Nilimpenda sana mpenzi wangu ila kanisaliti

Nilimpenda sana mpenzi wangu ila kanisaliti

Hapo haupendwi move on ingia kwny mahusiano mapya, acha kujikuta bwege
 
Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.

1. Kosa lako la kwanza ni kumpenda mwanamke SANA.
2. Kosa la pili ni kumfanya mwanamke huyo AJUE kwamba unampenda sana.
3. Kosa la tatu ni kuendelea kumtafuta mwanamke ambae alishakuzingua MWAKA MMOJA BAADA ya kuachana nae!

Amin amin nakuambia, ukifanya makosa haya matatu kwa mwanamke HAIJALISHI NI WA KABILA GANI lazima atakuacha tu, hakuna namna.

Mfano: Unapomtafuta mwanamke ambae mlishaachana unajua ni ujumbe gani yeye anapata? Kwamba wewe hakuna mwanamke mwingine anaekutaka au unaeweza kumpata! Kwamba wewe ni boya ndio maana pamoja na vituko alivyokufanyia bado huwezi kumuacha. Kwamba kakuweka kiganjani huna ujanja kwake!

Na hakuna kitu wanawake hawapendi kama mwanaume boya, asietakwa na wanawake wengine, na ambae yupo kiganjani.
 
Ili nimejikuta mimi ni mwanaume pekee nisie endeshwa na wanawake, ngoja nijipige kifua mala tatu then nijiite mimi ni mwanaume
 
Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.

Sasa Kuna siku Niko kazini nikapigiwa simu na jamaa ananiuliza unamfahamu x nikasema ndio akasema ni nani kwako nikamwambia ni mtu wangu jamaa akahamaki Sana akauliza kama nilishawahi kutumia Kinga nikamwambia no kufupisha story kumbe alikuwa na mahusino na jamaa at the same time Yuko na mwamba nilipombana akasema alikuwa nae kabla yangu so akatoa maamuzi kuwa yeye anataka aendelee na Mimi baadae ya hapo ikaonekana ana mimba

Sasa ikawa mtihani kwangu kwa maana tumeshare penzi na jamaa nikamtunza kibishi hivyo hivyo kiukweli kipindi hicho sikuwa na pesa so akawa anasema namnyanyasa nk Kuna siku akanambia anaona damu inamtoka so hajui tatizo ni nn nikamwambia jarbu kuulizia kwa wanawake wenzio wakupe uzoefu yeye wakati huo Yuko Moshi kwa wazaz wake Sasa siku moja nikawa namwambia nakutumia hela uende hosp wakati huo nachrt na dada kwa wakati mmoja Sasa dadaake akakosea sms badala atume kwa mdgo wake akatuma kwangu anasema nenda kacheki hospital ukiona uko fresh usimwambie ili ule pesa yake

Sasa baadae ya SMS ile nilitokea kuwachukia Sana yeye na dada yake alienda hospital akacheki ikaonekana mimba Iko nnje ya kizazi wakatoa baadae ya kuitoa dogo akawa na jeur kwangu na zarau tukigombana tukaachana kiukweli japo tuliachana bila mawasiliano kwa mwaka mzm lkn bdo nilikuwa nampenda nakumkumbuka Sasa juzi nikampigia akapokea tumeongea Sana akadai Hana hela Hana kazi nimsaidie kutafta kazi Nika mwambia sawa Ila nikamwambia nataka niombe ruhusa nije Moshi nikuone akasema utakaa siku ngapi nikamwambiila siku tatu akaniambia sawa lkn si unaniona tu unaendelea na ratba zako pale pale nikaishiwa nguvu kiukweli

Nampenda kupitiliza lkn ananipa drama nyingi ikifika usiku simu haipokelewi Ila asbh fasta atakwambia nilipitiwa na usingizi imagine saa tatu Sasa najikuta Sina Raha yaani nimekuwa mtumwa wake sijui ndio limbwata nampenda mnoo najitahidi kuwa mwema ili anielewe wapi

Kuna mda akili inaniambia tafuta pesa siku aje akuheshimu nakomaa na hiyo philosophy lkn najikuta Tena nampigia simu n

Naomba waliowahi kukutana na Mambo haya wanipe tips walifanyaje kuachana nao mnisamehe kwa mwandiko wangu kiukweli Niko down Sana nahitaji msaada.
Itoshe kusema amekukomesha.Sio tuu ulimpenda ila ulimuamini ukadhia ni Mungu.Safi Sana bila shaka umepata akili sasa.
 
Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.

Sasa Kuna siku Niko kazini nikapigiwa simu na jamaa ananiuliza unamfahamu x nikasema ndio akasema ni nani kwako nikamwambia ni mtu wangu jamaa akahamaki Sana akauliza kama nilishawahi kutumia Kinga nikamwambia no kufupisha story kumbe alikuwa na mahusino na jamaa at the same time Yuko na mwamba nilipombana akasema alikuwa nae kabla yangu so akatoa maamuzi kuwa yeye anataka aendelee na Mimi baadae ya hapo ikaonekana ana mimba

Sasa ikawa mtihani kwangu kwa maana tumeshare penzi na jamaa nikamtunza kibishi hivyo hivyo kiukweli kipindi hicho sikuwa na pesa so akawa anasema namnyanyasa nk Kuna siku akanambia anaona damu inamtoka so hajui tatizo ni nn nikamwambia jarbu kuulizia kwa wanawake wenzio wakupe uzoefu yeye wakati huo Yuko Moshi kwa wazaz wake Sasa siku moja nikawa namwambia nakutumia hela uende hosp wakati huo nachrt na dada kwa wakati mmoja Sasa dadaake akakosea sms badala atume kwa mdgo wake akatuma kwangu anasema nenda kacheki hospital ukiona uko fresh usimwambie ili ule pesa yake

Sasa baadae ya SMS ile nilitokea kuwachukia Sana yeye na dada yake alienda hospital akacheki ikaonekana mimba Iko nnje ya kizazi wakatoa baadae ya kuitoa dogo akawa na jeur kwangu na zarau tukigombana tukaachana kiukweli japo tuliachana bila mawasiliano kwa mwaka mzm lkn bdo nilikuwa nampenda nakumkumbuka Sasa juzi nikampigia akapokea tumeongea Sana akadai Hana hela Hana kazi nimsaidie kutafta kazi Nika mwambia sawa Ila nikamwambia nataka niombe ruhusa nije Moshi nikuone akasema utakaa siku ngapi nikamwambiila siku tatu akaniambia sawa lkn si unaniona tu unaendelea na ratba zako pale pale nikaishiwa nguvu kiukweli

Nampenda kupitiliza lkn ananipa drama nyingi ikifika usiku simu haipokelewi Ila asbh fasta atakwambia nilipitiwa na usingizi imagine saa tatu Sasa najikuta Sina Raha yaani nimekuwa mtumwa wake sijui ndio limbwata nampenda mnoo najitahidi kuwa mwema ili anielewe wapi

Kuna mda akili inaniambia tafuta pesa siku aje akuheshimu nakomaa na hiyo philosophy lkn najikuta Tena nampigia simu n

Naomba waliowahi kukutana na Mambo haya wanipe tips walifanyaje kuachana nao mnisamehe kwa mwandiko wangu kiukweli Niko down Sana nahitaji msaada.
Inaelekea unapitia wakati mgumu. But kuna wakati inabidi kuchukua maamuzi magumu na kusonga mbele. Hii itakusaidia kuepuka mabaya yajayo of which kwa kesi yako unaelekea huko maana kwa haraka-haraka inaonekana hakuna penzi hapo. Move-on and concentrate on things that are going to have a positive impact on you and your life (Achana na mapenzi ya Movie za KIDOSI kwani hivi viumbe huwa havijali hurt feelings & they are always short sighted kwenye haya masuala ya mapenzi......Sorry for saying that).
 
Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.

