Huu uongo hauwezi kutusaidia chochote
We ni mzigo kwa taifa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uongo hauwezi kutusaidia chochote
Mkuu samahani unaweza kunisaidia namba ya kuchangia?maana mimi niko nanjilinji sikubahatika kufika huko,natanguliza shukrani zangu za dhatiKauli aliyotoa ilikuwa ya shuruti, anasema toa simu yako kisha bonyeza......hapo huoni katushurutisha?
Leo kama kawaida niliwahi mapema sana kwenye mkutano kusikiliza sera za mgombea wetu...
Nenda kachangie kigodoro,huku waachie wenye mahaba na chama la wananchiLeo kama kawaida niliwahi mapema sana kwenye mkutano kusikiliza sera za mgombea wetu.
Mengi ameeleza vizuri sana japo kuna ambayo ameyarudia rudia sana...
Ha ha haaa ! Wananchi hao. Safi sana.Kwa kuzuga tukamjibu hakuna network, akasikia.
Wapelekee tu wala haina shidaNgoja niongeze 20000.
Nimekuguswa na mauaji ya Lissu
Wewe huelewi kitu, ila nadhani amepata somo kuwa pesa hatunaKwenda Zako Nani ana shida na kibuku mbili chako...mtuache chadema
Harakati?? Wenzio kiinua mgongo wamechukua zaidi ya mil 200, endelea kuwachangiaMm nitachangia kesho natamani kuchangia harakati za nchi hii
Endelea kulima mapapai tu hukoWewe huelewi kitu, ila nadhani amepata somo kuwa pesa hatuna
Hii ni aibu kubwa sana kwa mtoto wa kiume kukaa unalialia ati umeshurutishwa kwa kauli hii.Kauli aliyotoa ilikuwa ya shuruti, anasema toa simu yako kisha bonyeza......hapo huoni katushurutisha?
Kauli aliyotoa ilikuwa ya shuruti, anasema toa simu yako kisha bonyeza......hapo huoni katushurutisha?
Nilivyoona tunaambiwa toa simu yako ya mchina, mm sikutoa tukamwambia hakuna networkMkuu samahani unaweza kunisaidia namba ya kuchangia?maana mimi niko nanjilinji sikubahatika kufika huko,natanguliza shukrani zangu za dhati
Kuna jamaa yangu alianza kufatisha ghafla akasikia chagua namna 4, kumbukumbu namba weka CDM2020, ghafla weka kiasi, ghafla password...... Jamaa akashtuka nkaona anaitia simu mfukoniKwahiyo umetoa mchango kwa nguvu! Wanekukaba au wamekupiga mtama? Je umeporwa sh ngapi kama mchango? Je umeripoti katika kituo gani cha polisi?
Mahaba ndio tutoe pesa?? Mbona wao hawatuchangii sisi?Nenda kachangie kigodoro,huku waachie wenye mahaba na chama la wananchi
Amepata somo kuwa pesa hatuna, ila sera tupo tayari kusikilizaHa ha haaa ! Wananchi hao. Safi sana.
Pesa hatuna,Endelea kulima mapapai tu huko