Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uliweza kutembea baada ya hapo? Alivyofika juu ya mapaja hakuzikamata zile heshima zetu kweli?Member wa jf walioko uyole mbeya watakuwa wanakumbuka hili tukio na hizo picha watakuwa waliziona
El nino ya huyu jamaa simu za kamera zilikuwepo nakumbuka 2006 baba yangu alikuwa na Motorola l7 hizi simu zilikuwa na camera.
Bora usingecomment chochote, unajitia aibu.Wakati wa mvua za El nino kulikuwa na simu yenye uwezo wa kupiga picha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ana macho ya binadamuSitaisahau elnino ya mwaka tajwa hapo juu, mvua zilikuwa kubwa sana kule maeneo ya Mbeya bila kujua nikaingia kwenye mtego wa chatu, alinidondosha.
Pona yangu sikuamka, na ukilala chali chatu hakuwezi alinitambaa sana mwilini ili anivingirishe ila nilijikaza na ile ngozi yake laini ilivyokuwa inanitambaa mwilini.
Nilijikaza lakini alibahatisha kunimeza mguu wote; alishindwa kunimalizia kwasababu nilikuwa nimetanua mguu wa kulia hivyo sikupita mdomoni mwake. Niliokolewa baada ya masaa matatu ila mguu uliungua sana.
Huwezi amini tulikuwa tunaangaliana jicho kwa jicho huku nimelala, ujasiri huu niliupata baada ya kulewa sana pombe ya Kiroba ilikuwa maarufu sana kule Mbeya inaitwa Double Punch.
Chatu msikie tu. Yupo kama jini au shetani, yale macho yake mkitazamana kwa karibu.
Sasa hilo swali si umuulize CHATU. Yeye ndo anaamua aanze wapiMkuu bado hujajibu swali kwanini hakuanza kukumeza kuanzia kichwani badala yake akaanza na mguu?
Kulala chali kwani kunamfanya kumeza aanze na miguu?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Hili swali lako aulizwe chatu maana ndio mmezaji na ndie aliamua kuanzia miguuni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dogo ameshakuandalia chai naona umeagiza chapati kabisa..hahaha!!Ina maana wewe hizo picha walizokupiga ukiwa umemezwa na chatu huna hata moja ukumbusho?
Mama Mwajuma naomba chapati 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante atakua mtoto uyuSimu za camera tangu miaka ya 2005,faza wangu mdogo alikuwa anaenda Kampala kurangua simu zile za kufunua zilikuwa na kamera hapa bongo alikuwa anauza simu moja laki tano, enzi hizo tena anauza mkononi Ila zilikuwa mpya,2008 zilikuwepo simu zenye kupiga picha sema zilikuwa chache.
Siyo legend sana kipindi hicho 2005 nilikuwa najitambua Ila chalii wa primary.Ahsante atakua mtoto uyu
Bora ma legendary mmemkumbusha
Ulikatika mkuu....baada ya hilo tukio alijaribu kuvuka MTO wenye mamba baada ya KUANGALIA ile muvi ya The hardway.....mamba wakapita na mguu ulioungua,na walishukuru sana maana ulikuwa umeshapikwa na chatu...sasa hivi anatumia mguu wa tatu kutembelea!!!!
Rose matako wa kibaigwaRose matako si nimeagiza chapati zikowapi halafu mbona ujaleta na supuView attachment 1351610
Sent using Jamii Forums mobile app
I agree with you.