Nilileta nyuzi nyingi kuhusu wasanii wa kiume na hereni, kusuka pamoja na vipini puani hamkunielewa. Sasa P Didy kaja kuwafumbua macho

😂😂😂 lete hiyo clip
 
Reactions: EEX
Kuvaa Vipini, heleni,kusuka,hakuja Anza Leo, hata 2pac alivaa Helen, na kuweka kipini,enzi hizo 90s, kwenye mashitaka yake,hakuna sehwmu inasema Ali kuwa anatindua watu malinda, wabongo mnataka iwe kweli, na mngapenda iwe imempata, Mond,ili mjisikie vzr kwa chuki zenu, kisa kijana anaishi, maisha ambayo, wengi wenu, mtayaona kwenye video tu, hata mkiuza Mali za ukoo wenu wote,
 
Nothing happened to Mond bro, acheni uchawi,
Soma hii makala,uelewe kilixhopo kwenye kesi ya Didy.
 
Hivi Ile picha ya p Diddy anamfanya burna boy ni ya kweli au editing?
 
Yaani unamuona kabisa amonazi kaweka pini puani
Bado unaimba nyimbo zake
Jamani mambo mengine usisubiri uwe mlokole ndio uyaelewe
Mimi siwezi kuimba wala kusikiliza kwa makusudi wimbo wa mwanaume anayevaa hereni. Haijalishi ana pesa au umaarufu kiasi gani.
Never
 
Sualaasss mtambukaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…