Nilimezwa na chatu mwaka 2008


El Nino ilinyesha mwishoni mwa mwaka 1997 na mwanzoni mwa mwaka 1998. Hkujawahi kutokea El Nino nyingine tena!
 
Ndio najiuliza, maana hizi simu za picha nyingi zimeingia 2011 mwishoni, 2012...

Mimi Tecno P3 yangu nilinunua 2012...

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataja simu za mwanzo kuwa n camera unaitaja tecno? Tangu lini hiyo kampuni ikagundua teknolojia mpya. Mimi simu ya kwanza ya camera niliiona kwa brother mmoja alitoka Dubai, 2008 ilikuwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…