Eti anasema picha zilishauzwa, huyu nnawasiwasi nae, anatuletea stori za ukikutana na simba jidai umekufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti anasema picha zilishauzwa, huyu nnawasiwasi nae, anatuletea stori za ukikutana na simba jidai umekufa
Je unajua mvua za el nino zilinyesha mwaka gani?Mkuu sema wewe ndio ulichelewa kumiliki simu zenye camera ila zimekuwepo sana tangu 2005s mfano wakati huo kulikua na Samsung l series zote zilikua na camera.
Sent using Jamii Forums mobile app
El nino ya huyu jamaa simu za kamera zilikuwepo nakumbuka 2006 baba yangu alikuwa na Motorola l7 hizi simu zilikuwa na camera.Wakati wa mvua za El nino kulikuwa na simu yenye uwezo wa kupiga picha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili swali lako aulizwe chatu maana ndio mmezaji na ndie aliamua kuanzia miguuniMkuu bado hujajibu swali kwanini hakuanza kukumeza kuanzia kichwani badala yake akaanza na mguu?
Kulala chali kwani kunamfanya kumeza aanze na miguu?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] [emoji2] umeandika kwa hofu sanaNilikuwa sijui,je ukilalia tumbo inakuwaje?hofu yangu ukilala chali si anaweza akatoboa macho?
Sitaisahau elnino ya mwaka tajwa hapo juu, mvua zilikuwa kubwa sana kule maeneo ya Mbeya bila kujua nikaingia kwenye mtego wa chatu, alinidondosha.
Pona yangu sikuamka, na ukilala chali chatu hakuwezi alinitambaa sana mwilini ili anivingirishe ila nilijikaza na ile ngozi yake laini ilivyokuwa inanitambaa mwilini.
Nilijikaza lakini alibahatisha kunimeza mguu wote; alishindwa kunimalizia kwasababu nilikuwa nimetanua mguu wa kulia hivyo sikupita mdomoni mwake. Niliokolewa baada ya masaa matatu ila mguu uliungua sana.
Huwezi amini tulikuwa tunaangaliana jicho kwa jicho huku nimelala, ujasiri huu niliupata baada ya kulewa sana pombe ya Kiroba ilikuwa maarufu sana kule Mbeya inaitwa Double Punch.
Chatu msikie tu. Yupo kama jini au shetani, yale macho yake mkitazamana kwa karibu.
Siogopagi nyoka ila Chatu sitaki kumsikia maana naonaga video zake anatisha saaanaMember wa jf walioko uyole mbeya watakuwa wanakumbuka hili tukio na hizo picha watakuwa waliziona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hili swali lako aulizwe chatu maana ndio mmezaji na ndie aliamua kuanzia miguuni
OkMkuu sema wewe ndio ulichelewa kumiliki simu zenye camera ila zimekuwepo sana tangu 2005s mfano wakati huo kulikua na Samsung l series zote zilikua na camera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataja simu za mwanzo kuwa n camera unaitaja tecno? Tangu lini hiyo kampuni ikagundua teknolojia mpya. Mimi simu ya kwanza ya camera niliiona kwa brother mmoja alitoka Dubai, 2008 ilikuwa.Ndio najiuliza, maana hizi simu za picha nyingi zimeingia 2011 mwishoni, 2012...
Mimi Tecno P3 yangu nilinunua 2012...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada hajasema alipigwa picha na simu.... Hilo swali kaulizwa na mdau fulani kama walitumia simu au camera.Je unajua mvua za el nino zilinyesha mwaka gani?