mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Miaka33 unalilia penzi la malaya???Asante mkuu age 33yrs nakuwa busy sana bt nadhani nahitajj kujitafakari upya thnks for ya comments
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka33 unalilia penzi la malaya???Asante mkuu age 33yrs nakuwa busy sana bt nadhani nahitajj kujitafakari upya thnks for ya comments
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Naoa lakini sidate naeUmeshasema si mtu wa ku-date naye, sasa mbona wewe utaoa Mchagga? Unampoteza mwenzio.
Hicho hicho ulichokiona kwa Mchagga, ndicho wenzio wengine wamekiona, na ndio maana wanaoa Wachagga.Naoa lakini sidate nae
Itoshe kusema amekukomesha.Sio tuu ulimpenda ila ulimuamini ukadhia ni Mungu.Safi Sana bila shaka umepata akili sasa.Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Sasa Kuna siku Niko kazini nikapigiwa simu na jamaa ananiuliza unamfahamu x nikasema ndio akasema ni nani kwako nikamwambia ni mtu wangu jamaa akahamaki Sana akauliza kama nilishawahi kutumia Kinga nikamwambia no kufupisha story kumbe alikuwa na mahusino na jamaa at the same time Yuko na mwamba nilipombana akasema alikuwa nae kabla yangu so akatoa maamuzi kuwa yeye anataka aendelee na Mimi baadae ya hapo ikaonekana ana mimba
Sasa ikawa mtihani kwangu kwa maana tumeshare penzi na jamaa nikamtunza kibishi hivyo hivyo kiukweli kipindi hicho sikuwa na pesa so akawa anasema namnyanyasa nk Kuna siku akanambia anaona damu inamtoka so hajui tatizo ni nn nikamwambia jarbu kuulizia kwa wanawake wenzio wakupe uzoefu yeye wakati huo Yuko Moshi kwa wazaz wake Sasa siku moja nikawa namwambia nakutumia hela uende hosp wakati huo nachrt na dada kwa wakati mmoja Sasa dadaake akakosea sms badala atume kwa mdgo wake akatuma kwangu anasema nenda kacheki hospital ukiona uko fresh usimwambie ili ule pesa yake
Sasa baadae ya SMS ile nilitokea kuwachukia Sana yeye na dada yake alienda hospital akacheki ikaonekana mimba Iko nnje ya kizazi wakatoa baadae ya kuitoa dogo akawa na jeur kwangu na zarau tukigombana tukaachana kiukweli japo tuliachana bila mawasiliano kwa mwaka mzm lkn bdo nilikuwa nampenda nakumkumbuka Sasa juzi nikampigia akapokea tumeongea Sana akadai Hana hela Hana kazi nimsaidie kutafta kazi Nika mwambia sawa Ila nikamwambia nataka niombe ruhusa nije Moshi nikuone akasema utakaa siku ngapi nikamwambiila siku tatu akaniambia sawa lkn si unaniona tu unaendelea na ratba zako pale pale nikaishiwa nguvu kiukweli
Nampenda kupitiliza lkn ananipa drama nyingi ikifika usiku simu haipokelewi Ila asbh fasta atakwambia nilipitiwa na usingizi imagine saa tatu Sasa najikuta Sina Raha yaani nimekuwa mtumwa wake sijui ndio limbwata nampenda mnoo najitahidi kuwa mwema ili anielewe wapi
Kuna mda akili inaniambia tafuta pesa siku aje akuheshimu nakomaa na hiyo philosophy lkn najikuta Tena nampigia simu n
Naomba waliowahi kukutana na Mambo haya wanipe tips walifanyaje kuachana nao mnisamehe kwa mwandiko wangu kiukweli Niko down Sana nahitaji msaada.
Inaelekea unapitia wakati mgumu. But kuna wakati inabidi kuchukua maamuzi magumu na kusonga mbele. Hii itakusaidia kuepuka mabaya yajayo of which kwa kesi yako unaelekea huko maana kwa haraka-haraka inaonekana hakuna penzi hapo. Move-on and concentrate on things that are going to have a positive impact on you and your life (Achana na mapenzi ya Movie za KIDOSI kwani hivi viumbe huwa havijali hurt feelings & they are always short sighted kwenye haya masuala ya mapenzi......Sorry for saying that).Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Sasa Kuna siku Niko kazini nikapigiwa simu na jamaa ananiuliza unamfahamu x nikasema ndio akasema ni nani kwako nikamwambia ni mtu wangu jamaa akahamaki Sana akauliza kama nilishawahi kutumia Kinga nikamwambia no kufupisha story kumbe alikuwa na mahusino na jamaa at the same time Yuko na mwamba nilipombana akasema alikuwa nae kabla yangu so akatoa maamuzi kuwa yeye anataka aendelee na Mimi baadae ya hapo ikaonekana ana mimba
