Uchaguzi 2020 Nilikuwepo kwenye mkutano, sijapenda kuchangishwa fedha kinguvu

Uchaguzi 2020 Nilikuwepo kwenye mkutano, sijapenda kuchangishwa fedha kinguvu

Bavicha huwa wanatamba Mbowe ni tajiri tangu enzi za Nyerere lakini kila unapofika uchaguzi Chadema huwa hoi sana kipesa kwenye kampeni!!

Mfano uzinduzi wa kampeni leo ni hovyo kabisa na ni dhahiri chadema hawana pesa.

Je, utajiri wa Mbowe una manufaa gani kwa Chadema?
 
Ni kweli kasema "Simu zenu za mchina ?Maana walipoanza michango mimi niakenda kunywa maji.
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wacha kuzuga! Mtaichangia hiyo SACOS hadi mwamba wenu aka ''mlevi wa konyagi'' aondoke.
 
Leo ilibidi tuongope kuwa hakuna network
Hawajaacha ile tabia yao ya kuchangisha mafuta ya helikopta? Khalafu huwa hawalete mrejesho. Zilipatikana ngapi, zilitumika vipi, Watanzania kuweni makini na hawa matapeli wa kisiasa. Wana wa changisha wafuasia wao baada ye wakati wanakula fedha walizo wachangisheni wanasema'kazi na bata' michango yenu ndivyo inavyo liwa hivyo kibata bata.
 
Bila aibu lissu anafuambia "haya toeni simu zenu za mchina kisha bonyeza *150*00# chagua namna 4 chagua.....weka kumbukumbu namba CDM2020 WEKA PASSWORD
AIBU HII WADAU, SIJAWAHI ONA KITU KAMA HICHI
Bavicha huwa wanatamba Mbowe ni tajiri tangu enzi za Nyerere lakini kila unapofika uchaguzi Chadema huwa hoi sana kipesa kwenye kampeni!!

Mfano uzinduzi wa kampeni leo ni hovyo kabisa na ni dhahiri chadema hawana pesa.

Je utajiri wa Mbowe una manufaa gani kwa Chadema??
 
Kinacho gomba hapa ni kutembeza bakuli - yaani ombaomba! Akakatabia kwa mtu huyu kamekuwa kama kansa - kila akipata nafasi anatoa mkono bbaba! bbaba! bbaba!
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mbavu zangu jamani wengine tupo sebuleni khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Siku ya leo katika ufunguzi wa kampeni mgombea wa CHADEMA ndugu Tundu Lissu umetia aibu sana kwa kuanza kujiombeleza pesa za kampeni badala ya kuwaambia watanzania nini utawafanyia kilicho bora zaidi ya alichofanya Magufuli.

Matokeo yake umeishia kurudia yaleyale ya kila siku ya lawama na kutafuta huruma ukimalizia kwa kuwavunja goti wananchi /wafuasi wako.

Hivi chama hakikujipanga kirasilimali fedha na vitendea kazi kwa uchaguzi huu mpaka mnachangishana?

Ruzuku ilitumikaje? hakika mnatia shaka sana kukabidhiwa madaraka makubwa kwa taifa hili.

Ukweli ulichofanya leo ni udhaifu na umedhihirisha ya kuwa utashindwa vibaya sana tena kwa aibu .

Ni bora ungeomba msaada mbeleni kwenye kampeni ,pengine ungeeleweka na sio siku ya kwanza tu, umewafikirisha Sana wanachadema na kuwakatisha tamaa.

Uchaguzi si lelemama na kwa maelezo yenu kampeni itawashinda mapema sana kwa ukata mlionao. Kinachoonekana, mmepanga kuvuruga uchaguzi huu na si kushiriki kushinda uchaguzi.
 
Sio kosa hata US huko Hillary Clinton alichangiwa na baadhi ya wasanii wakubwa kama akuna Jay Z,Kanye ,Beyonce nk.Hiyo ni kawaida ktk ulimwengu wa demokrasia.
 