Sasa Kuna siku Niko kazini nikapigiwa simu na jamaa ananiuliza unamfahamu x nikasema ndio akasema ni nani kwako nikamwambia ni mtu wangu jamaa akahamaki Sana akauliza kama nilishawahi kutumia Kinga nikamwambia no kufupisha story kumbe alikuwa na mahusino na jamaa at the same time Yuko na mwamba nilipombana akasema alikuwa nae kabla yangu so akatoa maamuzi kuwa yeye anataka aendelee na Mimi baadae ya hapo ikaonekana ana mimba

Sasa ikawa mtihani kwangu kwa maana tumeshare penzi na jamaa nikamtunza kibishi hivyo hivyo kiukweli kipindi hicho sikuwa na pesa so akawa anasema namnyanyasa nk Kuna siku akanambia anaona damu inamtoka so hajui tatizo ni nn nikamwambia jarbu kuulizia kwa wanawake wenzio wakupe uzoefu yeye wakati huo Yuko Moshi kwa wazaz wake Sasa siku moja nikawa namwambia nakutumia hela uende hosp wakati huo nachrt na dada kwa wakati mmoja Sasa dadaake akakosea sms badala atume kwa mdgo wake akatuma kwangu anasema nenda kacheki hospital ukiona uko fresh usimwambie ili ule pesa yake

Sasa baadae ya SMS ile nilitokea kuwachukia Sana yeye na dada yake alienda hospital akacheki ikaonekana mimba Iko nnje ya kizazi wakatoa baadae ya kuitoa dogo akawa na jeur kwangu na zarau tukigombana tukaachana kiukweli japo tuliachana bila mawasiliano kwa mwaka mzm lkn bdo nilikuwa nampenda nakumkumbuka Sasa juzi nikampigia akapokea tumeongea Sana akadai Hana hela Hana kazi nimsaidie kutafta kazi Nika mwambia sawa Ila nikamwambia nataka niombe ruhusa nije Moshi nikuone akasema utakaa siku ngapi nikamwambiila siku tatu akaniambia sawa lkn si unaniona tu unaendelea na ratba zako pale pale nikaishiwa nguvu kiukweli

Nampenda kupitiliza lkn ananipa drama nyingi ikifika usiku simu haipokelewi Ila asbh fasta atakwambia nilipitiwa na usingizi imagine saa tatu Sasa najikuta Sina Raha yaani nimekuwa mtumwa wake sijui ndio limbwata nampenda mnoo najitahidi kuwa mwema ili anielewe wapi

Kuna mda akili inaniambia tafuta pesa siku aje akuheshimu nakomaa na hiyo philosophy lkn najikuta Tena nampigia simu n

Naomba waliowahi kukutana na Mambo haya wanipe tips walifanyaje kuachana nao mnisamehe kwa mwandiko wangu kiukweli Niko down Sana nahitaji msaada.

Utapumuliwa boya wewe. Mtu ukiona hapokei simu mida hiyo juwa umeshazidiwa kete. Ana mtu wake wewe simu zako anapokea ikitokea fursa.

Acha uboya tafuta mwanamke mwingine usituletee upuuzi wako hapa.
 
Wanaume wajinga kama wewe dawa yenu ni kugongwa hivyo vichwa vyenu hadi viwe kama ngoma za daku.

Hadi mwanamke anakutesa hivo inamaana hukutani na wanawake wazuri Zaid yake au!!!

Mnakera sana;!!
Kipendacho roho!!
Kuna time kidume unaingia sehemu unakamatika hadi huamini km ni weee.hahahah
 
Mkuu ... wanawake wakichaga wana matatizo gani naona watu wengi wana walalamikia??
 
Tafuta mahusiano mengine
Sometimes uvyozid kumpenda mtu yeye ndo anaacha kukuelewa
Kua busy na mishe zako
Huo muda unampgia simu yeye mpgie manzi mwingne
 
Ndugu yangu pole ila kaza moyo ondoka kwenye huo utumwa wa penzi la namna hiyo maana mateso tu

Mtu asiejali hisia zako huko ni kupotezeana muda na kuharibiana mood tu, fanya maamuzi
 
We acha upopoma, unajaza servers bure, mpende anaekupenda, maisha yakupe tabu na mapenzi yakupe tabu, piga chini utapata mwingine kwani ndio oxygen gas hiyo kusema hutopumua..
Ruhusu kichwa kifanye kazi, ukiruhusu moyo ukuongoze utakufa mapema na kizembe,
Wenzetu mnakuwa mna moyo gani ukampende mtu kuliko unavyoipenda nafsi yako.

Kuwa mwanaume walau kwa sekunde mbili tu.
 
Back
Top Bottom