The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Acha ujinga. Uchawi haupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi niliacha ila baadaye nikaja pata kazi serikalini. Jamaa sijawahi muuliza wala ongea naye wala sasa sijui yupo wapi maana mimi niliondoka huko Katavi. Mke ninaye na kweli alisimama sana nami kwenye jaribu. Hakunikimbia wala kuninyanyasa wala kunisema vibaya mnyamwezi wa watu. Ni mke mwema Mungu aliyenipa.Hongera Kwa kufata njia sahihi'....ila hujatueleza jee kazi uliacha?na jee baada ya kutoka ulimuuliza chochote yule kijana ulie kua una mlea?na jee vipi kuhusu mke Bado mko wote au matatizo yaliwatenganisha!!
Alafu nikidanganya itanisaidia nini?Heri umemaliza uongo wako
Haya hongera sana ila Sema sana ila omba sana Mungu yasikukute. Nilikuwa much know kama wewe ila yaliponikuta ndio kiranga kiliniisha.Acha ujinga. Uchawi haupo.
Huna pesa ya kunipa wewe maskini tu kula kulala.Then uanze kuomba michango
Amina ndugu yangu. Mungu mwema.Ubarikiwe sana kwa ushuhuda huu mzuri.
Hahaaaaaa, haya kidole cha simba.KINENGUNENGU!!!! mimi naona wewe ndio ulimloga mtu akapata KISUKARI,manake jina lako lenyewe limekaa kichawichawi!!
Sema sana mkuu ila omba yasikukute. Hata UKIMWI unapandikizwa isije sukari wakari pepo linaemda kukaa kwenye kongosho then linaleta shida.Kisukari ni ugonjwa unajulikana acha imani za kijinga
Hahahaaaaa, eti unanitania ili unijaze upepo. Hongera kwa kucomment.Wewe ni mshirikina na kigagula
Binafsi nilitingwa na kazi pia kipindi hiko sikuwa nimeoa kwa hiyo nilimuweka jamaa aniangalizie nyumba. Nimejifunza mengi sana.Mimi Siwezi Kufanya Ujinga km huo
Udi ni chakula Cha majiniHivi udi una uhusiano gani na mambo ya kishirikina? Kuna mwamba mmoja kazini kwetu ndio michongo yake... ila yeye hafichi, anqsema kwao ni waganga waganga (yeye mwenyewe, dingi n.k)
Sasa hiyo Sukari na Pressure imepona au yalikuwa mawenge yako na uzuzu wakoHahahaaaaa, eti unanitania ili unijaze upepo. Hongera kwa kucomment.
Amina brother, Mungu mwema.Pole kwa majaribu, na hongera kwa kuyashinda majaribu.
We mkurya umeacha wizi siku hizi?Uchawi haupo na hauta kuwepo