Natoa ushauri kwa CHADEMA watoe control number ili wale wote wenye mapenzi mema waweze kuchangia, huu utaratibu wa kutembeza bakuli umepitwa na wakati.

Mkutano wa siasa siyo Kanisani kwamba watu wanakuja na sadaka zao hivyo rekebisheni hii kasoro haraka iwezekanavyo.
Wenzenu CCM mambo ya kupitisha bakuli walishasahau sasa ni mwendo wa control number tu.

Karibuni Dodoma kuna jambo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Safari hii sidhani kama tutafika Oktoba 28, patachimbika mapema sana. Wananchi wamechoka wapo hoi kila kona, kuanzia kimaisha + ajira. Hali mbaya mtaani (Juzi nimepakiwa na bodaboda dereva ana degree ya education, hana ajira na kasoma).

CCM wamezidi uduwanzi wakati ukweli raia wamesha wachoka wala hawataki kuwasikia, wanavyofanya kulazimisha mambo raia wanazidi kuchoka zaidi na wanasubiri kipenga kipulizwe tu (Nchi nyingi za nje zita support machafuko kwa hali na mali).

Vyombo vya intelijensia vinapaswa kusimamia "WELEDI + BUSARA" ya kazi zao, sio kuendelea kutumika tu. Taifa letu linachukiwa dunia nzima kwaajili ya mtu mmoja. Taifa linaweza likaelekea pabaya sana ndani ya muda mfupi.
 
Safari hii sidhani kama tutafika Oktoba 28, patachimbika mapema sana. CCM wamezidi uduwanzi wakati ukweli raia wamesha wachoka wala hawataki kuwasikia + hawatendi haki.

Vyombo vya intelijensia vinapaswa kusimamia "WELEDI" wa kazi zao, sio kutumika tu. Taifa linaweza likaelekea pabaya sana ndani ya muda mfupi.
Ukitaka kuona kama raia wameichoka CCM subiri baadaye !.. ndipo mtajua hamjui!. Msipende kujipa matumaini buree tu , wapinzani bado hamjajipanga kimkakati na uchaguzi huu , na huyo roporopo wenu!.
 
Leo kama kawaida niliwahi mapema sana kwenye mkutano kusikiliza sera za mgombea wetu.

Mengi ameeleza vizuri sana japo kuna ambayo ameyarudia rudia sana.

Kingine nilichopenda ni muda wa mgombea umekuwa mrefu sana kapata karibu saa nzima tofauti na 2015 kipindi cha lowassa ambae alikuwa anaongea dakika 3 tu.

Ila katika yote kubwa ni hili la kutaka kuchangishwa fedha kilazima/kinguvu. Mgombea wetu anatuambia "haya toeni hizo simu zenu za mchina, bonyeza *150*00# kisha chagua namba 4 kisha......"

Baadhi tuliokuwa hapo tukajiuliza kajuaje tuna pesa kwenye simu? Kwa kuzuga tukamjibu hakuna network, akasikia.

HATUJAPENDA HII, WEKENI NAMBA AU ACCOUNT KWA MUDA MTU ATAOTAKA KUCHANGA ATAWACHANGIA.
Twende na Lissu 2020
 
Yani chama hakina rasilimali fedha na watu!. chama hakina timu ya hamasa wala media iliyojidhatiti kurusha habari zake,kutwa kucha kulalama tu!,na kurushia madongo dola, chama hakina hata ofisi yenye hadhi ya kichama ! .Alafu Leo wanataka tuwape nchi tuwe serious kidogo!.
 
Maisha yametupiga wote ndio maana leo viongozi wa chadema walikuwa wanatuomba pesa kilazima
Daaah jamaa anabuku bee tu,halafu analeta maneno mbofu...ccm imejaa vijana wehu maisha yamewapiga balaa
 
ndiyo maana nchi za wenzetu hawampi urais mtu maskini yaani wanataka rais awe anajiweza kwa namna moja.
Asa ukimpa urais mtu kama huyu then akaingia ikuru unahisi kitu cha kwanza kitakuwa nini kama si kujilimbikizia mali.
 
Back
Top Bottom