mzalendo wa iran
Member
- Jun 20, 2016
- 97
- 106
Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Sasa Kuna siku Niko kazini nikapigiwa simu na jamaa ananiuliza unamfahamu x nikasema ndio akasema ni nani kwako nikamwambia ni mtu wangu jamaa akahamaki Sana akauliza kama nilishawahi kutumia Kinga nikamwambia no kufupisha story kumbe alikuwa na mahusino na jamaa at the same time Yuko na mwamba nilipombana akasema alikuwa nae kabla yangu so akatoa maamuzi kuwa yeye anataka aendelee na Mimi baadae ya hapo ikaonekana ana mimba
Sasa ikawa mtihani kwangu kwa maana tumeshare penzi na jamaa nikamtunza kibishi hivyo hivyo kiukweli kipindi hicho sikuwa na pesa so akawa anasema namnyanyasa nk Kuna siku akanambia anaona damu inamtoka so hajui tatizo ni nn nikamwambia jarbu kuulizia kwa wanawake wenzio wakupe uzoefu yeye wakati huo Yuko Moshi kwa wazaz wake Sasa siku moja nikawa namwambia nakutumia hela uende hosp wakati huo nachrt na dada kwa wakati mmoja Sasa dadaake akakosea sms badala atume kwa mdgo wake akatuma kwangu anasema nenda kacheki hospital ukiona uko fresh usimwambie ili ule pesa yake
Sasa baadae ya SMS ile nilitokea kuwachukia Sana yeye na dada yake alienda hospital akacheki ikaonekana mimba Iko nnje ya kizazi wakatoa baadae ya kuitoa dogo akawa na jeur kwangu na zarau tukigombana tukaachana kiukweli japo tuliachana bila mawasiliano kwa mwaka mzm lkn bdo nilikuwa nampenda nakumkumbuka Sasa juzi nikampigia akapokea tumeongea Sana akadai Hana hela Hana kazi nimsaidie kutafta kazi Nika mwambia sawa Ila nikamwambia nataka niombe ruhusa nije Moshi nikuone akasema utakaa siku ngapi nikamwambiila siku tatu akaniambia sawa lkn si unaniona tu unaendelea na ratba zako pale pale nikaishiwa nguvu kiukweli
Nampenda kupitiliza lkn ananipa drama nyingi ikifika usiku simu haipokelewi Ila asbh fasta atakwambia nilipitiwa na usingizi imagine saa tatu Sasa najikuta Sina Raha yaani nimekuwa mtumwa wake sijui ndio limbwata nampenda mnoo najitahidi kuwa mwema ili anielewe wapi
Kuna mda akili inaniambia tafuta pesa siku aje akuheshimu nakomaa na hiyo philosophy lkn najikuta Tena nampigia simu n
Naomba waliowahi kukutana na Mambo haya wanipe tips walifanyaje kuachana nao mnisamehe kwa mwandiko wangu kiukweli Niko down Sana nahitaji msaada.
Sasa Kuna siku Niko kazini nikapigiwa simu na jamaa ananiuliza unamfahamu x nikasema ndio akasema ni nani kwako nikamwambia ni mtu wangu jamaa akahamaki Sana akauliza kama nilishawahi kutumia Kinga nikamwambia no kufupisha story kumbe alikuwa na mahusino na jamaa at the same time Yuko na mwamba nilipombana akasema alikuwa nae kabla yangu so akatoa maamuzi kuwa yeye anataka aendelee na Mimi baadae ya hapo ikaonekana ana mimba
Sasa ikawa mtihani kwangu kwa maana tumeshare penzi na jamaa nikamtunza kibishi hivyo hivyo kiukweli kipindi hicho sikuwa na pesa so akawa anasema namnyanyasa nk Kuna siku akanambia anaona damu inamtoka so hajui tatizo ni nn nikamwambia jarbu kuulizia kwa wanawake wenzio wakupe uzoefu yeye wakati huo Yuko Moshi kwa wazaz wake Sasa siku moja nikawa namwambia nakutumia hela uende hosp wakati huo nachrt na dada kwa wakati mmoja Sasa dadaake akakosea sms badala atume kwa mdgo wake akatuma kwangu anasema nenda kacheki hospital ukiona uko fresh usimwambie ili ule pesa yake
Sasa baadae ya SMS ile nilitokea kuwachukia Sana yeye na dada yake alienda hospital akacheki ikaonekana mimba Iko nnje ya kizazi wakatoa baadae ya kuitoa dogo akawa na jeur kwangu na zarau tukigombana tukaachana kiukweli japo tuliachana bila mawasiliano kwa mwaka mzm lkn bdo nilikuwa nampenda nakumkumbuka Sasa juzi nikampigia akapokea tumeongea Sana akadai Hana hela Hana kazi nimsaidie kutafta kazi Nika mwambia sawa Ila nikamwambia nataka niombe ruhusa nije Moshi nikuone akasema utakaa siku ngapi nikamwambiila siku tatu akaniambia sawa lkn si unaniona tu unaendelea na ratba zako pale pale nikaishiwa nguvu kiukweli
Nampenda kupitiliza lkn ananipa drama nyingi ikifika usiku simu haipokelewi Ila asbh fasta atakwambia nilipitiwa na usingizi imagine saa tatu Sasa najikuta Sina Raha yaani nimekuwa mtumwa wake sijui ndio limbwata nampenda mnoo najitahidi kuwa mwema ili anielewe wapi
Kuna mda akili inaniambia tafuta pesa siku aje akuheshimu nakomaa na hiyo philosophy lkn najikuta Tena nampigia simu n
Naomba waliowahi kukutana na Mambo haya wanipe tips walifanyaje kuachana nao mnisamehe kwa mwandiko wangu kiukweli Niko down Sana nahitaji msaada.