Uchaguzi 2020 Nilikuwepo kwenye mkutano, sijapenda kuchangishwa fedha kinguvu

Kama kweli, moyoni mwako na dhamira ovu haikusuti, eleza fedha ya ruzuku CHADEMA imetumika vipi, ndipo hoja yako iwe na nguvu.
 
Itoshe kusema kua Leo chadema mmejiskia vibaya Sana na mmepata aibu kubwa Sana

Chadema hamuwez kushindwa watu kwenye mkutano wenu wa kwanza na Harmo rapa

Chadema mnasema Magufuli kaminya hela watu mtaani Maisha magum wakat mnawategemea Wana chama wachache tu wa chadema wawachsngie.

Pole tundulisu naona mmebadili Gia angani kwa kushindwa kwenye mikutano Sasa mnaamua kufanya vurugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Natoa ushauri kwa Chadema watoe control number ili wale wote wenye mapenzi mema waweze kuchangia, huu utaratibu wa kutembeza bakuli umepitwa na wakati...
Wafanya fujo CHADEMA jana wameibika kwelikweli
 
Yani chama kinapitisha bakuli siku ya uzinduzi wa kampeni kweli!. Tukisema wapinzani bado mikakati ya ushindi hawana Wana panic!.Strategic tu za kampeni zina washinda , wataweza kuongoza nchi kweli hawa!.
Very poor strategy. The poorest
 
Tusidhalilishane. Kuwa na Techno au Itel sio uhinga wenue ma iphone yenu mbona mnaomba hela?
Iphone ina buku salio si ujinga
 
Ni Kweli waliponeana si unakumbuka matibabu ya Lissu walichanga, waliwatoa viongozi na wabunge wao gerezani kwa michamgo.....
Mang'ombe ya ccm ndo yatalishana uchafu kama huu.

Tundu Lissu Rais wa JMT FULL STOP!
 
Taahira
 
Unazingua walikuwa wanawaingiza mikono mfukoni?

Hata hivyo kuna haja gani kuchangisha wanachama siku ya uzinduzi wa kampeni kama hukuwapa taarifa mapema? Uchaguzi huu unaangaliwa na unafuatiliwa na dunia nzima. Uchaguzi huu unafadhiliwa na wajomba wanaofuatilia huko duniani. Kuna haja gani kuchangisha wapiga kura maskini wakati kuna wajomba wafadhili wanaweza kuchanga?
 
Just out of ushabiki Kuna watu tunahitaji uamsho wa kifikra kwa kweli we both know(hata kama mind yako itakaa) kwamba sio lisu wala mgombea mwingine pinzani ataweza shika dola so kuchangisha that's a wastage of money tunajua hatashinda hakuna raisi tz aliyeshindwa awamu ya pili.HAKUNA
 
Habari za sasa hivi ndugu wana jf, leo pia ni siku nzuri katika jiji la dsm kwa kuwa kuna kampeni za mgombea wetu wa uraisi pale Tanganyika Packers.

Hapa nilipo(kimara) nipo na jamaa zangu kama 20 hivi tunajiandaa kwenda huko kwa ajili ya kusikiliza sera mbadala na nzuri kabisa kwa ajili ya mustakabali wa nchi yetu.

Jana haikuwa siku nzuri kwa kuwa tulighafirika kwa kitendo cha kuombwa pesa kinguvu kutoka kwa mgombea wetu wa uraisi.
Kwa kuwa bado tunapenda sera mbadala, leo tutaenda pia ila angalizo "HATUTAKI KUOMBWA PESA".

Leo hatutasingizia network, bali tutaamua kuondoka mkutanoni.

Wanasiasa mtuonee huruma, chama kilikuwa na wabunge zaidi ya 50 ambao ukichukua kiinua mgongo chao cha zaidi ya mil 200 ukizididha mara 50 unapata bilioni 10 na zaidi.

Billioni 10 ni pesa nyingi sana, kwa nini chama kisiwaombe wabunge wao wastaafu wachangie kila mmoja mil 100(nusu ya walichopata) , ili kupata atleast billion 5 ambazo naamini zinatosha sana.

Kutuchangisha kinguvu sisi ambao hata elfu 5(5000) kuipata kwa siku ni kazi, hiyo ni dhambi kubwa sana.

Mwananchi wa kawaida naipambania elfu 5 kwa siku alafu unataka nikuchangie wewe ambae juzi tu umelipwa kiinua mgongo cha zaidi ya mil 200, hii HAIWEZEKANI NA HAIKUBALIKI.

Wote tunafahamu jinsi mtaani palivyo pagumu na pesa hakuna na ajira hakuna, sasa za kuwapa nyie tunatoa wapi?
TUTAENDA ILA HATUTACHANGA

 
Tutachanga kama ikibidi lazima jiwe akataliwe kwa kila namna.
 
Hakuna alielazimishwa kama wewe ulishindwa bastola utuambia please kuwa mkweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…