Uchaguzi 2020 Nilikuwepo kwenye mkutano, sijapenda kuchangishwa fedha kinguvu

Uchaguzi 2020 Nilikuwepo kwenye mkutano, sijapenda kuchangishwa fedha kinguvu

Yani chama kinapitisha bakuli siku ya uzinduzi wa kampeni kweli!. Tukisema wapinzani bado mikakati ya ushindi hawana Wana panic!.Strategic tu za kampeni zina washinda , wataweza kuongoza nchi kweli hawa!.
 
Aisee usimlinganishe Hillary Clinton na huu utopolo wenu.
Inawezekana kweli nisimlinganishe,inaonekana demokrasia yetu na US tofauti.Ila wenye demokrasia yao wanafanya hivyo,Lissu yupo sawa.
 
Leo kama kawaida niliwahi mapema sana kwenye mkutano kusikiliza sera za mgombea wetu.

Mengi ameeleza vizuri sana japo kuna ambayo ameyarudia rudia sana.

Kingine nilichopenda ni muda wa mgombea umekuwa mrefu sana kapata karibu saa nzima tofauti na 2015 kipindi cha lowassa ambae alikuwa anaongea dakika 3 tu.

Ila katika yote kubwa ni hili la kutaka kuchangishwa fedha kilazima/kinguvu. Mgombea wetu anatuambia "haya toeni hizo simu zenu za mchina, bonyeza *150*00# kisha chagua namba 4 kisha......"

Baadhi tuliokuwa hapo tukajiuliza kajuaje tuna pesa kwenye simu? Kwa kuzuga tukamjibu hakuna network, akasikia.

HATUJAPENDA HII, WEKENI NAMBA AU ACCOUNT KWA MUDA MTU ATAOTAKA KUCHANGA ATAWACHANGIA.

Hapo hapo mnasema Magu kanifanyia maisha magumu na watu hawana ajira, hakuna hela mfukoni na hapo hapo wanataka watu wawachangie mbona kauli zinapingana hizi.
 
Yani chama hakina rasilimali fedha na watu!. chama hakina timu ya hamasa wala media iliyojidhatiti kurusha habari zake,kutwa kucha kulalama tu!,na kurushia madongo dola, chama hakina hata ofisi yenye hadhi ya kichama ! .Alafu Leo wanataka tuwape nchi tuwe serious kidogo!.

Tuwe serious na nn ccm izo Mali walizonazo c zimetokana na rasilimali zetu mbona hutumii akili broo ,issue ya vyombo vya habari inaeleweka kwamba vyombo vya habari vimenunuliwa mpka,vyombo vingapi vilivyokuwa vinatoa habari za cdm vimefungwa unaongea ujinga mtupu
 
Hata wakati wa chama kimoja hakuna aliyepita bila “kupingwa”
Angalau na hatimaye, tena kwa unyonge Mkuu BAK unajitosa jukwaani kwamba upo. Kama uzinduzi ungekuwa na mafuriko hakika JF ingejaa bandiko za shangwe.

Ukweli, kama mada ilivyo, na nilikwisha toa angalizo mapema, hazina ya CHADEMA imesafishwa kitambo na kuvunjwa vipande vipande katika kugharamia mikutano isiyo na tija ya Lissu, mgombea wao, kutafuta wadhamini.

Sasa, viongozi wa CHADEMA wanafuta njia ya kujinasua na aibu kwa matamshi ya kuchochea vurugu. Ila wajifunze kwa jinsi Serikali ilivyokaa kimya Lissu akizunguka mikoani huku akimwaga kejeli na dharau kubwa dhidi ya viongozi wake na dini.
 
Leo yameaibika, Watz wanajielewa haikuwa rahisi kupata pesa zao kizembe hivyo, njooni na mbinu zingine.
FB_IMG_1598649080628.jpg
 
Angalau na hatimaye, tena kwa unyonge Mkuu BAK unajitosa jukwaani kwamba upo. Kama uzinduzi ungekuwa na mafuriko hakika JF ingejaa bandiko za shangwe.

Ukweli, kama mada ilivyo, na nilikwisha toa angalizo mapema, hazina ya CHADEMA imesafishwa kitambo na kuvunjwa vipande vipande katika kugharamia mikutano isiyo na tija ya Lissu, mgombea wao, kutafuta wadhamini.

Sasa, viongozi wa CHADEMA wanafuta njia ya kujinasua na aibu kwa matamshi ya kuchochea vurugu. Ila wajifunze kwa jinsi Serikali ilivyokaa kimya Lissu akizunguka mikoani huku akimwaga kejeli na dharau kubwa dhidi ya viongozi wake na dini.

Siasa za kibabe za ccm Ndio zimepelekea nchi kufika apa kaZi ni kununua wabunge na madiwani its a shame then fedha za walipa kodi mnafanya kazi ya kuwalipa wasanii ili kuwavutia watanzania wajinga wajae,usilete ushabiki wa yanga na Simba kwenye siasa broo,consequence zake haitajali ww ni ccm au cdm kama vijana inatakiwa tuangalie maslahi ya taifa
 
Back
Top Bottom