Sasa ikawa mtihani kwangu kwa maana tumeshare penzi na jamaa nikamtunza kibishi hivyo hivyo kiukweli kipindi hicho sikuwa na pesa so akawa anasema namnyanyasa nk Kuna siku akanambia anaona damu inamtoka so hajui tatizo ni nn nikamwambia jarbu kuulizia kwa wanawake wenzio wakupe uzoefu yeye wakati huo Yuko Moshi kwa wazaz wake Sasa siku moja nikawa namwambia nakutumia hela uende hosp wakati huo nachrt na dada kwa wakati mmoja Sasa dadaake akakosea sms badala atume kwa mdgo wake akatuma kwangu anasema nenda kacheki hospital ukiona uko fresh usimwambie ili ule pesa yake
Sasa baadae ya SMS ile nilitokea kuwachukia Sana yeye na dada yake alienda hospital akacheki ikaonekana mimba Iko nnje ya kizazi wakatoa baadae ya kuitoa dogo akawa na jeur kwangu na zarau tukigombana tukaachana kiukweli japo tuliachana bila mawasiliano kwa mwaka mzm lkn bdo nilikuwa nampenda nakumkumbuka Sasa juzi nikampigia akapokea tumeongea Sana akadai Hana hela Hana kazi nimsaidie kutafta kazi Nika mwambia sawa Ila nikamwambia nataka niombe ruhusa nije Moshi nikuone akasema utakaa siku ngapi nikamwambiila siku tatu akaniambia sawa lkn si unaniona tu unaendelea na ratba zako pale pale nikaishiwa nguvu kiukweli
Nampenda kupitiliza lkn ananipa drama nyingi ikifika usiku simu haipokelewi Ila asbh fasta atakwambia nilipitiwa na usingizi imagine saa tatu Sasa najikuta Sina Raha yaani nimekuwa mtumwa wake sijui ndio limbwata nampenda mnoo najitahidi kuwa mwema ili anielewe wapi
Kuna mda akili inaniambia tafuta pesa siku aje akuheshimu nakomaa na hiyo philosophy lkn najikuta Tena nampigia simu n
Naomba waliowahi kukutana na Mambo haya wanipe tips walifanyaje kuachana nao mnisamehe kwa mwandiko wangu kiukweli Niko down Sana nahitaji msaada.
Kwema wakuu Niko kwenye kipindi kigumu Sana ni hv nilikuwa na uhusiano na dada mmoja wa kichaga yeye wakati huo anaishi na dada yake wakati mahusiano yako hot Mara nyingi alikuwa ananambia anelaenda kusali kwa mwamposa.
Sasa Kuna siku Niko kazini nikapigiwa simu na jamaa ananiuliza unamfahamu x nikasema ndio akasema ni nani kwako nikamwambia ni mtu wangu jamaa akahamaki Sana akauliza kama nilishawahi kutumia Kinga nikamwambia no kufupisha story kumbe alikuwa na mahusino na jamaa at the same time Yuko na mwamba nilipombana akasema alikuwa nae kabla yangu so akatoa maamuzi kuwa yeye anataka aendelee na Mimi baadae ya hapo ikaonekana ana mimba
Sasa ikawa mtihani kwangu kwa maana tumeshare penzi na jamaa nikamtunza kibishi hivyo hivyo kiukweli kipindi hicho sikuwa na pesa so akawa anasema namnyanyasa nk Kuna siku akanambia anaona damu inamtoka so hajui tatizo ni nn nikamwambia jarbu kuulizia kwa wanawake wenzio wakupe uzoefu yeye wakati huo Yuko Moshi kwa wazaz wake Sasa siku moja nikawa namwambia nakutumia hela uende hosp wakati huo nachrt na dada kwa wakati mmoja Sasa dadaake akakosea sms badala atume kwa mdgo wake akatuma kwangu anasema nenda kacheki hospital ukiona uko fresh usimwambie ili ule pesa yake
Sasa baadae ya SMS ile nilitokea kuwachukia Sana yeye na dada yake alienda hospital akacheki ikaonekana mimba Iko nnje ya kizazi wakatoa baadae ya kuitoa dogo akawa na jeur kwangu na zarau tukigombana tukaachana kiukweli japo tuliachana bila mawasiliano kwa mwaka mzm lkn bdo nilikuwa nampenda nakumkumbuka Sasa juzi nikampigia akapokea tumeongea Sana akadai Hana hela Hana kazi nimsaidie kutafta kazi Nika mwambia sawa Ila nikamwambia nataka niombe ruhusa nije Moshi nikuone akasema utakaa siku ngapi nikamwambiila siku tatu akaniambia sawa lkn si unaniona tu unaendelea na ratba zako pale pale nikaishiwa nguvu kiukweli
Nampenda kupitiliza lkn ananipa drama nyingi ikifika usiku simu haipokelewi Ila asbh fasta atakwambia nilipitiwa na usingizi imagine saa tatu Sasa najikuta Sina Raha yaani nimekuwa mtumwa wake sijui ndio limbwata nampenda mnoo najitahidi kuwa mwema ili anielewe wapi
Kuna mda akili inaniambia tafuta pesa siku aje akuheshimu nakomaa na hiyo philosophy lkn najikuta Tena nampigia simu n
Naomba waliowahi kukutana na Mambo haya wanipe tips walifanyaje kuachana nao mnisamehe kwa mwandiko wangu kiukweli Niko down Sana nahitaji msaada.
Kipendacho roho!!Wanaume wajinga kama wewe dawa yenu ni kugongwa hivyo vichwa vyenu hadi viwe kama ngoma za daku.
Hadi mwanamke anakutesa hivo inamaana hukutani na wanawake wazuri Zaid yake au!!!
Mnakera sana;!!
Mkuu umeandika bila kituo inakuwa ni ngumu sana mtu kusoma akaelewa na kutoa ushauri.