa..heshimu sana jina la ukoo, wakati linatolewa kwetu uko lilitolewa kubeba maana halisi ya nature ya wahusika kupewa jina.So what goes around comes around..Pascal sikuelewagi unampigania Nani katika nchi hii!
Nachoona unapigania tumbo lako maana jinsi unavyotanaani kuwa everybody's darling sio kawaida!
Siku hizi yuko upande wa Jiwe kwa asilimia 100.Chunguza post/comments zake utagundua nachokisema.Pascal sikuelewagi unampigania Nani katika nchi hii!
Nachoona unapigania tumbo lako maana jinsi unavyotanaani kuwa everybody's darling sio kawaida!
Yes, kudhaniwa ni TISS ni maujiko, kunasaidia ili watu wasikudhanie wewe ni mtu wa mchezo mchezo, na usikute ndio maana hata siku ile niliruhusiwa kuingia ikulu.Kuandika bandiko hakuondoi kuwa wewe ni TISS
Mkuu bado tuu unatumia kauli ya katiba hairuhusu?Aisee, kazi ipo sana.
Hayo maujiko mlikuwa mkiyapata miaka 90 siku hizi hakuna ujiko wala nini sana sana wanakuchora tu halafu wanasema hiiiiiYes, kudhaniwa ni TISS ni maujiko, kunasaidia ili watu wasikudhanie wewe ni mtu wa mchezo mchezo, na usikute ndio maana hata siku ile niliruhusiwa kuingia ikulu.
P
Siko upande wa mtu yoyote bali nasimama kwenye kweli.Siku hizi yuko upande wa Jiwe kwa asilimia 100.Chunguza post/comments zake utagundua nachokisema.
Kumbe kuna watu mnapigania watu hadi kuulizana unampigania nani?. Mimi ni mzalendo wa kweli wa nchi yangu, simpiganii mtu bali naipigania nchi yangu kwa kutanguliza mbele maslahi ya Taifa.Pascal sikuelewagi unampigania Nani katika nchi hii!
Nachoona unapigania tumbo lako maana jinsi unavyotanaani kuwa everybody's darling sio kawaida!