Nililogwa ili nife kwa kisukari na pressure

Hivi hamuwezi kuziandika na kuziweka kwenye uzi mmoja vitu vyote bila kuchosha watu na miendelezo yenu ya robo boro!?? 9
 
Yule kijana alipokwambia kuhusu uganga ukamjibu wewe ni mkristo unalindwa na Yesu huna hata chale mwilini mwako hii ilikuwa ni katika sehem ya pili au ya tatu,hii sehem ya mwisho unasema hukuwa unaamini uwepo wa Mungu[emoji23]
 
Hivi hamuwezi kuziandika na kuziweka kwenye uzi mmoja vitu vyote bila kuchosha watu na miendelezo yenu ya robo boro!?? 9
Hahaaaaaaa, kweli JF kina watu wana stress zao. Vipi bro, leo sister wako hajakupa chakula kilichobaki cha uncle zako?
 
ni kweli ukiwaomba ushahid wa uchawi hawana.
Uchawi unavumishwa na wavivu kufikili mi niliendaga kwa babu yangu huko bariadi ndani ndani ambapo babu yangu anasifika kwa uganga na ukifika kuna nyomi yaani hadi majambazi yanakuja kuchenjia eti dawa ya kukinga risasi yaani nikawaza polisi wangeweka ma informas kwa waganga maarufu wangeokota waarifu wengi mno.
Kiufupi pale nakula supu za kuku na mbuzi daily ila nilichojifunza babu ni wale wazee wajanja wajanja wana akili kubwa sema hawajapata nafasi ya kusoma.
NITAENDELEA
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yesu ni mwemasana umefanya maamuzi sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…