Nilimezwa na chatu mwaka 2008

Tatizo ana macho ya binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana wewe hizo picha walizokupiga ukiwa umemezwa na chatu huna hata moja ukumbusho?
Mama Mwajuma naomba chapati 2

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dogo ameshakuandalia chai naona umeagiza chapati kabisa..hahaha!!
 
Ahsante atakua mtoto uyu
Bora ma legendary mmemkumbusha
 
Tuma picha ya mguu ulioungua, ndipo tutakuamini..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikatika mkuu....baada ya hilo tukio alijaribu kuvuka MTO wenye mamba baada ya KUANGALIA ile muvi ya The hardway.....mamba wakapita na mguu ulioungua,na walishukuru sana maana ulikuwa umeshapikwa na chatu...sasa hivi anatumia mguu wa tatu kutembelea!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…